Mbowe acha kutetea watu wapumbavu

Mbowe acha kutetea watu wapumbavu

Leo walitegemea aitukane serikali ili wapate maneno ya kusema kuwa upinzani hauna jipya.ila Mbowe kushukuru maridhiano nimegundua imewauma wengi sana tuendelee kumpa moyo malengo yatafikiwa.
 
Huhitaji kupanick labda kama unafaidika binafsi na Mbowe. Ni kweli Mbowe amefanya mazuri ndani ya CDM, lakini kwa sasa amefika mwisho na anaanza kuharibu mazuri yake yote. Kwa taarifa yako Mbowe amefaidika sana na CDM kuliko alichotoa, japo ni kweli pesa zake zilisaidia sana kwenye ujenzi wa chama hapo awali.

Lakini kwa kiwango kikubwa Mbowe ameshindwa kuibadilisha Cdm hasa upande wa miundombinu kama ofisi nk. CDM sio chama cha kukosa ofisi yenye hadhi ya chama hicho, na ofisi 1 kila mkoa. Tukubaliane tu kwa sasa Mbowe ameshafikia mwisho wake. Tunakuomba umshauri kiroho safi kuwa akae pembeni maana sisi wafuasi wake hatuna imani naye. Huko CCM ndio kuna tabia ya kufumbiana macho kwa kiongozi akichemsha.
Hao unaowapigia chapuo walikuwa wapi wakati Mbowe anafungwa na utawala dhalimu wa dikteta uchwara magufuli?
 
Mbowe ni kiongozi yuko sahihi kutoa mwelekeo wa chama chake kwa misingi ya maridhiano, angalau CDM mnaweza kuitikisa CCM ili mradi mwende nayo kisayansi siyo kimabavu hamtaiweza zaidi ya kuishia kukimbilia nje ya nchi uhamishoni.
Hii watakuelewa wachache wenye akili mkuu.
 
Hakuna anayetaka maridhiano ya kitapeli. Kiongozi anayeendekeza maridhiano ya kitapeli hatumuelewi. CCM hawana mabavu yoyote zaidi ya kutegemea mbeleko ya vyombo vya dola. Kama Mbowe anataka maridhiano na ccm, afanye maridhiano hayo kimpango wake.
Si mliambiwa muandamane mliishia wapi? Hii Tanzania ujasiri mnaouonesha humu jukwaani onesheni na kwenye field tutawaelewa. Mbowe ameshawajua watanzania anajua namna ya kuendesha siasa za opposition kwa sasa. Tulieni muache vihere here.
 
Chadema haikujengwa na mabilioni bali moyo wa wananchi na vijana wa kupigania mabadiliko...na ndiyo maana ni chama kikubwa kinachoungwa mkono na watu wengi wa hali zote....inawezekana mchango wa bilioni 3 ukawa mdogo kulinganisha na elfu 50 ya mimi machinga...kutamka jinsi unavyogharamia au kujitolea ina maana wengine tusiwe na haki ya kushirikishwa kwenye maridhiano au kujua tunaridhiana kitu gani?
 
Si mliambiwa muandamane mliishia wapi? Hii Tanzania ujasiri mnaouonesha humu jukwaani onesheni na kwenye field tutawaelewa. Mbowe ameshawajua watanzania anajua namna ya kuendesha siasa za opposition kwa sasa. Tulieni muache vihere here.

Mbowe aliandamana? Kwa siasa hizo ni kama kaamua kuwapa CCM mtaji wa wazi. Kama watu hawakuandamana na kaamua kujisalimisha basi kamaliza Spirit ya chama.
 
Wabongo ni taifa la wapumbavu

Leo hii Mbowe alianza kutumia pesa za baba yake kujenga chama miaka ya 2000 leo ndiye anaitwa mlamba asali?

Mbowe mwaka 2005 alikodi helicopter kuzunguka nchi mzima wakati chama hakina hata ruzuku leo watu wanasema kalamba asali?

Aisee Mbowe kavunjiwa club yake kwa sababu ya kupigania wapumbavu

Account zake zikafungiwa kisa wapuuzi

Halafu mwisho akafungwa sababu ya wapuuzi na kupewa kesi ya ugaidi!! Shame

Mbowe toka mwaka 2000 mpaka leo miaka 23 kashatumia pesa kiasi gani toka mfukoni mwake?

Mbowe angekuwa mlamba asali Basi angeilamba kwenye utawala wa Magufuli ambaye aliwanunua wabunge 19, Kafulila na wenzie wote walipewa ubunge na uwaziri!! Lakini pamoja na kuwekewa dau la billion 5 na Magufuli akiuze chama ili aweke mwenyekiti mamluki kama ilivyo kwa vyama vyote vingine vya upinzani alikataa na kuendelea kupigania wapumbavu.

Msimamo wa Mbowe upo wazi kabisa anataka Katiba mpya, Tume huru ya uchaguzi, My control Mfumuko wa bei, Nchi kutokopa ovyo, Uhuru wa vyombo vya habari, Kushughulikia Deni la taifa!!!

Wabongo wanataka siasa za majitaka za kutukana siasa hizo hazina nafasi Dunia nzima siasa za Sasa ni hoja !!!

Pia watanzania wengi wameanza kufatilia siasa za upinzania miaka ya utawala wa Magufuli.

Nchi hii ina watu wapumbavu Sana nashauri Mbowe aachane na kutetea wapuuzi

Mbowe kafanya mengi,. Ila kukaa madarakani zaidi ya miaka ishirini kunaleta shida.
 
Vio
Wakuu habari!

Mbowe kawatolea mapovu wenzie huko hata hawaelewi.

Nimecheka sana 🤣🤣🤣🤣🤣🤣.
Soma mwenyewe hapa 👇



Viongozi Wenzake wamekataa ujinga wake. Wameongelea issues za wananchi, yeye akadhani watamsifia mama Samia. Lissu ndio atasafisha adhari za hotuba ya Jana.
 
Hakuna anayetaka maridhiano ya kitapeli. Kiongozi anayeendekeza maridhiano ya kitapeli hatumuelewi. CCM hawana mabavu yoyote zaidi ya kutegemea mbeleko ya vyombo vya dola. Kama Mbowe anataka maridhiano na ccm, afanye maridhiano hayo kimpango wake.
Hebu toa ushauri wewe unataka nini kifanyike?
 
Unaujua uhalisia wa kilichotokea pale Furahisha,uzuri nilikuwepo Live kwakuwa mimi nipo hapa hapa Mwanza. Endelea kulumbana na Makamanda wenzio huku ukimtolea povu M/Kiti.Hii ndiyo Mwanza na nilikutahadharisha haitowaacheni salama.Vipi kuna nani alifunua mdomo wake kutamka hata neno Sukuma Gang?

Nani alikuwa na muda kuongelea upuuzi? CHADEMA hatuabudu Marehemu. Halafu mlisema CHADEMA haitafanya mkutano Mara watazomewa. Na huo ni mktano wa kwanza ngoja momentum ishike.
 
Mna bahati sana NINGEKUWA mimi mbowe ningewauza zamani sana, ukizingatia Mali alizopoteza kisa demokrasia ya hapa bongo ukichanganya na watu kutojielewa!!
Wanajifanya wanajua kumbe hawajui, majitu yanayojua kulalamika tu Tena kwa kujificha yasisikike yanayopenda kusemewa bila kujitetea, manafiki
Ndo maana kina lipumba walijilipa mapema kina DK slaa waliona mbali wakaamua kuishi kitanzania(kinafiki)
Kama kweli ni biashara hii siasA
Income 0 outcome 10000000000
Bora alambe asali
Basi tu kwakuwa kachagua kupigania watu wasiokielewa
 
Kwanza mjinga ni wewe na ukoo wako!!

Kingine tambua mbowe kainvest kweny chama ndo maana anakula Bata hata CCM wanajua CDM ni ya Mbowe nyie wengine wafuata mkumbo wakitaka maridhiano wanafanya na Mbowe sio nyie dagaa.

Unajua lowasa alilipa sh ngapi kwa Mbowe ili agombee ? Na nafasi alipata ni kwamba nyie hamna sauti chama ni Mali ya Mbowe na ananufaika nacho ila sio kutetea wabongo.

Magufuli hakutaka kuwa nae karibu coz hapendi shobo hata baadhi ya wanaccm wenzie pia aliwatema ..Anachotaka jamaa yenu kwamba asikilizwe sana kwamba sasa anapoenda mpaka ikulu ila kiukweli Cdm ni Mali ya Mbowe ni biashara yake.

Wewe wasema!
 
Back
Top Bottom