Mbowe aachiwa huru na wenzake watatu baada ya DPP kuwasilisha hati ya kutotaka kuendelea na kesi

Hajachafuliwa bali ameongezewa sifa kwa watz.

Wanamuona ni Mandela wao.

Ila naona kama serikali ya maridhiano vile kwa mbaliiii.


Karbu Tundu A L

Sent from my SM-A022F using JamiiForums mobile app
 
Unajaribu kusemaje?Kwamba Mbowe katoka Kwa sababu ya pesa au kwasababu ushahidi uliotolewa ni Crap?

Hujajiuliza kwanini aachiwe siku ambayo alipaswa kuanza kujitetea?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unapanic nini sasa?

Sisi ccm ndio baba zenu! Tunawafanya tutakavyo! Kama weka ndani mwaka mzima, achia huru kisha unaanza kushangilia!

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
 
Mataga pori umepanic kweri-kweri baada ya DPP kusurrender.

Leo itabidi utembee na pampers maana ushaanza kuharisha damu kweri-kweri [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
DPP kasarenda kwa nani?

[emoji23][emoji23][emoji23]Jamani alaiewaita lile jina hakukosea kabisa

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…