Mbowe aachiwa huru na wenzake watatu baada ya DPP kuwasilisha hati ya kutotaka kuendelea na kesi

Mbowe aachiwa huru na wenzake watatu baada ya DPP kuwasilisha hati ya kutotaka kuendelea na kesi

Kesi ikifutwa na DPP lifunguliwe shauri la madai ya fidia ya kuchafuliwa jina Mh.Mbowe na wenzake pamoja na CDM kama chama.Maana hawa CCM wametangaza sana kesi hii kwa dunia.

Wakiachwa hivi hivi wataenda na hilo bango towards 2025 kama agenda yao,baadhi ya wananchi wenzetu wamenyimwa ufahamu wa haki za binadamu na hawapatiwi taarifa sahihi dhidi ya uonevu unaoendelea hapa nchini.
Hajachafuliwa bali ameongezewa sifa kwa watz.

Wanamuona ni Mandela wao.

Ila naona kama serikali ya maridhiano vile kwa mbaliiii.


Karbu Tundu A L

Sent from my SM-A022F using JamiiForums mobile app
 
Taifa letu limefikia pabaya kabisa maana haki hakuna kabisa.

Limekuwa ni taifa lenye kusikiliza walio na pesa na wasio na pesa au connection wanafungwa huku wenye pesa na connection wanaachiwa.

Hakuna haki hapa Tanzania kila kitu ni kunyanyasana tu uonevu.
Unajaribu kusemaje?Kwamba Mbowe katoka Kwa sababu ya pesa au kwasababu ushahidi uliotolewa ni Crap?

Hujajiuliza kwanini aachiwe siku ambayo alipaswa kuanza kujitetea?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unapanic nini sasa?

Sisi ccm ndio baba zenu! Tunawafanya tutakavyo! Kama weka ndani mwaka mzima, achia huru kisha unaanza kushangilia!

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
 
Mataga pori umepanic kweri-kweri baada ya DPP kusurrender.

Leo itabidi utembee na pampers maana ushaanza kuharisha damu kweri-kweri [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
DPP kasarenda kwa nani?

[emoji23][emoji23][emoji23]Jamani alaiewaita lile jina hakukosea kabisa

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
 
Deogratius Munisi

FB_IMG_16463838263570941.jpg
 
Back
Top Bottom