Asante Rais wangu Mpendwa Mh. SSH. Mwenyenzi Mungu akupe hekima na ufahamu zaidi. Akupe kujawa na upendo na haki katika utendaji wako.
Mungu akupe kuisimamia nchi ktk haki pasipo kubebwa na nasty cabals zisizojali maslahi ya nchi. Kwa mwendo huu naamini Mungu atakupa nguvu ya kuwashinda wenye chama chao na kutuletea katiba na kuisimika mihimili inayosimamia haki bila kupepesa macho.
Asante sana nyote mliosimama Mwenyekiti Mbowe, naomba CCM wenzangu tuwe watulivu huku tukataka haki isimame imara ktk kila kitu hata katika chaguzi zote.