Mbosso ameisimamisha nchi kwa masaa kadhaa

Mbosso ameisimamisha nchi kwa masaa kadhaa

Msiongopeane, hii nchi haisimami hata mkiinywesha mchuzi wa pweza!

Ni kama vile kusubiri kumuona Martin Kadinda!
 
Njoo mjini dogo, limepigwa shetani hapa samaki mcity ilo shangwe balaaaaaaa...shogolozaaa oooh salome salome niweke niwe shemu wako salome 🎼🎼💥💥🤣🤣
Aah kumbe
Basi kumbe huku nilipo mie ndio mjini kwa sabb hakuna kelele kama hzo Alf huyo mbosso akija huku sie hatuwezi hangaika nae walah sie tunahangaika na kula vyetu sio kulanda landa na wabana pua wa bongo☺️☺️☺️☺️
 
Nchi ya wapi??


Mboso ni nani??

Na EP maana yake nini??

Huku nilipo tupo bize kuandaa mashamba tulime
 
0A3519DA-7E49-46AD-9D2B-269C6F5FBCB4.jpeg
A8905A6B-1A75-4266-8E34-B7ED2E75DF0D.jpeg
 
Back
Top Bottom