Mbowe aachiwa huru na wenzake watatu baada ya DPP kuwasilisha hati ya kutotaka kuendelea na kesi

Mbowe aachiwa huru na wenzake watatu baada ya DPP kuwasilisha hati ya kutotaka kuendelea na kesi

Kwahyo na ile bastola waliyokamatwa nayo watarudishiwa....!???

Hii nchi bhana ina vitu vya ajabu sana...

Awamu hii ya utetezi tungesikia mengi sana...

Tumuombee sana URIO,,, kwasabu aliwachoma wenzake,, na njia ya muongo imekuwa fupi sana..
 
Hakika Mungu Ni Mwema Sana amekuwa nasi siku zote hakika kutokukata tamaa no silaha tosha ya kupambana na waasimu wako.

Mbowe wewe ni Baba, Wewe ni Mpambanaji, Wewe ni kisiki, Jina lako limeinuliwa juu juu juu kabisa

Hukutaka kufanya makubaliano na watesi wako ili uwasaliti walionyuma yako.

Wewe ni zaidi ya kiongozi
Mungu akupe utunzaji mwema

Amina
 
Mbowe ukishamalizana na Familia yako breki ya pili nenda Chato kuhiji baada ya hapo tunachukuwa nchi 2025 !
 
Mahakama yaamuru Mbowe na wenzake kuachiwa

Mahakama Kuu imemwachia huru M/Kiti wa CHADEMA Taifa pamoja na wenzake 3 waliokuwa wakikabiliwa na Mashtaka ya Ugaidi

Pia, Jaji kaagiza vielelezo vilivyowasilishwa Mahakamani wakati wa Kesi navyo kuachiwa
Hapo maneno, hapa sasa tutaenda sawa, na hii ndio maana ya haki, ila ingependeza walio potosha hili Hadi kwenda kote huku nao tuwaulize ilikuwaje🤔
 
Ndio shida ya kutumika!Aibu Kwa Jaji Kwa maamuzi aliyofanya wiki chache zilizopita!Watu wamebumba ushahidi wakaja kuuleta mahakamani,kila mtu akaona ni ushahidi wa mchongo na hakuna kesi!Jaji akasukumwa kuamua kuwa Wana kesi ya kujibu!Kabla hawajaanza kujitetea DPP anasema hana nia ya kuendelea na kesi maana ushahidi alionao ni crap!
Jaji unajisikiaje huko uliko?Ungeyajua haya,Bado uamuzi wako ungekuwa watuhumiwa Wana kesi ya kujibu?
shukuru hata katoka sasa akakae na familia sasa..

hizi siasa za tanzania ni za ovyo sana inafika wakati tuelewe tu kwa sasa nchi hii ni nchi ya chama kimoja na hatujafika hatua ya kupevuka kuwa na multi-partism sytem.

hata huo upinzani wenyewe haueleweki na haujielewi kabisa mtu mwenye damu ya upinzani nchii hii walikuwa wawili tu na sasa kabakia mmoja ni maalim seif(marehemu) na lisu hawa watu ni wapinzani wa kweli walibaki ni wachumia tumbo.
 
Na jambo jema Chief kurudi mtaani, akakikuze chama chake sasa maana huyu Mnyika yupo yupo tu!

Hopefully atahudhuria kikao chao na Samia 30-31!

Lakini ikimpendeza pia atafute KM mwingine
 
Kesi imetufundisha mengi

1. PGO.....Polisi wengi waandamizi hawaifahamu PGO ambayo ndio departmental instruction ya polisi

2. Maafisa wengi wa polisi Wana panic mbele ya mawakili

3. Swila ni mgonjwa.

4. Kutengeneza kesi ya michongo kunahitaji mtu mwenye IQ ya juu.

5. Katika kitu Cha kutunga you can not cover all angles.

Mbowe karibu utaiani
 
Ni habari njema sana,
Tuendelee kumuombea apate afya njema yeye na wenzie
 
Back
Top Bottom