Mbosso arudi kivingine kukutoa machozi, Laizer alikuwa anamkosea

Ivi ndio tulisema kua uyu anakuja kumkalisha Aslay?acha tumsubiri mwingine kwanza ila kwenye kale ka-group kao Aslay ndio baba yao.
Naamini mtazamo kama wako ndio uliomchelewesha washabiki wengi wa aslayy wamejenga dhana ananyemelea nafas ya as lay so wameji position kumkataa but ana talent sana atakuja kueleweka ata kwa kuchelewa mimi mpk nimemfollow insta
 
gharama ya video hii shilingi milioni ngapi? utamsikia diamond bro huo wimbo umenigharimu 100, hawa wameushika muziki
 
namkubali mbosso ila azidishe bidii zaidi, Aslay is far better than him...japo ukongwe wa Aslay unachangia pia maana Aslay alianza game zaidi ya wote hawa,so ni makinda yake mwenyewe!
 
YAMOTO BAND

1. Aslay 2. Aslay 3. Beka 4. Beka
 
Wimbo mzuri sana kati ya alizo wai kutoa...
 
Nafikiri ni wakati sahihi wa WCB kufanya mziki unaondena na hadhi ya lebo yao.hii nyimbo audio production yake iko chini,Video hta nashindwa kuelewa nan kaandika script.Kazi nzuri japo haiendani na hadhi ya lebo.
Foolish
 
mbosso yupo WCB msisahau ...na wcb ndo kilakitu bongo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…