Mbowe acha kutetea watu wapumbavu

Mbowe acha kutetea watu wapumbavu

technically

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2016
Posts
12,706
Reaction score
52,355
Wabongo ni taifa la wapumbavu

Leo hii Mbowe alianza kutumia pesa za baba yake kujenga chama miaka ya 2000 leo ndiye anaitwa mlamba asali?

Mbowe mwaka 2005 alikodi helicopter kuzunguka nchi mzima wakati chama hakina hata ruzuku leo watu wanasema kalamba asali?

Aisee Mbowe kavunjiwa club yake kwa sababu ya kupigania wapumbavu

Account zake zikafungiwa kisa wapuuzi

Halafu mwisho akafungwa sababu ya wapuuzi na kupewa kesi ya ugaidi!! Shame

Mbowe toka mwaka 2000 mpaka leo miaka 23 kashatumia pesa kiasi gani toka mfukoni mwake?

Mbowe angekuwa mlamba asali Basi angeilamba kwenye utawala wa Magufuli ambaye aliwanunua wabunge 19, Kafulila na wenzie wote walipewa ubunge na uwaziri!! Lakini pamoja na kuwekewa dau la billion 5 na Magufuli akiuze chama ili aweke mwenyekiti mamluki kama ilivyo kwa vyama vyote vingine vya upinzani alikataa na kuendelea kupigania wapumbavu.

Msimamo wa Mbowe upo wazi kabisa anataka Katiba mpya, Tume huru ya uchaguzi, My control Mfumuko wa bei, Nchi kutokopa ovyo, Uhuru wa vyombo vya habari, Kushughulikia Deni la taifa!!!

Wabongo wanataka siasa za majitaka za kutukana siasa hizo hazina nafasi Dunia nzima siasa za Sasa ni hoja !!!

Pia watanzania wengi wameanza kufatilia siasa za upinzania miaka ya utawala wa Magufuli.

Nchi hii ina watu wapumbavu Sana nashauri Mbowe aachane na kutetea wapuuzi
 
Wabongo ni taifa la wapumbavu

Leo hii Mbowe alianza kutumia pesa za baba yake kujenga chama miaka ya 2000 leo ndiye anaitwa mlamba asali?

Mbowe mwaka 2005 alikodi helicopter kuzunguka nchi mzima wakati chama hakina hata ruzuku leo watu wanasema kalamba asali?

Aisee Mbowe kavunjiwa club yake kwa sababu ya kupigania wapumbavu

Account zake zikafungiwa kisa wapuuzi

Halafu mwisho akafungwa sababu ya wapuuzi na kupewa kesi ya ugaidi!! Shame

Mbowe toka mwaka 2000 mpaka leo miaka 23 kashatumia pesa kiasi gani toka mfukoni mwake?

Mbowe angekuwa mlamba asali Basi angeilamba kwenye utawala wa Magufuli ambaye aliwanunua wabunge 19, Kafulila na wenzie wote walipewa ubunge na uwaziri!! Lakini pamoja na kuwekewa dau la billion 5 na Magufuli akiuze chama ili aweke mwenyekiti mamluki kama ilivyo kwa vyama vyote vingine vya upinzani alikataa na kuendelea kupigania wapumbavu.

Msimamo wa Mbowe upo wazi kabisa anataka Katiba mpya, Tume huru ya uchaguzi, My control Mfumuko wa bei, Nchi kutokopa ovyo, Uhuru wa vyombo vya habari, Kushughulikia Deni la taifa!!!

Wabongo wanataka siasa za majitaka za kutukana siasa hizo hazina nafasi Dunia nzima siasa za Sasa ni hoja !!!

Nchi hii ina watu wapumbavu Sana nashauri Mbowe aachane na kutetea wapuuzi
Hakuna taifa limemekua na safari ya mabadiliko bila watu wachache kuongoza njia,so tukana watu wapumbavu sio sawa
 
Wabongo ni taifa la wapumbavu

Leo hii Mbowe alianza kutumia pesa za baba yake kujenga chama miaka ya 2000 leo ndiye anaitwa mlamba asali?

Mbowe mwaka 2005 alikodi helicopter kuzunguka nchi mzima wakati chama hakina hata ruzuku leo watu wanasema kalamba asali?

Aisee Mbowe kavunjiwa club yake kwa sababu ya kupigania wapumbavu

Account zake zikafungiwa kisa wapuuzi

Halafu mwisho akafungwa sababu ya wapuuzi na kupewa kesi ya ugaidi!! Shame

Mbowe toka mwaka 2000 mpaka leo miaka 23 kashatumia pesa kiasi gani toka mfukoni mwake?

Mbowe angekuwa mlamba asali Basi angeilamba kwenye utawala wa Magufuli ambaye aliwanunua wabunge 19, Kafulila na wenzie wote walipewa ubunge na uwaziri!! Lakini pamoja na kuwekewa dau la billion 5 na Magufuli akiuze chama ili aweke mwenyekiti mamluki kama ilivyo kwa vyama vyote vingine vya upinzani alikataa na kuendelea kupigania wapumbavu.

Msimamo wa Mbowe upo wazi kabisa anataka Katiba mpya, Tume huru ya uchaguzi, My control Mfumuko wa bei, Nchi kutokopa ovyo, Uhuru wa vyombo vya habari, Kushughulikia Deni la taifa!!!

Wabongo wanataka siasa za majitaka za kutukana siasa hizo hazina nafasi Dunia nzima siasa za Sasa ni hoja !!!

Pia watanzania wengi wameanza kufatilia siasa za upinzania miaka ya utawala wa Magufuli.

Nchi hii ina watu wapumbavu Sana nashauri Mbowe aachane na kutetea wapuuzi
Mbowe ni mpumbavu tu kama wewe, wote walamba asali ya Hangaya
 
Hakuna taifa limemekua na safari ya mabadiliko bila watu wachache kuongoza njia,so tukana watu wapumbavu sio sawa
Wapumbavu si walichagua ccm 2020 kwa 99% wacha kila mtu avune alichopanda Mbowe anatetea vipi watu waliomkataa kwenye sanduku la kura 2020? Kila mtu apambane sio kungoja kufanyiwa na mwingine !!!

Chadema Kwa Sasa hata ruzuku hakuna wanapata wapi pesa ya kuendesha hizo kampeni za kuwatetea wapumbavu!!
 
Wabongo ni taifa la wapumbavu

Leo hii Mbowe alianza kutumia pesa za baba yake kujenga chama miaka ya 2000 leo ndiye anaitwa mlamba asali?

Mbowe mwaka 2005 alikodi helicopter kuzunguka nchi mzima wakati chama hakina hata ruzuku leo watu wanasema kalamba asali?

Aisee Mbowe kavunjiwa club yake kwa sababu ya kupigania wapumbavu

Account zake zikafungiwa kisa wapuuzi

Halafu mwisho akafungwa sababu ya wapuuzi na kupewa kesi ya ugaidi!! Shame

Mbowe toka mwaka 2000 mpaka leo miaka 23 kashatumia pesa kiasi gani toka mfukoni mwake?

Mbowe angekuwa mlamba asali Basi angeilamba kwenye utawala wa Magufuli ambaye aliwanunua wabunge 19, Kafulila na wenzie wote walipewa ubunge na uwaziri!! Lakini pamoja na kuwekewa dau la billion 5 na Magufuli akiuze chama ili aweke mwenyekiti mamluki kama ilivyo kwa vyama vyote vingine vya upinzani alikataa na kuendelea kupigania wapumbavu.

Msimamo wa Mbowe upo wazi kabisa anataka Katiba mpya, Tume huru ya uchaguzi, My control Mfumuko wa bei, Nchi kutokopa ovyo, Uhuru wa vyombo vya habari, Kushughulikia Deni la taifa!!!

Wabongo wanataka siasa za majitaka za kutukana siasa hizo hazina nafasi Dunia nzima siasa za Sasa ni hoja !!!

Pia watanzania wengi wameanza kufatilia siasa za upinzania miaka ya utawala wa Magufuli.

Nchi hii ina watu wapumbavu Sana nashauri Mbowe aachane na kutetea wapuuzi

Huhitaji kupanick labda kama unafaidika binafsi na Mbowe. Ni kweli Mbowe amefanya mazuri ndani ya CDM, lakini kwa sasa amefika mwisho na anaanza kuharibu mazuri yake yote. Kwa taarifa yako Mbowe amefaidika sana na CDM kuliko alichotoa, japo ni kweli pesa zake zilisaidia sana kwenye ujenzi wa chama hapo awali.

Lakini kwa kiwango kikubwa Mbowe ameshindwa kuibadilisha Cdm hasa upande wa miundombinu kama ofisi nk. CDM sio chama cha kukosa ofisi yenye hadhi ya chama hicho, na ofisi 1 kila mkoa. Tukubaliane tu kwa sasa Mbowe ameshafikia mwisho wake. Tunakuomba umshauri kiroho safi kuwa akae pembeni maana sisi wafuasi wake hatuna imani naye. Huko CCM ndio kuna tabia ya kufumbiana macho kwa kiongozi akichemsha.
 
Wabongo ni taifa la wapumbavu

Leo hii Mbowe alianza kutumia pesa za baba yake kujenga chama miaka ya 2000 leo ndiye anaitwa mlamba asali?

Mbowe mwaka 2005 alikodi helicopter kuzunguka nchi mzima wakati chama hakina hata ruzuku leo watu wanasema kalamba asali?

Aisee Mbowe kavunjiwa club yake kwa sababu ya kupigania wapumbavu

Account zake zikafungiwa kisa wapuuzi

Halafu mwisho akafungwa sababu ya wapuuzi na kupewa kesi ya ugaidi!! Shame

Mbowe toka mwaka 2000 mpaka leo miaka 23 kashatumia pesa kiasi gani toka mfukoni mwake?

Mbowe angekuwa mlamba asali Basi angeilamba kwenye utawala wa Magufuli ambaye aliwanunua wabunge 19, Kafulila na wenzie wote walipewa ubunge na uwaziri!! Lakini pamoja na kuwekewa dau la billion 5 na Magufuli akiuze chama ili aweke mwenyekiti mamluki kama ilivyo kwa vyama vyote vingine vya upinzani alikataa na kuendelea kupigania wapumbavu.

Msimamo wa Mbowe upo wazi kabisa anataka Katiba mpya, Tume huru ya uchaguzi, My control Mfumuko wa bei, Nchi kutokopa ovyo, Uhuru wa vyombo vya habari, Kushughulikia Deni la taifa!!!

Wabongo wanataka siasa za majitaka za kutukana siasa hizo hazina nafasi Dunia nzima siasa za Sasa ni hoja !!!

Pia watanzania wengi wameanza kufatilia siasa za upinzania miaka ya utawala wa Magufuli.

Nchi hii ina watu wapumbavu Sana nashauri Mbowe aachane na kutetea wapuuzi
Mbumbavu ni wewe na mumeo aliekutuma uandike uharo huu.
 
Huhitaji kupanick labda kama unafaidika binafsi na Mbowe. Ni kweli Mbowe amefanya mazuri ndani ya CDM, lakini kwa sasa amefika mwisho na anaanza kuharibu mazuri yake yote. Kwa taarifa yako Mbowe amefaidika sana na CDM kuliko alichotoa, japo ni kweli pesa zake zilisaidia sana kwenye ujenzi wa chama hapo awali.

Lakini kwa kiwango kikubwa Mbowe ameshindwa kuibadilisha Cdm hasa upande wa miundombinu kama ofisi nk. CDM sio chama cha kukosa ofisi yenye hadhi ya chama hicho, na ofisi 1 kila mkoa. Tukubaliane tu kwa sasa Mbowe ameshafikia mwisho wake. Tunakuomba umshauri kiroho safi kuwa akae pembeni maana sisi wafuasi wake hatuna imani naye. Huko CCM ndio kuna tabia ya kufumbiana macho kwa kiongozi akichemsha.
Wewe ni timu lema.
 
Unajua nguvu ya Chama ni nini ?

Kwa taarifa yako ni Wanachama (no matter kama ni wapumbavu au werevu; so long as bado ni wanachama ndio nguvu ya chama); Ndio maana kila siku nasema wagombea binafsi waje ili watu wapate platform ya kufanya so called upumbavu wao bila shurti la mtu / watu wowote
 
Wakuu habari!

Mbowe kawatolea mapovu wenzie huko hata hawaelewi.

Nimecheka sana 🤣🤣🤣🤣🤣🤣.
Soma mwenyewe hapa 👇



IMG-20230121-WA0043.jpg
 
pmbi
MBOWE mwenyewe mpuuzi..alipoongea kuwa watanzania wote lazima tuchanje chanjo ya COVID pia shinikizo la lockdown,wakati JPM alikataa mambo hayo,

hapo ndipo nilipomuona mbona Hana uzalendo wowote,Bali ni mchumia tumbo tu
MBOWE mwenyewe mpuuzi..alipoongea kuwa watanzania wote lazima tuchanje chanjo ya COVID pia shinikizo la lockdown,wakati JPM alikataa mambo hayo,

hapo ndipo nilipomuona mbona Hana uzalendo wowote,Bali ni mchumia tumbo tu
aise mbona unawaza kwa kutumia makalio mangapi mlimfanyia lakni bado alivumilia?
 
Wapumbavu si walichagua ccm 2020 kwa 99% wacha kila mtu avune alichopanda Mbowe anatetea vipi watu waliomkataa kwenye sanduku la kura 2020? Kila mtu apambane sio kungoja kufanyiwa na mwingine !!!

Chadema Kwa Sasa hata ruzuku hakuna wanapata wapi pesa ya kuendesha hizo kampeni za kuwaletea wapumbavu!!

Hakuna watu 99% walioichagua CCM. 2020 hakukuwa na uchaguzi, bali maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura. Kama umishiwa na utetezi wa hoja, ni bora ukae kimya kuliko kuleta upotoshaji usio na tija yoyote.
 
Kaka tupe source zako kama msomi usiongee kama mshabiki wa kisiasa!!!
Wabongo ni taifa la wapumbavu

Leo hii Mbowe alianza kutumia pesa za baba yake kujenga chama miaka ya 2000 leo ndiye anaitwa mlamba asali?

Mbowe mwaka 2005 alikodi helicopter kuzunguka nchi mzima wakati chama hakina hata ruzuku leo watu wanasema kalamba asali?

Aisee Mbowe kavunjiwa club yake kwa sababu ya kupigania wapumbavu

Account zake zikafungiwa kisa wapuuzi

Halafu mwisho akafungwa sababu ya wapuuzi na kupewa kesi ya ugaidi!! Shame

Mbowe toka mwaka 2000 mpaka leo miaka 23 kashatumia pesa kiasi gani toka mfukoni mwake?

Mbowe angekuwa mlamba asali Basi angeilamba kwenye utawala wa Magufuli ambaye aliwanunua wabunge 19, Kafulila na wenzie wote walipewa ubunge na uwaziri!! Lakini pamoja na kuwekewa dau la billion 5 na Magufuli akiuze chama ili aweke mwenyekiti mamluki kama ilivyo kwa vyama vyote vingine vya upinzani alikataa na kuendelea kupigania wapumbavu.

Msimamo wa Mbowe upo wazi kabisa anataka Katiba mpya, Tume huru ya uchaguzi, My control Mfumuko wa bei, Nchi kutokopa ovyo, Uhuru wa vyombo vya habari, Kushughulikia Deni la taifa!!!

Wabongo wanataka siasa za majitaka za kutukana siasa hizo hazina nafasi Dunia nzima siasa za Sasa ni hoja !!!

Pia watanzania wengi wameanza kufatilia siasa za upinzania miaka ya utawala wa Magufuli.

Nchi hii ina watu wapumbavu Sana nashauri Mbowe aachane na kutetea wapuuzi
 
Wabongo ni taifa la wapumbavu

Leo hii Mbowe alianza kutumia pesa za baba yake kujenga chama miaka ya 2000 leo ndiye anaitwa mlamba asali?

Mbowe mwaka 2005 alikodi helicopter kuzunguka nchi mzima wakati chama hakina hata ruzuku leo watu wanasema kalamba asali?

Aisee Mbowe kavunjiwa club yake kwa sababu ya kupigania wapumbavu

Account zake zikafungiwa kisa wapuuzi

Halafu mwisho akafungwa sababu ya wapuuzi na kupewa kesi ya ugaidi!! Shame

Mbowe toka mwaka 2000 mpaka leo miaka 23 kashatumia pesa kiasi gani toka mfukoni mwake?

Mbowe angekuwa mlamba asali Basi angeilamba kwenye utawala wa Magufuli ambaye aliwanunua wabunge 19, Kafulila na wenzie wote walipewa ubunge na uwaziri!! Lakini pamoja na kuwekewa dau la billion 5 na Magufuli akiuze chama ili aweke mwenyekiti mamluki kama ilivyo kwa vyama vyote vingine vya upinzani alikataa na kuendelea kupigania wapumbavu.

Msimamo wa Mbowe upo wazi kabisa anataka Katiba mpya, Tume huru ya uchaguzi, My control Mfumuko wa bei, Nchi kutokopa ovyo, Uhuru wa vyombo vya habari, Kushughulikia Deni la taifa!!!

Wabongo wanataka siasa za majitaka za kutukana siasa hizo hazina nafasi Dunia nzima siasa za Sasa ni hoja !!!

Pia watanzania wengi wameanza kufatilia siasa za upinzania miaka ya utawala wa Magufuli.

Nchi hii ina watu wapumbavu Sana nashauri Mbowe aachane na kutetea wapuuzi
Sasa kama kalamba si kawaida kaka au hujui siasa biashara kama zilivyo biashara nyingine
 
Back
Top Bottom