technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 12,706
- 52,355
Wabongo ni taifa la wapumbavu
Leo hii Mbowe alianza kutumia pesa za baba yake kujenga chama miaka ya 2000 leo ndiye anaitwa mlamba asali?
Mbowe mwaka 2005 alikodi helicopter kuzunguka nchi mzima wakati chama hakina hata ruzuku leo watu wanasema kalamba asali?
Aisee Mbowe kavunjiwa club yake kwa sababu ya kupigania wapumbavu
Account zake zikafungiwa kisa wapuuzi
Halafu mwisho akafungwa sababu ya wapuuzi na kupewa kesi ya ugaidi!! Shame
Mbowe toka mwaka 2000 mpaka leo miaka 23 kashatumia pesa kiasi gani toka mfukoni mwake?
Mbowe angekuwa mlamba asali Basi angeilamba kwenye utawala wa Magufuli ambaye aliwanunua wabunge 19, Kafulila na wenzie wote walipewa ubunge na uwaziri!! Lakini pamoja na kuwekewa dau la billion 5 na Magufuli akiuze chama ili aweke mwenyekiti mamluki kama ilivyo kwa vyama vyote vingine vya upinzani alikataa na kuendelea kupigania wapumbavu.
Msimamo wa Mbowe upo wazi kabisa anataka Katiba mpya, Tume huru ya uchaguzi, My control Mfumuko wa bei, Nchi kutokopa ovyo, Uhuru wa vyombo vya habari, Kushughulikia Deni la taifa!!!
Wabongo wanataka siasa za majitaka za kutukana siasa hizo hazina nafasi Dunia nzima siasa za Sasa ni hoja !!!
Pia watanzania wengi wameanza kufatilia siasa za upinzania miaka ya utawala wa Magufuli.
Nchi hii ina watu wapumbavu Sana nashauri Mbowe aachane na kutetea wapuuzi
Leo hii Mbowe alianza kutumia pesa za baba yake kujenga chama miaka ya 2000 leo ndiye anaitwa mlamba asali?
Mbowe mwaka 2005 alikodi helicopter kuzunguka nchi mzima wakati chama hakina hata ruzuku leo watu wanasema kalamba asali?
Aisee Mbowe kavunjiwa club yake kwa sababu ya kupigania wapumbavu
Account zake zikafungiwa kisa wapuuzi
Halafu mwisho akafungwa sababu ya wapuuzi na kupewa kesi ya ugaidi!! Shame
Mbowe toka mwaka 2000 mpaka leo miaka 23 kashatumia pesa kiasi gani toka mfukoni mwake?
Mbowe angekuwa mlamba asali Basi angeilamba kwenye utawala wa Magufuli ambaye aliwanunua wabunge 19, Kafulila na wenzie wote walipewa ubunge na uwaziri!! Lakini pamoja na kuwekewa dau la billion 5 na Magufuli akiuze chama ili aweke mwenyekiti mamluki kama ilivyo kwa vyama vyote vingine vya upinzani alikataa na kuendelea kupigania wapumbavu.
Msimamo wa Mbowe upo wazi kabisa anataka Katiba mpya, Tume huru ya uchaguzi, My control Mfumuko wa bei, Nchi kutokopa ovyo, Uhuru wa vyombo vya habari, Kushughulikia Deni la taifa!!!
Wabongo wanataka siasa za majitaka za kutukana siasa hizo hazina nafasi Dunia nzima siasa za Sasa ni hoja !!!
Pia watanzania wengi wameanza kufatilia siasa za upinzania miaka ya utawala wa Magufuli.
Nchi hii ina watu wapumbavu Sana nashauri Mbowe aachane na kutetea wapuuzi