Mbosso badilika, gemu itakushinda

Mbosso badilika, gemu itakushinda

Ahlan wassalan wana jukwaa huyu kijana wa kuitwa mbosso khan mushedede kutoka viunga vya WCB kiundashi,melody na hata jinsi anavyoimba yuko njema.

Shida yake ni moja tu habadiliki kila siku nyimbo zile zile,uandishi ule ule,mahadhi Yale Yale kila wimbo anataja maandazi,kachori,chapati,mishikaki Mara nisugue,Mara nnikande,Mara nibebe Mara niteme n.k kiukweli inabidi abadilike kama anataka kufika mbali na kudumu KWENYE gemu kwa muda mrefu,in short mashabiki wamemchoka ushahidi ni huu wimbo wake mpya wa ate mahadhi Yale Yale,uandishi ule ule,hadi mashabiki wameamua kumchana abadilike wamemchoka,yangu ni hayo tu

"Njoo kichwa kichwa ule za uso saba"
Rayvanny na mond wametaja sana vyakula

Wametaja sana Malaya Wa kibongo mpaka wakaisha

Kama tatizo ni hilo mngeanza nao, unless ndo Yale Yale ya ushabiki maandazi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamaa ana uwezo mkubwa Sana na uwezo wa kubadilika anao mfano ngoma Kama shida, alele na picha yake ameonesha utofauti sana nilitegemea ataendelea hivyo hivyo badala yake karudi Tena kwenye uhindi ebu ajifunze kwa rayvanny.
Mama Dangote ndiyo amemuambia kuwa nyimbo za design hizo ndiyo kali zinamkosha anko Shamte

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamaa ana uwezo mkubwa Sana na uwezo wa kubadilika anao mfano ngoma Kama shida, alele na picha yake ameonesha utofauti sana nilitegemea ataendelea hivyo hivyo badala yake karudi Tena kwenye uhindi ebu ajifunze kwa rayvanny.

Hata Rayvanny is boring, ukweli tuuseme. Mtu ambaye haboi WCB ni mwenye WCB yake na Harmonize naye alikuwa anajitahidi kutokuboa, tena Hamo alikua anajitahidi sana. Wengine wote wanaboa AF! Rayvanny anajua sana kuimba sijui kwanini manyimbo yake mengi ni mabaya mabaya yanaboaaaaaaa, huyo lavalava nilimsikiliza mwanzo sasa siwezi tena Na Mboso pia. Wanarudia sana mashairi. Ujinga ujinga tu.

Comments zimenichekesha tho!
 
Rayvanny na mond wametaja sana vyakula

Wametaja sana Malaya Wa kibongo mpaka wakaisha

Kama tatizo ni hilo mngeanza nao, unless ndo Yale Yale ya ushabiki maandazi

Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo ilikuwa in kunogesha habari tu mzizi wa mada ni mbosso kuimba nyimbo zenye mahadhi yale Yale,uandishi ule ule,video zile zile, imefika stage mashabiki tumekuwa bored,kwasababu hatuoniutifauti was ngoma zake km aslay tu sasa hivi hana jipya,
 
Back
Top Bottom