Mbowe aachiwa huru na wenzake watatu baada ya DPP kuwasilisha hati ya kutotaka kuendelea na kesi

Nampongeza Zitto Zuberi Kabwe, Tundu Lissu na viongozi wa dini kwa kumuombea msamaha kiongozi wa upinzani nchini ndugu Freeman Mbowe kwa makosa aliyoyafanya. Pia nampongeza kwa dhati Rais Samia Suluhu kwa kuamua kusikiliza ombi la Zitto Kabwe kisha kumsamehe Mbowe na wenzake watatu.

Mwisho nakipongeza sana Chama Cha Mapinduzi kwa kugundua kesi hii haikuwa na maslahi kwa chama chetu na kupitia msamaha mwenyekiti Samia atazidi kujizolea sifa na kuaminika zaidi na wananchi. Leo ni siku ya ushindi mkubwa sana kwa CCM kwa kucheza karata zake vizuri kisiasa.
 
Asante Yesu,nimefurahi mpaka Basi
Siwezi elezea furaha yangu juu ya huyu mwamba kuachiwa ..Yesu anaweza yoteeee
 
Vipi Dr.Slaa atajisikiaje baada ya Mbowe kuachiwa pale aliposema anakerwa na watu wanaosema "Mbowe si Gaidi"?
Hiyo mzee amefilisika kabisa kifikra maana anasema anachukizwa sana na watu wanaosema Mbowe sio gaidi iila hajasema kama anachukizwa na watu wanaosema Mbowe ni gaidi.

Shame on him.
 
Huyu ni mchungaji wa kanisa gani?
 
Hatari sn
 
Mungu awabariki Mawakili wote ,haikuwa rahisi,awape afya,na walindwe na ulinzi wa Mungu siku zote na familia zako .
 
Naona unajichekesha tu huku ukiwa umegubikwa na aibu ya mwaka! Sijawapatia picha na wale wachawi wenzako waliokuwa nao wakijitoa ufahamu kama wewe kipindi kile.
Aibu ipi?

Lengo lilikuwa kumuweka Mbowe ndani walau kwa mwaka mmoja na limetimia sasa aibu ni ipi?

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
 
EU walimwambia mama wataanza kutoa hela endapo Mbowe atakuwa huru, tuwashukuru pia
 
Nafurahia sanaaa!


Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
 
Mungu wa majeshi, Hakika Mbingu na nchi zimejaa utukufu wako! Tunakushkuru pia Mhe. Rais kwa kusikiliza sauti za waja wako!
Mwenyezi Mungu azidi kukupa hekima na uvumilivu! Pole sana kamanda Mbowe na watuhumiwa wenzako, Mkawe wavumilivu kwa yote mliyotendewa, Karibuni tena uraiani na mjisikie mpo nyumbani!
 
Ni Tanzania tu ambako mshtakiwa wa makosa makubwa kama ugaidi anaweza kuachiwa huru eti kwa sababu mkurugenzi wa mashtaka hana nia ya kuendelea na kesi na wewe kama zuzu unashangilia hapa.

Ule ulikuwa ni ujinga na kupotezeana muda na wewe acha kujipendekeza kwa uliowataja hapo juu.
 
Tunamshukuru Mwenyenzi Mungu kwa kuyajibu maombi yetu. #Mbowe si gaidi.
Karibu uraiani kaka. Mapambano yaendelee. We missed you.
 
Kondoo ni machadema!

Yani mtu anakuzibua mabao ya kutosha alafu anakwambia haya nenda kisha unaanza kushangilia eti umemkomesha?

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
Comment zako zinaonesha ni mtu uliyejaa sonona na huamini unachokishuhudia yaani bwana Crimea Leo umekalia kitu kigumu
Roho ipo juu juu kama mkia wa mbuzi nyeti nje nje
Poleeeeeeee

Naliaaaaa
Poleeeeee
Naliaaaaa 🎢🎡
Poleeeeee
Sanaaaa!🎢🎡

πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’
 
Aibu ipi?

Lengo lilikuwa kumuweka Mbowe ndani walau kwa mwaka mmoja na limetimia sasa aibu ni ipi?

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
matumizi mabaya ya madaraka, pesa za wananchi nyingi zimeliwa, ufisadi mkubwa sana mmewafanyia watanzania kwenye upumbavu wa kesi hii, mipolisi imejenga majumba, alafu mnaenda kukopakopa nje, kutembeza bakuri, wakukopa kopa sisi?...halafu mkisha kopa mnapiga makofi? .....ni mimi job ndungai mliyeninyang'anya kazi sababu ya kutetea tanganyika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…