Mbosso(WCB) vs Aslay, nini kitatokea?

maelezo mengiiii kumbe hujaelewa kitu hapo hajauliza kuhusu fitina wanazokutana nazo ao wasanii kwene maisha yao ya mziki bali kauliza nani ni mkal kwa mtazamo wako, ukiwa na evidence itapendeza zaiidi
 
nichezeshe kidaruso usiku wa manane *vangaa*
nikande kipandauso tufunikane
*kanga*
nipitishe boda lauko tukakutane
*tanga*
sie pini wao putoo wasishindane watapasukaa
Mamamamama shikamoo mboso khan[emoji1430]
 
Tena kopo la mkojo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji38][emoji38][emoji38][emoji3][emoji28][emoji3][emoji28][emoji16][emoji28][emoji16]
We kopo Kweli.
 
maelezo mengiiii kumbe hujaelewa kitu hapo hajauliza kuhusu fitina wanazokutana nazo ao wasanii kwene maisha yao ya mziki bali kauliza nani ni mkal kwa mtazamo wako, ukiwa na evidence itapendeza zaiidi
Acha upimbi wewe, ulijaribu kufuatilia kuona huo mjadala umeanzia wapi hadi nikafikia kuandika nilichoandika au umekurupuka tu?!
 
ama kwa hakika wengi awaujui moto wa mbosso khan aka mshedede. dogo anaimba utafikiri bob marley kazaliwa upya. akiimba live usipotoka vipele wewe mwanaume
Ulisema kweli mkuu ambalo wengine hatukuliona toka mwanzo...
Hakika Mboso ni moto
 
Ahahaaaaaaaaaaah...
Naona watu wengi hawajui vizuri uwezo wa Mbosso..!
Lakini Aslay mwenyewe anajua Mbosso ni nani..!
Lakini muda utawajibu..!
Hakika time tells...... aiseeee hii comment ndio maana halisi ya muda kuongea...
 
Ulisema kweli mkuu ambalo wengine hatukuliona toka mwanzo...
Hakika Mboso ni moto
We jamaa una ugonjwa wa kupenda vitu vya ajabu ajabu, mara ccm mara mboso .

Asa mboso nae msanii, hadi ashikwe mkono wakati dogo kasimama mwenyewe na anatupia mawe ya maana
 
Upo single? Nimekupenda bure Trayvess Daniel:
 
Huo Mchuano Unarushwa Channel Gan Mkuu Na Ni Lini Ilikusudi Nikalipie King'amuz Mapema Kabsa


Huu Mchuano Sio Wa Kukosa Aiseeee
 
Mbosso ni noma. Penzi letu baskeli kaa bomba la mbele, tia, unipige mabusu(huku ukielekeza kidole mahala pa kupigwa busu)
 
Sasa hivi Diamond kaletewa Hamonaiz.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…