Mbowe aachiwa huru na wenzake watatu baada ya DPP kuwasilisha hati ya kutotaka kuendelea na kesi

Mbowe aachiwa huru na wenzake watatu baada ya DPP kuwasilisha hati ya kutotaka kuendelea na kesi

Huyu Mbowe si ni Sawa Sawa Na baba ako mzazi kabisa?

Bora ungemuita kamanda Tu ingetosha but " kaka " hapana

Kwa wewe Deogratius Munisi kumuita Mbowe kaka mimi ninaona kama utovu wa nidhamu Kwa Sababu Mbowe kwako ni Sawa Na baba wa kukuzaa.

# Karibu mtaani kamanda Mbowe.

# Freeman Mbowe mbele Kwa mbele.

# Mama Samia mbele Kwa mbele.

Screenshot_20220304-113938.png


FB_IMG_16463838263570941.jpg


FB_IMG_16463838046844670.jpg


FB_IMG_16463838995612998.jpg
 
Wahenga waliyasema kuwa kila lenye mwanzo lazima liwe na mwisho.

Leo hii tunampokea Nelson Mandela wa Tanzania na historia imeandikwa kuwa kila penye mwanga huwezi kulazimisha giza litawale.

Tulianza na Mungu, Tupo na Mungu na tutaendelea na Mungu na kumaliza na Mungu.
 
Watu walikua wanasubiri kwa hamu Sana IGP akitoa ushahidi wake. Mawakili wa serikali wametupunja utamu kwa kumalizia na the likes of Swila. We wanted bigger fish.p
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu usiwe pumbavu kiasi hiki!

Mtu kasota rumande karibia mwaka, na ndio lengo la ccm hilo au wewe ulifikiri ccm wanataka nini zaidi ya hicho?

Utakuta mnaanza kushangilia kama mazuzu! Yani ni sawa na mtu anakubutua makofi ya kutosha alafu baadae anakuambia nenda tu, kisha unaanza kushangilia!
[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
Kumbe unakubali ya kwamba Serikali ya CCM huwabambikizia watu wasio na hatia kesi na kuwatesa magerezani?
Mnatofauti gani na serikali ya kishetani kama mwatenda hayo?
 
Taifa letu limefikia pabaya kabisa maana haki hakuna kabisa.

Limekuwa ni taifa lenye kusikiliza walio na pesa na wasio na pesa au connection wanafungwa huku wenye pesa na connection wanaachiwa.

Hakuna haki hapa Tanzania kila kitu ni kunyanyasana tu uonevu.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu usiwe pumbavu kiasi hiki!

Mtu kasota rumande karibia mwaka, na ndio lengo la ccm hilo au wewe ulifikiri ccm wanataka nini zaidi ya hicho?

Utakuta mnaanza kushangilia kama mazuzu! Yani ni sawa na mtu anakubutua makofi ya kutosha alafu baadae anakuambia nenda tu, kisha unaanza kushangilia!
[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
Mataga pori umepanic baada ya DPP kuingia mitini.
Najua leo utaharisha damu kweri-kweri🤣🤣🤣

Pambafu.
 
Back
Top Bottom