Pre GE2025 Mbowe aelezea alivyonusurika kuuwawa June 2013 Soweto Arusha

Pre GE2025 Mbowe aelezea alivyonusurika kuuwawa June 2013 Soweto Arusha

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mwenyekiti wa Chadema mh Freeman Mbowe ameueleza Uongozi wa Kanda ya Kaskazini namna alivyonusurika kuuwawa June 2013 wakati wa Serikali ya awamu ya 4

Mbowe amesema Wasiojulikana walipanga kuripua Fuso kwa Bomu ifikapo Saa 12 wakati wa kufunga Mkutano na Wangewaua Viongozi Wote wa Chadema Taifa na Kanda

Lakini Mungu bariki Saa 11:28 Wananchi waliniomba nishuke kwenye Fuso Ili wanichangie Fedha za Kuwapa Mawakala kwa ajili ya Maji maana kulikuwa na Chaguzi za Madiwani so kitendo cha kushuka ndio kilituokoa.na Vifo

Mbowe amesema tukio lile linamuumiza hadi leo kwa sababu kuna Akina mama na watoto waliuliwa

Credit: Twaha Mwaipaya X

Ikumbukwe 2013 Shujaa Magufuli hakuwa Rais
Acha siasa za maji taka ,hivi kweli ni hadi awepo kwenye mikutano ndi auwawe? Huenda lile tukio lilikuwa staged na mzee mbowe mwenyewe aisee,eti risasi zilimkwepa ?🙆‍♂️
 
Mwenyekiti wa Chadema mh Freeman Mbowe ameueleza Uongozi wa Kanda ya Kaskazini namna alivyonusurika kuuwawa June 2013 wakati wa Serikali ya awamu ya 4

Mbowe amesema Wasiojulikana walipanga kuripua Fuso kwa Bomu ifikapo Saa 12 wakati wa kufunga Mkutano na Wangewaua Viongozi Wote wa Chadema Taifa na Kanda

Lakini Mungu bariki Saa 11:28 Wananchi waliniomba nishuke kwenye Fuso Ili wanichangie Fedha za Kuwapa Mawakala kwa ajili ya Maji maana kulikuwa na Chaguzi za Madiwani so kitendo cha kushuka ndio kilituokoa.na Vifo

Mbowe amesema tukio lile linamuumiza hadi leo kwa sababu kuna Akina mama na watoto waliuliwa

Credit: Twaha Mwaipaya X

Ikumbukwe 2013 Shujaa Magufuli hakuwa Rais
Kipindi hicho kulikuwa na ''siasa kali'' maeneo ya Arusha na Mwanza. Ndiyo walihusika. Siyo serikali.
 
Mwenyekiti wa Chadema mh Freeman Mbowe ameueleza Uongozi wa Kanda ya Kaskazini namna alivyonusurika kuuwawa June 2013 wakati wa Serikali ya awamu ya 4

Mbowe amesema Wasiojulikana walipanga kuripua Fuso kwa Bomu ifikapo Saa 12 wakati wa kufunga Mkutano na Wangewaua Viongozi Wote wa Chadema Taifa na Kanda

Lakini Mungu bariki Saa 11:28 Wananchi waliniomba nishuke kwenye Fuso Ili wanichangie Fedha za Kuwapa Mawakala kwa ajili ya Maji maana kulikuwa na Chaguzi za Madiwani so kitendo cha kushuka ndio kilituokoa.na Vifo

Mbowe amesema tukio lile linamuumiza hadi leo kwa sababu kuna Akina mama na watoto waliuliwa

Credit: Twaha Mwaipaya X

Ikumbukwe 2013 Shujaa Magufuli hakuwa Rais
Magufuli mtu mbaya sana [emoji53][emoji53][emoji53] kweli watz hatuna akili ndiyo maana tunaongozwa na makahaba hadi majumbani kwetu
 
Kinywaji cha Wanaume [emoji209]
NAONA RIWAYA INA ENDELEA : HARAKATI ZA MBOWE MRAMBA ASALI NA CHUPA YAKE YA KONYAGI ...
Kama konyagi ni kinywaji cha wanaume kumbuka asali ni kinywaji cha machwawa wa samia ...na mbowe anachupa ya konyagi mfuko wa kushoto na mfuko wa kulia anachupa la asali
 
downloadfile(19).jpg
 
Back
Top Bottom