Bosi utasubiri sanaNachukia UOVU hivyo naichukia saana saaana SISIEMU!!!
Hata agombee nani siwezi kuunga mkono hiki chama kwa kura yangu!
Hakuna kitu nasubiri Kwa hamu kama anguko la SISIEMU wakati huo nchi itakuwa imekomboka Toka vitisho,woga,ujinga na umasikini
😂😂😂Mwigulu alikuwa mastermind kama sikosei.
Acha siasa za maji taka ,hivi kweli ni hadi awepo kwenye mikutano ndi auwawe? Huenda lile tukio lilikuwa staged na mzee mbowe mwenyewe aisee,eti risasi zilimkwepa ?🙆♂️Mwenyekiti wa Chadema mh Freeman Mbowe ameueleza Uongozi wa Kanda ya Kaskazini namna alivyonusurika kuuwawa June 2013 wakati wa Serikali ya awamu ya 4
Mbowe amesema Wasiojulikana walipanga kuripua Fuso kwa Bomu ifikapo Saa 12 wakati wa kufunga Mkutano na Wangewaua Viongozi Wote wa Chadema Taifa na Kanda
Lakini Mungu bariki Saa 11:28 Wananchi waliniomba nishuke kwenye Fuso Ili wanichangie Fedha za Kuwapa Mawakala kwa ajili ya Maji maana kulikuwa na Chaguzi za Madiwani so kitendo cha kushuka ndio kilituokoa.na Vifo
Mbowe amesema tukio lile linamuumiza hadi leo kwa sababu kuna Akina mama na watoto waliuliwa
Credit: Twaha Mwaipaya X
Ikumbukwe 2013 Shujaa Magufuli hakuwa Rais
Na ndio maana hadi leo mnao wabunge wa kutosha kwa kweliNakukumbuka kipindi hiyo Chuga CDM ilikuwa ya moto sana mara mabomu mara risasi.
JK moto wa CDM aliuona
Itakuwa mlishirikiana kuandaa tukio husika hakika ukizingatia na wewe ni mchagga tena wa kutoka MachameMwigulu alikuwa mastermind kama sikosei.
Tukio lilipangwa na Mzee Mbowe na kundi lakeLabda hukuwepo Tanzania mkuu,tukio la.Soweto liliripotiwa na vyombo vyote vya habari.
Kipindi hicho kulikuwa na ''siasa kali'' maeneo ya Arusha na Mwanza. Ndiyo walihusika. Siyo serikali.Mwenyekiti wa Chadema mh Freeman Mbowe ameueleza Uongozi wa Kanda ya Kaskazini namna alivyonusurika kuuwawa June 2013 wakati wa Serikali ya awamu ya 4
Mbowe amesema Wasiojulikana walipanga kuripua Fuso kwa Bomu ifikapo Saa 12 wakati wa kufunga Mkutano na Wangewaua Viongozi Wote wa Chadema Taifa na Kanda
Lakini Mungu bariki Saa 11:28 Wananchi waliniomba nishuke kwenye Fuso Ili wanichangie Fedha za Kuwapa Mawakala kwa ajili ya Maji maana kulikuwa na Chaguzi za Madiwani so kitendo cha kushuka ndio kilituokoa.na Vifo
Mbowe amesema tukio lile linamuumiza hadi leo kwa sababu kuna Akina mama na watoto waliuliwa
Credit: Twaha Mwaipaya X
Ikumbukwe 2013 Shujaa Magufuli hakuwa Rais
Hili tukio lilikuwa siyo kutoka serikalini. Ni ''siasa kali'' fulani hivi walikuwa na base yao Arusha na Mwanza. Hata Mwanza walitesa sana.Na hakuna sehemu tulisema JK hakuua wakati wa utawala wake,tunakumbuka ya Mwangosi,Dr. Ulimboka,Dr. Sengondo Mvungi na wengineo.
Duh mkuu wewe ni ke?Itakuwa mlishirikiana kuandaa tukio husika hakika ukizingatia na wewe ni mchagga tena wa kutoka Machame
Ni wa MMarangu niliekataa kuwa msukule wa mzee toka machame ,ndugu yangu shtuka toka usingizini hata kama ni mmachame mwenzakoDuh mkuu wewe ni ke?
Halafu Makupa si wamarangu?
Hapa Papai linachangia ...Makonyagi kwenye ubora wake
Magufuli mtu mbaya sana [emoji53][emoji53][emoji53] kweli watz hatuna akili ndiyo maana tunaongozwa na makahaba hadi majumbani kwetuMwenyekiti wa Chadema mh Freeman Mbowe ameueleza Uongozi wa Kanda ya Kaskazini namna alivyonusurika kuuwawa June 2013 wakati wa Serikali ya awamu ya 4
Mbowe amesema Wasiojulikana walipanga kuripua Fuso kwa Bomu ifikapo Saa 12 wakati wa kufunga Mkutano na Wangewaua Viongozi Wote wa Chadema Taifa na Kanda
Lakini Mungu bariki Saa 11:28 Wananchi waliniomba nishuke kwenye Fuso Ili wanichangie Fedha za Kuwapa Mawakala kwa ajili ya Maji maana kulikuwa na Chaguzi za Madiwani so kitendo cha kushuka ndio kilituokoa.na Vifo
Mbowe amesema tukio lile linamuumiza hadi leo kwa sababu kuna Akina mama na watoto waliuliwa
Credit: Twaha Mwaipaya X
Ikumbukwe 2013 Shujaa Magufuli hakuwa Rais
NAONA RIWAYA INA ENDELEA : HARAKATI ZA MBOWE MRAMBA ASALI NA CHUPA YAKE YA KONYAGI ...Kinywaji cha Wanaume [emoji209]
Ulikuwa wapi nakumbuka hadi watu walikufa watoto na kina mama waliuliwa na magaidi ya msogaMbona hilo tukio hatukuliona? Ni wapi hilo tukio lilitokea?