mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 23,965
- 131,949
Kazi kweli yaan,Kazi kweli kweli
Watu wako bize na kuangaika na maji ya kuoga kuna mtu analeta mambo ya mboso
Ova
Poleni mnaokumbana na changamoto ya maji,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kazi kweli yaan,Kazi kweli kweli
Watu wako bize na kuangaika na maji ya kuoga kuna mtu analeta mambo ya mboso
Ova
Mm nko huku kusiniKazi kweli yaan,
Poleni mnaokumbana na changamoto ya maji,
Yeah huku kusini maji ni mengi,Mm nko huku kusini
Maji bwelele bwawani
Kweli aliusimamisha ulimwenguView attachment 2400404
View attachment 2400406
Baada tu ya kuachia EP yake sasa nchi yote imesimama inamsikiliza Mbosso.
Kila kona ya taifa la Tanzania basi Mbosso ndiyo habari ya mjini.
Kwa wale waliyokuwa wanaulizia matokeo, kwenye soka tunasemaga "Uwanja umeinama".
Mwenyewe ndio kwanza naisikia hii ep wachana na kuisikiliza. Hata siijui ina nini ndani yakeHuku nilipo hata hatujui kama kuna EP imeachiwa leo
Huyo ni Agrey ni shabiki mkubwa wa WCB. Sioni tatizo la yeye kwenda pale.Kweli aliusimamisha ulimwengu
Naona mpaka jamii fulani walijaa
Kwenye show yenu,nasikia hapo boss
Wenu kutwa kukombatiwa
Ova
View attachment 2402185
Mkuu hata YouTube hauingii?!Mwenyewe ndio kwanza naisikia hii ep wachana na kuisikiliza. Hata siijui ina nini ndani yake
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka mnoooo.Ndugu labda kama kazi yako unaifanyia kwenye hizo platforms zako vinginevyo..acha kufunga watu kamba.
Wewe unajua Tanzania inaukubwa gani mpka iache kufanya mambo ya msingi isimame kumsikiliza Mbosso!![emoji1787][emoji1787]punguza kamba
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dyadyaa eti nn?Nchi ya wapi??
Mboso ni nani??
Na EP maana yake nini??
Huku nilipo tupo bize kuandaa mashamba tulime
UTI bin kaswende ✋[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka mnoooo.
Huyo ni mwarabu au mmakonde,khaa kweli msilamu.
Mmakonde hapoiEmbu acha kuchafua masikio yako kusikiliza huo uchafu...umeisikia EP ya mnyama Kondegang mjeshi?