Mbowe aachiwa huru na wenzake watatu baada ya DPP kuwasilisha hati ya kutotaka kuendelea na kesi

Ndio shida ya kutumika!Aibu Kwa Jaji Kwa maamuzi aliyofanya wiki chache zilizopita!Watu wamebumba ushahidi wakaja kuuleta mahakamani,kila mtu akaona ni ushahidi wa mchongo na hakuna kesi!Jaji akasukumwa kuamua kuwa Wana kesi ya kujibu!Kabla hawajaanza kujitetea DPP anasema hana nia ya kuendelea na kesi maana ushahidi alionao ni crap!
Jaji unajisikiaje huko uliko?Ungeyajua haya,Bado uamuzi wako ungekuwa watuhumiwa Wana kesi ya kujibu?
 
Sijaipenda hii nilitaka kujua ukweli je ilikuwa kesi mchongo au kweli? Hata hivyo ilipofikia imeweza kutupa picha ukweli upi nadhani pande ile wangekuwa na uhakika na Jambo Lao sijui km wangekubali wito wa kufuta shitaka
 
Ilikuwa ni suala la muda tu,

Tumeambiwa tutendee wengine tunayopenda kutendewa lakini binadamu tulishama huko hatuko.

Unajisikiaje kumtesa mtu kwa kipindi Cha karibia miezi Tisa gerezani kwa jambo la kutunga na Kila Leo ukute unahidhuria kanisani au msikitini....!

Wote Si wakamilifu lakini Kuna dhambi zingine tunazitenda kupunbavu mno.
 
Kesi ikifutwa na DPP lifunguliwe shauri la madai ya fidia ya kuchafuliwa jina Mh.Mbowe na wenzake pamoja na CDM kama chama.Maana hawa CCM wametangaza sana kesi hii kwa dunia.

Wakiachwa hivi hivi wataenda na hilo bango towards 2025 kama agenda yao,baadhi ya wananchi wenzetu wamenyimwa ufahamu wa haki za binadamu na hawapatiwi taarifa sahihi dhidi ya uonevu unaoendelea hapa nchini.
 
Nasikia Gaidi limelia weeeeeeeeee hadi limetoa mikamasi ndio likaonewa huruma.

Hongera sana mama, akirudia tena kuleta upumbavu wake asije kusema hajaambiwa.
 
Safi sn MUNGU wa mbinguni ametenda maajabu sn
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…