Mbowe aachiwa huru na wenzake watatu baada ya DPP kuwasilisha hati ya kutotaka kuendelea na kesi


Umeandika kitakatifu sana: barikiwa mwaka mzima.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dogo usiwe na hasira kiasi hiki zinazosababishwa na umasikini kwenye ukoo wako!

Kama vipi mwambie mwamba akupe hata kibarua cha kufagia pale ofisini kwake sawa?!

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
natoa amri makomandoo watabaki chini ya kiapo kuwa walinzi wa mwamba na watiifu kwa chama
 
Ni kwanini anashukuriwa Rais wakati suala hili lilikuwa ni la kimahakama na sheria? Rais hapa anaingiaje?
Au ndio ile kusema yeye ndio ana overrule kila kitu mpaka haki?
 
Mataga Vichaa kweli. Nimeona mitandaoni wameshaanza kumpongeza Mama. Wakati FAM anatengenezewa kesi walishangilia sasa ameachiwa nao wanashangilia
 
Covid 19 huko walipo mavi yanasukuma pichu
 
ni aibu haswaa....
ni wazi option B zote zisingeuzika
 
sasa hapo kwani nani kashinda? kesi haijamalizika mwisho utasema mbowe kashinda? kahurumiwa awashhukuru wakuu wa dini mama kawaelewa
DPP kuamua kutoendelea na case maana yake ushahidi wake ni crap!Ingekuwa vinginevyo na ni huruma basi Mbowe angepewa masharti!
Toka mwanzo anasema anaamini hana hatia hivyo hawezi kuomba msamaha!Jiulize,iweje siku anayoanza kujitetea ndiyo siku anafutiwa mashtaka bila masharti?Iweje hicho kikao Cha viongozi wa dini kikae na Rais siku Moja kabla ya Mbowe kuanza kujitetea na siku Moja baadae aachiwe huru?Kwanini WS Walitaka kujua majina na anuani za mashahidi wa upande wa utetezi?Baada ya kunyimwa taarifa hizo,unadhani hawakuogopa kuwa surprised na utetezi?

Fact:Mbowe sio gaidi Kwa mujibu wa Katiba na sheria za nchi!
Sio gaidi kwenye macho ya viongozi wa kisiasa,kidini na hata mataifa ya nje!
 
Lkn ktk polisi kusingizia rais lipo sana, na sasa hivi unawekwa ndani na wanakudai kikombozi kuachiwa, kupewa dhamana au kumpelekea mahakamani.
 
Duh! Hebu waoneni hawa. Wana tofauti gani na wale wafuasi wa yule mfalme Zumaridi?

Kwani hujui wafuasi wa Chadema ndio wafuasi wa zumaridi ndio maana staili za kugaragara zinafana na hizo za Leo mahakamani hao nao ni makerubi na Maserafi wa Zumaridi Leo walikuwa mahakamani kesi ya Mbowe ni waumini wa Mfalme Zumaridi hao
 
Viongozi wa dini waache kutumiwa na ccm

Wanatumika vibaya
 
Asante Rais wangu Mpendwa Mh. SSH. Mwenyenzi Mungu akupe hekima na ufahamu zaidi. Akupe kujawa na upendo na haki katika utendaji wako.

Mungu akupe kuisimamia nchi ktk haki pasipo kubebwa na nasty cabals zisizojali maslahi ya nchi. Kwa mwendo huu naamini Mungu atakupa nguvu ya kuwashinda wenye chama chao na kutuletea katiba na kuisimika mihimili inayosimamia haki bila kupepesa macho.

Asante sana nyote mliosimama Mwenyekiti Mbowe, naomba CCM wenzangu tuwe watulivu huku tukataka haki isimame imara ktk kila kitu hata katika chaguzi zote.
 
Ni kwanini anashukuriwa Rais wakati suala hili lilikuwa ni la kimahakama na sheria? Rais hapa anaingiaje?
Au ndio ile kusema yeye ndio ana overrule kila kitu mpaka haki?
Aliyeondoa kesi ni DPP siyo mahakana kwa hiyo upande wa serikali ndio wenye mamlaka ya kuondoa kesi za jinai mahakamani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…