Ni baunsa wa Diamond
Mkuu jiangalie vizuri hasa wakati unapokuwa unajisafisha kinyeo
Ni kweli huu wimbo bonge la wimboWimbo mkali video ni Kali mno
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kizazi hiki bila kuvaa hereni unaonekana sio msanii.
Nasimama na wewe!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka mbavu cna khaaahUmeniwahi...
Zuchu hana tofauti na Hawa wa nitarejea
Kachangamka tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hivi eti Mboso & Zuchu nani mrembo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu jiangalie vizuri hasa wakati unapokuwa unajisafisha kinyeo
Ngapi ngapi!?Ngoja nifuatilie matokeo ya mechi kati ya timu ya Mali na Uganda.