Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
vyovyote vile kwenye hii vita mbowe ndiye mshindi serikali ya ccm imeshindwa, sasa tunasubiri urusi na ukraineMama Kafuata ushauri wa viongozi wa Dini
Kumbe unakubali ya kwamba Serikali ya CCM huwabambikizia watu wasio na hatia kesi na kuwatesa magerezani?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu usiwe pumbavu kiasi hiki!
Mtu kasota rumande karibia mwaka, na ndio lengo la ccm hilo au wewe ulifikiri ccm wanataka nini zaidi ya hicho?
Utakuta mnaanza kushangilia kama mazuzu! Yani ni sawa na mtu anakubutua makofi ya kutosha alafu baadae anakuambia nenda tu, kisha unaanza kushangilia!
[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
Kuna uthibitisho wa hili?Huyu Mbowe si ni Sawa Sawa Na baba ako mzazi kabisa?
Bora ungemuita kamanda Tu ingetosha but " kaka " hapana
# Karibu mtaani kamanda Mbowe.
# Freeman Mbowe mbele Kwa mbele.
# Mama Samia mbele Kwa mbele.
View attachment 2138315
Na hivi Ni weekendLeo bia zitakwisha mapema sana [emoji898][emoji898][emoji898][emoji1635][emoji1635]
Mataga pori umepanic baada ya DPP kuingia mitini.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu usiwe pumbavu kiasi hiki!
Mtu kasota rumande karibia mwaka, na ndio lengo la ccm hilo au wewe ulifikiri ccm wanataka nini zaidi ya hicho?
Utakuta mnaanza kushangilia kama mazuzu! Yani ni sawa na mtu anakubutua makofi ya kutosha alafu baadae anakuambia nenda tu, kisha unaanza kushangilia!
[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
Bwashee siasa mchezo mchafuKumbe unakubali ya kwamba Serikali ya CCM huwabambikizia watu wasio na hatia kesi na kuwatesa magerezani?
Mnatofauti gani na serikali ya kishetani kama mwatenda hayo?
Sio Kibatala??Mungu wabariki Wazungu