Dokta Uchwara
JF-Expert Member
- Apr 29, 2022
- 1,370
- 3,152
Mbowe alifungwa na samia.Hao unaowapigia chapuo walikuwa wapi wakati Mbowe anafungwa na utawala dhalimu wa dikteta uchwara magufuli?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbowe alifungwa na samia.Hao unaowapigia chapuo walikuwa wapi wakati Mbowe anafungwa na utawala dhalimu wa dikteta uchwara magufuli?
Kesi yake ilianzishwa na dikteta uchwaraMbowe alifungwa na samia.
Hizi ndio hoja alizozungumzia jana?. Mbona upuuzi?. Hakuna kiongozi kwenye hilo genge lenu, wote mule wachumia tumbo tu.Msimamo wa Mbowe upo wazi kabisa anataka Katiba mpya, Tume huru ya uchaguzi, My control Mfumuko wa bei, Nchi kutokopa ovyo, Uhuru wa vyombo vya habari, Kushughulikia Deni la taifa!!!
🤣🤣anavyoongea ni ccm mtupu. Hongereni CCM (B).Hii haimezeki. Tumekengeuka.
View attachment 2490979
Chama kina jengwa na wanachama hilo pekee la muhimu unapaswa kufahamu katika ulimwengu wa siasa.Kuna watu wana mihemko huku, kujiona wao ndio kila kitu Chadema...
Kumbe ni nyuma ya keyboard tu[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Mwenyezi Mungu ana watetea wewe na nani ?Acha ujinga kk. Mwenzako yupo kazini apo, alokwambia anatetea watu nani ye anatetea ugari wake. Sisi tunatetewa na MWENYEZI MUNGU hawa wanasiasa hawapunguzi wala kuongeza chochote katika maisha yetu.
Haufahamu historia ya usimikwaji wa ujamaa hapa duniani ni vyema ukajifunza kwanza kabla ya kuandika.Wa Tanzania si wapumbavu ni wajamaa, nchi yoyote yenye historia ya ujamaa raia wake si wana mageuzi. Nenda Urusi, China, na Cuba.
Kenge wewe!Wabongo ni taifa la wapumbavu
Leo hii Mbowe alianza kutumia pesa za baba yake kujenga chama miaka ya 2000 leo ndiye anaitwa mlamba asali?
Mbowe mwaka 2005 alikodi helicopter kuzunguka nchi mzima wakati chama hakina hata ruzuku leo watu wanasema kalamba asali?
Aisee Mbowe kavunjiwa club yake kwa sababu ya kupigania wapumbavu
Account zake zikafungiwa kisa wapuuzi
Halafu mwisho akafungwa sababu ya wapuuzi na kupewa kesi ya ugaidi!! Shame
Mbowe toka mwaka 2000 mpaka leo miaka 23 kashatumia pesa kiasi gani toka mfukoni mwake?
Mbowe angekuwa mlamba asali Basi angeilamba kwenye utawala wa Magufuli ambaye aliwanunua wabunge 19, Kafulila na wenzie wote walipewa ubunge na uwaziri!! Lakini pamoja na kuwekewa dau la billion 5 na Magufuli akiuze chama ili aweke mwenyekiti mamluki kama ilivyo kwa vyama vyote vingine vya upinzani alikataa na kuendelea kupigania wapumbavu.
Msimamo wa Mbowe upo wazi kabisa anataka Katiba mpya, Tume huru ya uchaguzi, My control Mfumuko wa bei, Nchi kutokopa ovyo, Uhuru wa vyombo vya habari, Kushughulikia Deni la taifa!!!
Wabongo wanataka siasa za majitaka za kutukana siasa hizo hazina nafasi Dunia nzima siasa za Sasa ni hoja !!!
Pia watanzania wengi wameanza kufatilia siasa za upinzania miaka ya utawala wa Magufuli.
Nchi hii ina watu wapumbavu Sana nashauri Mbowe aachane na kutetea wapuuzi
Kenge babako na mamakoKenge wewe!
Wewe unajitoa ufahamu ,aliewachagua ccm KWa asilimia 99 ni nani walijichagua KWa kuiba kura tu ,wananchi tusiwatusi bureWapumbavu si walichagua ccm 2020 kwa 99% wacha kila mtu avune alichopanda Mbowe anatetea vipi watu waliomkataa kwenye sanduku la kura 2020? Kila mtu apambane sio kungoja kufanyiwa na mwingine !!!
Chadema Kwa Sasa hata ruzuku hakuna wanapata wapi pesa ya kuendesha hizo kampeni za kuwaletea wapumbavu!!
Wakuu habari!
Mbowe kawatolea mapovu wenzie huko hata hawaelewi.
Nimecheka sana 🤣🤣🤣🤣🤣🤣.
Soma mwenyewe hapa 👇