Mbowe acha kutetea watu wapumbavu

Mbowe acha kutetea watu wapumbavu

Msimamo wa Mbowe upo wazi kabisa anataka Katiba mpya, Tume huru ya uchaguzi, My control Mfumuko wa bei, Nchi kutokopa ovyo, Uhuru wa vyombo vya habari, Kushughulikia Deni la taifa!!!
Hizi ndio hoja alizozungumzia jana?. Mbona upuuzi?. Hakuna kiongozi kwenye hilo genge lenu, wote mule wachumia tumbo tu.
 
Kuna watu wana mihemko huku, kujiona wao ndio kila kitu Chadema...

Kumbe ni nyuma ya keyboard tu[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Chama kina jengwa na wanachama hilo pekee la muhimu unapaswa kufahamu katika ulimwengu wa siasa.

Bila wanachama hakuna chama.
 
Acha ujinga kk. Mwenzako yupo kazini apo, alokwambia anatetea watu nani ye anatetea ugari wake. Sisi tunatetewa na MWENYEZI MUNGU hawa wanasiasa hawapunguzi wala kuongeza chochote katika maisha yetu.
Mwenyezi Mungu ana watetea wewe na nani ?
 
Wa Tanzania si wapumbavu ni wajamaa, nchi yoyote yenye historia ya ujamaa raia wake si wana mageuzi. Nenda Urusi, China, na Cuba.
Haufahamu historia ya usimikwaji wa ujamaa hapa duniani ni vyema ukajifunza kwanza kabla ya kuandika.

Falsafa ya kijamaa kiutawala ndio falsafa kwa asilimia kubwa iliyo simikwa katika mataifa mbalimbali kwa njia ya mageuzi yaliyo fanywa na raia/ watawaliwa kwa asilimia kubwa.

Hao Urusi, Cuba, China nenda kasome historia zao kabla ya kuandika.

Achana na ujamaa uchwara ulio anzishwa na mwalimu hapa nchini.
 
Wabongo ni taifa la wapumbavu

Leo hii Mbowe alianza kutumia pesa za baba yake kujenga chama miaka ya 2000 leo ndiye anaitwa mlamba asali?

Mbowe mwaka 2005 alikodi helicopter kuzunguka nchi mzima wakati chama hakina hata ruzuku leo watu wanasema kalamba asali?

Aisee Mbowe kavunjiwa club yake kwa sababu ya kupigania wapumbavu

Account zake zikafungiwa kisa wapuuzi

Halafu mwisho akafungwa sababu ya wapuuzi na kupewa kesi ya ugaidi!! Shame

Mbowe toka mwaka 2000 mpaka leo miaka 23 kashatumia pesa kiasi gani toka mfukoni mwake?

Mbowe angekuwa mlamba asali Basi angeilamba kwenye utawala wa Magufuli ambaye aliwanunua wabunge 19, Kafulila na wenzie wote walipewa ubunge na uwaziri!! Lakini pamoja na kuwekewa dau la billion 5 na Magufuli akiuze chama ili aweke mwenyekiti mamluki kama ilivyo kwa vyama vyote vingine vya upinzani alikataa na kuendelea kupigania wapumbavu.

Msimamo wa Mbowe upo wazi kabisa anataka Katiba mpya, Tume huru ya uchaguzi, My control Mfumuko wa bei, Nchi kutokopa ovyo, Uhuru wa vyombo vya habari, Kushughulikia Deni la taifa!!!

Wabongo wanataka siasa za majitaka za kutukana siasa hizo hazina nafasi Dunia nzima siasa za Sasa ni hoja !!!

Pia watanzania wengi wameanza kufatilia siasa za upinzania miaka ya utawala wa Magufuli.

Nchi hii ina watu wapumbavu Sana nashauri Mbowe aachane na kutetea wapuuzi
Kenge wewe!
 
Wapumbavu si walichagua ccm 2020 kwa 99% wacha kila mtu avune alichopanda Mbowe anatetea vipi watu waliomkataa kwenye sanduku la kura 2020? Kila mtu apambane sio kungoja kufanyiwa na mwingine !!!

Chadema Kwa Sasa hata ruzuku hakuna wanapata wapi pesa ya kuendesha hizo kampeni za kuwaletea wapumbavu!!
Wewe unajitoa ufahamu ,aliewachagua ccm KWa asilimia 99 ni nani walijichagua KWa kuiba kura tu ,wananchi tusiwatusi bure
 
Ndio sababu hataki kuachia uongozi? Huenda ni sawa na Mrema (RIP). Huenda ana U-CCM ndani.
 
Back
Top Bottom