kwa-muda
JF-Expert Member
- Sep 5, 2018
- 2,097
- 5,348
Hata mimi hizi habari nilizipata umu umu nikasikia hata mixing na mastering wanafanya wengine ndo maana sometimes kizzy anatengeneza beat lakin vocaling unakuta kafanya chizan brain ila sina hakina sasa kumbuka now dogo ana studio yake mwenyewe inaitwa Plutokwani si naskia kizzy hajui kufanya master so anafanyaga nani hapo switcher??