Pre GE2025 Mbowe acha utoto, wanachama wamekufuata nyumbani kwako ghafla lakini wamekuta hema, viti, soda na maji, acheni utani jamani

Pre GE2025 Mbowe acha utoto, wanachama wamekufuata nyumbani kwako ghafla lakini wamekuta hema, viti, soda na maji, acheni utani jamani

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Vyombo vya habari vinaripoti kuwa wanachama wamevamia nyumbani kwa mBOWE kumsihi achukue fomu za kugombea uenyekiti wa chama hicho ili akamkabili msanii Tundu Lissu.


Pia soma: Kuelekea 2025 - Wafuasi CHADEMA wavamia nyumbani kwa Mbowe kumlazimisha achukue Fomu ya kugombea Uenyekiti

Yapo mambo ya kujiuliza na kufikirisha sana, kwanza huko nyumbani kwake Mbowe Mikocheni kumeshaandaliwa hema likiwa tayari na viti, maspika na podium ya kuongea, pili bodaboda tangu jana walikuwa wanahamasishwa kuna mafuta na posho ya bure kwenda nyumbani kwa Mbowe, aliyenfanya kazi hiyo ni mwenyekiti wa bodaboda mikocheni, tatu, kwenye nyumba ya mbowe kuna soda na maji kwa wageni.

Hilo ni jambo la kushtukiza kweli? Shame on you
Mbowe kawaandalia soda, juice na maji wana ccm wenzake.
 
pili bodaboda tangu jana walikuwa wanahamasishwa kuna mafuta na posho ya bure kwenda nyumbani kwa Mbowe, aliyenfanya kazi hiyo ni mwenyekiti wa bodaboda mikocheni, tatu, kwenye nyumba ya mbowe kuna soda na maji kwa wageni.
Inaashiria wamefuata vimiminika tajwa na posho
 
Vyombo vya habari vinaripoti kuwa wanachama wamevamia nyumbani kwa mBOWE kumsihi achukue fomu za kugombea uenyekiti wa chama hicho ili akamkabili msanii Tundu Lissu.


Pia soma: Kuelekea 2025 - Wafuasi CHADEMA wavamia nyumbani kwa Mbowe kumlazimisha achukue Fomu ya kugombea Uenyekiti

Yapo mambo ya kujiuliza na kufikirisha sana, kwanza huko nyumbani kwake Mbowe Mikocheni kumeshaandaliwa hema likiwa tayari na viti, maspika na podium ya kuongea, pili bodaboda tangu jana walikuwa wanahamasishwa kuna mafuta na posho ya bure kwenda nyumbani kwa Mbowe, aliyenfanya kazi hiyo ni mwenyekiti wa bodaboda mikocheni, tatu, kwenye nyumba ya mbowe kuna soda na maji kwa wageni.

Hilo ni jambo la kushtukiza kweli? Shame on you
Mambo ya kiccm hayo. Mwenzake akachukua fomu Jana Leo kairudisha bila mbwembwe Wala kelele

No time to waste on childish ccm style politics
 
Mbowe ni DJ kwa asilia, kwahiyo usanii uko kwenye damu yake.
 
Vyombo vya habari vinaripoti kuwa wanachama wamevamia nyumbani kwa mBOWE kumsihi achukue fomu za kugombea uenyekiti wa chama hicho ili akamkabili msanii Tundu Lissu.


Pia soma: Kuelekea 2025 - Wafuasi CHADEMA wavamia nyumbani kwa Mbowe kumlazimisha achukue Fomu ya kugombea Uenyekiti

Yapo mambo ya kujiuliza na kufikirisha sana, kwanza huko nyumbani kwake Mbowe Mikocheni kumeshaandaliwa hema likiwa tayari na viti, maspika na podium ya kuongea, pili bodaboda tangu jana walikuwa wanahamasishwa kuna mafuta na posho ya bure kwenda nyumbani kwa Mbowe, aliyenfanya kazi hiyo ni mwenyekiti wa bodaboda mikocheni, tatu, kwenye nyumba ya mbowe kuna soda na maji kwa wageni.

Hilo ni jambo la kushtukiza kweli? Shame on you
Ume sikiliza au ameamka usingizini ukaa amua kuandika
 
1734557860873.png
... GRAND SCOOP! 🤣
 
Natamani kuona kura halali. # Chadema ithibitishe demokrasia
 
Back
Top Bottom