Skylar
JF-Expert Member
- Nov 10, 2021
- 2,334
- 5,550
Leo watabwatuka sana humu maana halkua wanamsemo wao mvua thelathini, sasa hamna mvua hata moja wakapambane na kingai hukoJamaa kamasi zilimtoka sana akaomba suluhu......š¤£
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Leo watabwatuka sana humu maana halkua wanamsemo wao mvua thelathini, sasa hamna mvua hata moja wakapambane na kingai hukoJamaa kamasi zilimtoka sana akaomba suluhu......š¤£
Subiri buku saba yako uendelee kunywa mkuu ndio kilichobakiMakerubi wa Zumaridi wanapambana huko mahakamani ,mimi niko hapa mitaa ya kuelekea Lumumba nakunywa gahwa tu.....karibuš
Pole sana bwana naona mmepata pigo la kufa mtu lakini msijali ndio dunia ilivyo, haki waga haipotei ila inaweza kucheleweshwa tu.Mnajisumbua tu hakuna katiba mpya hapa! Fanyeni kazi tujenge nchi! Acheni bla bla mtapigwa na vitu vizito kichwani
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Sina cha kushangili maana alikuwa ameonewa kwa kubambikiwa kesi! kama angelikuwa kweli katenda kosa, basi ningelishangilia. Labda nishangilie HAKI IMESHINDA! ErythrocyteMungu wa mbinguni awabariki nyote.
Leo kuna Ibada ya Njia Ya Msalaba aliyopitia Bwana wetu Yesu Kristo kuelekea kwenye ukombozi wa Wana wa Mungu.
Ni imani yangu Simon wa Kirene atatuongoza!
Updates;
Nawatakia Chadema wote Ibada njema ya Njia ya Msalaba.
Mungu ni MWEMA wakati wote.
Jumaa kareem.
The End.
Hujui kuwa Mahakama ilimkuta na kesi ya kujibu? Kesi ya ugaidi!!!!!!!Changamoto gani za kisheria.
Unacheka kwa uchungu pole sana ndo hivyo itabidi uvumilie tu sawa kerubi.š¤£š¤£š¤£š¤£
Rumande na magereza bado yapo....
Ndo ameshasamehewa sasa! Andamaneni kupinga huo msamaha! Aache vitendo vya kigaidi atakuja afungwe!!Uzee wako ni uzee kweli au ni uzee wa kuchezea matope?
Mbowe hajakutwa na hatia bali KESI YA KUJIBU.
Maana yake wajitetee katika hayo wanayotuhumiwa...kwasababu yaliyosemwa yalisemwa na upande mmoja...kujitetea kwao ni kuipa mahakama kupima pande zote ndipo itoe hukumu.
Sanamu ya Kibatala inajengwa wapi wazee
Weraaaaa irudiwe waisikie...Golikipa ni Fredrick Kihwelo, Mbavu ya kulia Sisty Aloyce, Mbavu ya kushoto Gaston Garubindi,
Halfback four yupo Iddi Msawanga
Center half kasimama Brigadia Generali Nashon Nkungu, Halfback six Evaresta Kisanga
Right wing ni Maria Mushi, Inside Eight ni Luteni Generali
John Mallya, Center forward ni Generali Peter Kibatala,
Inside Ten ni Luteni Kanali Jeremiah Mtobesya na Left wing ni
Meja Jenerali Dickson Matata...
Kwa kikosi hiki lazima uweke mpira kwapani...š¤£šš¤£š
Mchungaji Erasto anasema kama kuna watu wa kupongezwa katika ushindi wa Freeman Mbowe basi ni Wakili msomi Peter Kibatala na jopo lake lote.
Wengine ni Viongozi wawili wa Kiroho Shehe Ponda na Askofu Mwamakula.
Pia mh Tundu Lisu Mungu wa mbinguni ambariki sana kwa kufanya kila awezalo hadi akaonana " Ana kwa Ana" na Rais Samia
Hapa duniani ni vigumu sana kuruhusiwa kukutana na Rais wa nchi kwenye kikao cha Watu Wawili lakini Tundu Lisu ameweza, anasema mchungaji Erasto.
Maendeleo hayana vyama!