Mbosso arudi kivingine kukutoa machozi, Laizer alikuwa anamkosea

Mbosso arudi kivingine kukutoa machozi, Laizer alikuwa anamkosea

sinza pazuri

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2014
Posts
3,344
Reaction score
9,066


Wimbo wa picha yake ndio ujio mwingine Mbosso kutoka wcb.

Safari hii producer ni mhindi mwenzie Akili the brain, ama kweli producer wa sasa kamtendea haki wimbo una hisia na kunachemistry kati ya mwimbaji na mtayarishaji.

machozi lazma yakutoke kama una hisia za karibu.
 
Nafikiri ni wakati sahihi wa WCB kufanya mziki unaondena na hadhi ya lebo yao.hii nyimbo audio production yake iko chini,Video hta nashindwa kuelewa nan kaandika script.Kazi nzuri japo haiendani na hadhi ya lebo.
 
LAIZER ni hatari zaidi ya huyo kabachori
 
Ingawa sijui kiswahili ila hii ngoma ni kali sana sema kakosea sehemu moja tu nayo hata hiyo sehemu aliyokosea nikiangalia nakosa

natokea korea cjui kiswahili ila hii ngoma ni konyo washabiki wa wcb ni noma
 
Halaf ngoma hajatengeneza laizer... ye kaweka vitu flan ivi...... ila ngoma ni kali sana ... mboso humu ndani ameua.... mboso huyu ndo yule wa yamoto...
 
Halaf ngoma hajatengeneza laizer... ye kaweka vitu flan ivi...... ila ngoma ni kali sana ... mboso humu ndani ameua.... mboso huyu ndo yule wa yamoto...

katengeneza akili the brain, laiza angepiga beat zake zile zile tulizozichoka
 
Kwa taarifa zenu tu, mashairi ya wimbo huu, ni kwa ajili ya beautiful Onyinye wake, Queen Darleen.
 
Back
Top Bottom