CHIEF PRIEST
JF-Expert Member
- Dec 13, 2021
- 11,635
- 21,347
Wewe ni wa kupuuzwa tu hujawahi kutoa mchango wa maana wewe unachoweza ni kumkashifu Mbowe tu.Tukio lilipangwa na Mzee Mbowe na kundi lake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ni wa kupuuzwa tu hujawahi kutoa mchango wa maana wewe unachoweza ni kumkashifu Mbowe tu.Tukio lilipangwa na Mzee Mbowe na kundi lake
Kipindi hicho kulikuwa na ''siasa kali'' maeneo ya Arusha na Mwanza. Ndiyo walihusika. Siyo serikali.
Acha upuuzi ,mzee alipanga tukio ,leo anatuletea ngonjera hapa eti risasi zilimkosa🙆♂️🙆♂️🙆♂️Wewe ni wa kupuuzwa tu hujawahi kutoa mchango wa maana wewe unachoweza ni kumkashifu Mbowe tu.
Tukio alipanga mwenyewe na kundi lake aiseeMchaga muongo tu huyo, siasa za huruma zimepitwa na wakati.
Hana jipya.
Baba, mama, bibi,babu zako walifia wapi? Km nn?Shujaa gani
Yule kafia mzena kama kuku
Ulikuwa kijijini Chitoholi redio mpaka mkusanyike Kwa Mwenyekiti wa kijiji ungesikiaje?Mbona hilo tukio hatukuliona? Ni wapi hilo tukio lilitokea?
Jibu dume.Inategemea na umri [emoji1]
Chama cha ''makafiri''. Unakumbuka wale masheikh waliokaa sana rumande mpaka na wametoka juzi juzi? Unakumbuka pia kuna bomu lilirushwa kwenye kanisa Katoliki Arusha? Kulikuwa na ka-kikundi ka kuleta chokochoko...watu " siasa kali " walikuwa na tatizo gani na Cdm mpaka waamue kuwashambulia?
Tutamchagua tena aendelee ili sukari ikupande vizuriHuyu nae atupumzishe kwanza ! Sisi tunachotaka Toka ni uchaguzi wa chama utafanyika na yeye atakabidhi lini madaraka? Hayo mengine ni ya kawaida hata sisi huwa tunatekwa huku mtaani
Hapo sasa !Mwenyekiti wa Chadema mh Freeman Mbowe ameueleza Uongozi wa Kanda ya Kaskazini namna alivyonusurika kuuwawa June 2013 wakati wa Serikali ya awamu ya 4
Mbowe amesema Wasiojulikana walipanga kuripua Fuso kwa Bomu ifikapo Saa 12 wakati wa kufunga Mkutano na Wangewaua Viongozi Wote wa Chadema Taifa na Kanda
Lakini Mungu bariki Saa 11:28 Wananchi waliniomba nishuke kwenye Fuso Ili wanichangie Fedha za Kuwapa Mawakala kwa ajili ya Maji maana kulikuwa na Chaguzi za Madiwani so kitendo cha kushuka ndio kilituokoa.na Vifo
Mbowe amesema tukio lile linamuumiza hadi leo kwa sababu kuna Akina mama na watoto waliuliwa
Credit: Twaha Mwaipaya X
Ikumbukwe 2013 Shujaa Magufuli hakuwa Rais
Kwa hiyo serikali inamuogopa,afanye jambo kubwa kama hilo na serikali isimguse kabisa,hilo ni tusi kwa serikali ya CCM.Acha upuuzi ,mzee alipanga tukio ,leo anatuletea ngonjera hapa eti risasi zilimkosa[emoji2297][emoji2297][emoji2297]
Matukio mengi ya uovu uliopitiliza ulianzia awamu ya nne !Kwa hiyo serikali inamuogopa,afanye jambo kubwa kama hilo na serikali isimguse kabisa,hilo ni tusi kwa serikali ya CCM.
Chama cha ''makafiri''. Unakumbuka wale masheikh waliokaa sana rumande mpaka na wametoka juzi juzi? Unakumbuka pia kuna bomu lilirushwa kwenye kanisa Katoliki Arusha? Kulikuwa na ka-kikundi ka kuleta chokochoko.
Mkuu CCM nawachukia mno na wamefanya unyama mwingi. Ila lile tukio la Arusha siyo wao. Kpindi kile kulikuwa na kikundi cha hatari sana. Kulinguwa na tawi mpaka Mwanza...hao watakuwa Ccm msiwasingizie " siasa kali. "
Mkuu CCM nawachukia mno na wamefanya unyama mwingi. Ila lile tukio la Arusha siyo wao. Kpindi kile kulikuwa na kikundi cha hatari sana. Kulinguwa na tawi mpaka Mwanza.
Sawa,mwenzio alikuwa Rais na atakumbukwa vizazi wew endelea na roho mbaya yako Yule ni mfia nchiShujaa gani
Yule kafia mzena kama kuku
Na Baba yako alitekwa na mabaunsa yenye vilainishi au siyo?Ikumbukwe jiwe ndiye aliyempiga risasi Lisu, aliwaua watu wengi sana wakiwemo waliookotwa ufukweni kwenye viroba, Ben Sa8 na Azory Gwanda, n.k. Pia akipora mali za wafanyabiashara, aliteka watu , na mengine mengi.
In short, jiwe hakuwa rais wa nchi hii.