MBOSSO KHANI, MBOSSO MSHEDEDE KAMA UNAVYOJIITA!

kwani si naskia kizzy hajui kufanya master so anafanyaga nani hapo switcher??
Hata mimi hizi habari nilizipata umu umu nikasikia hata mixing na mastering wanafanya wengine ndo maana sometimes kizzy anatengeneza beat lakin vocaling unakuta kafanya chizan brain ila sina hakina sasa kumbuka now dogo ana studio yake mwenyewe inaitwa Pluto
 
Shilingi imegeuka, kichwa kimekuwa mwenge
ha ha ha since day one mi niliona dogo ana kitu cha tofauti...
sema watz ni watu wa kupinga pinga kila kitu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…