Mbowe ahusishwa na UFISADI wa kuimaliza NSSF

Mbowe ahusishwa na UFISADI wa kuimaliza NSSF

Bado Noma La Kuiba Magari Uk Nalo Litamfuata. Mzee Alikuwa Akiingiza Mavogue Ya Wizi.

hii ishu ya yeye kuingiza magari ya wizi sio kama itaisha kimya kimya, ni muda sasa tokea niisikie na sijagusia chochote kwa sababu nipo katika hitimisho ya kile nilichokuwa nachunguza !
Baada ya hapo itafuata falsafa aliyoiba toka kwa muasisi wa chama cha mapinduzi anayotumia kuendesha chama chake !
 
Huo ni mkataba wa kibiashara hivyo utamalizika.Sisi wananchi tunaumia na ule ufisadi ambao baadaye tunaugundua,tunaomba mwe mnasemana tu ili kukomesha ufisadi huo ikiwa ni mafanikio ya kupata viongozi bora wenye huruma na wananchi wao kwa kuwatendea haki.
 
Suala la Ufisadi ni suala ambalo limepamba motto katika nchi yetu na ni suala ambalo kwa watanzania wote wenye nia njema na nchi yao wameamua kulivalia njuga kuhakikisha hakuna jiwe litalobaki juu ya jiwe jingine.

Ufisadi umejikita ktk nyanja kuu mbili directly na indirectly.

Direct ni kama pale mafisadi akina Balali na wenzie walipoingia BOT na kukomba fedha,ni kama zile kuingia mikataba ya njiwa na kupata 10% yao.

Indirect ni ile kumutumia mwenye shida kujinufaisha mfano ni pale mwenye shida anakofuata umkopeshe fedha akakodi baskeli maana safari yake ni km 5 .ila wewe ukamlazimisha umkopeshe fedha nyingi na ukamshinikiza akodi basi/helkopita kwenda km 5.

Mbowe na CHADEMA watuambia hizi pesa zetu wanazoripana ni halali ama zimekaa kifisadifisadi .Hizi ni pesa zetu hizi ni pesa za walipa kodi hizi ni pesa zilichukuliwa kutoka HADHINA ya serikali kuwapa CHADEMA kama ruzuku ili kuimarisha demokrasia nchini kwetu,watanzania wote tunahaki ya kuuliza matumizi ya fedha hizi.

Kutumia fedha hizi za ruzuku kiholela pia ni ufisadi maana zinatoka hukohuko BOT ,kwanini nawauliza chadema ni kwamba CHACHA amehoji na kusema kuna problems jinsi MBOWE na wenziwe wanavyolipwa fedha kama deni wanalo kidai chama.
 
Suala la Ufisadi ni suala ambalo limepamba motto katika nchi yetu na ni suala ambalo kwa watanzania wote wenye nia njema na nchi yao wameamua kulivalia njuga kuhakikisha hakuna jiwe litalobaki juu ya jiwe jingine.

Ufisadi umejikita ktk nyanja kuu mbili directly na indirectly.

Direct ni kama pale mafisadi akina Balali na wenzie walipoingia BOT na kukomba fedha,ni kama zile kuingia mikataba ya njiwa na kupata 10% yao.

Indirect ni ile kumutumia mwenye shida kujinufaisha mfano ni pale mwenye shida anakofuata umkopeshe fedha akakodi baskeli maana safari yake ni km 5 .ila wewe ukamlazimisha umkopeshe fedha nyingi na ukamshinikiza akodi basi/helkopita kwenda km 5.

Mbowe na CHADEMA watuambia hizi pesa zetu wanazoripana ni halali ama zimekaa kifisadifisadi .Hizi ni pesa zetu hizi ni pesa za walipa kodi hizi ni pesa zilichukuliwa kutoka HADHINA ya serikali kuwapa CHADEMA kama ruzuku ili kuimarisha demokrasia nchini kwetu,watanzania wote tunahaki ya kuuliza matumizi ya fedha hizi.

Kutumia fedha hizi za ruzuku kiholela pia ni ufisadi maana zinatoka hukohuko BOT ,kwanini nawauliza chadema ni kwamba CHACHA amehoji na kusema kuna problems jinsi MBOWE na wenziwe wanavyolipwa fedha kama deni wanalo kidai chama.

kweli ndg umeishiwa hoja,kama unataka hesabu za vyama vya siasa nenda kwa msajili ya vyama utapata kila kitu,acha kudandia usichokijua!
 
kweli ndg umeishiwa hoja,kama unataka hesabu za vyama vya siasa nenda kwa msajili ya vyama utapata kila kitu,acha kudandia usichokijua!

tatizo liko palepale

Tunahoji jinsi ya malipo yao ya deni milioni 700. Kama ni halali poa kama si halali
Wangwe adhibitiwe mara moja.

Tatizo lenu mnakuwa wagumu kuelewa kua mtu unapohojiwa na unapoyakubali maswali ukayachukulia kama changamoto yanakujenga zaidi na kugundua sehemu kulipo na mapungufu Na si kila anayekuhoji ni adui yako.

Kimantiki maneno ya wangwe yanamtuhumu MBOWE kua ni FISADI hasa anaposema wanalipana kinyume cha sheria.Ili kuliweka hili wazi lazima wanaoshutumiwa wayaweke mambo bayana.

Kama na CHENGE naye tulivyomushutumu kuhusu JERSEY angatuambia nendeni JERSEY kwenye bank kuliko vijisent vyake lazima tungesema anadharau.
 
mkamap, kwanza napenda kuuliza swali la kutaka kujua 'a point of kujua'
1. Hii wewe uliipost kwenye jukwaa hili au ufisadi umeileta hapa......?
2. MBOWE anatakiwa kujibu swali lako kuhusu hayo mamilioni ya walipa kodi kutumika vibaya
 
na kama uliipost kwenye jukwaa hili na wewe nakukumbusha ' kitufe cha THANKS kinafanya kazi ' kibonyeze pale mwandishi anapokuwa amefanya vyema......!
 
mkamap, kwanza napenda kuuliza swali la kutaka kujua 'a point of kujua'
1. Hii wewe uliipost kwenye jukwaa hili au ufisadi umeileta hapa......?
2. MBOWE anatakiwa kujibu swali lako kuhusu hayo mamilioni ya walipa kodi kutumika vibaya

Nilipost kwenye siasa MAfisadi wamelileta huku kwenye jokes
 
JF ,Hii thread nimeipost jana usiku lakini haikuchukua dadika mbile ikapelekwa kwenye jokes/utani sina nia mbaya yakuilazimisha ikae kwenye siasa ila nikutaka nieleweshwe tu misingi yake .

Mtu mzima alikamilika hawezi changia kwa kuzomea HILOOOOOOOOO badala ya kujibu ama kukanusha ,kumbe nimeanza kung'amua kwanini CCM kule kiteto walitembeza mkong'oto.




MBOWE ATUELEZE MILIONI 500 NI UFISADI ama LAH

--------------------------------------------------------------------------------

Suala la Ufisadi ni suala ambalo limepamba motto katika nchi yetu na ni suala ambalo kwa watanzania wote wenye nia njema na nchi yao wameamua kulivalia njuga kuhakikisha hakuna jiwe litalobaki juu ya jiwe jingine.

Ufisadi umejikita ktk nyanja kuu mbili directly na indirectly.

Direct ni kama pale mafisadi akina Balali na wenzie walipoingia BOT na kukomba fedha,ni kama zile kuingia mikataba ya njiwa na kupata 10% yao.

Indirect ni ile kumutumia mwenye shida kujinufaisha mfano ni pale mwenye shida anakofuata umkopeshe fedha akakodi baskeli maana safari yake ni km 5 .ila wewe ukamlazimisha umkopeshe fedha nyingi na ukamshinikiza akodi basi/helkopita kwenda km 5.

Mbowe na CHADEMA watuambia hizi pesa zetu wanazoripana ni halali ama zimekaa kifisadifisadi .Hizi ni pesa zetu hizi ni pesa za walipa kodi hizi ni pesa zilichukuliwa kutoka HADHINA ya serikali kuwapa CHADEMA kama ruzuku ili kuimarisha demokrasia nchini kwetu,watanzania wote tunahaki ya kuuliza matumizi ya fedha hizi.

Kutumia fedha hizi za ruzuku kiholela pia ni ufisadi maana zinatoka hukohuko BOT ,kwanini nawauliza chadema ni kwamba CHACHA amehoji na kusema kuna problems jinsi MBOWE na wenziwe wanavyolipwa fedha kama deni wanalo kidai chama.
 
MkamaP,

Hii si ungelijadili tu kule kwenye threads zingine? kweli kuna haja ya kuianzishia thread yake?

Pia inatakiwa ufafanue huyo Mbowe katafuna hizo pesa ka njia zipi? Kama amerudishiwa pesa ambazo alikikopesha chama mimi sioni ubaya wake ili mradi kama utaratibu uliotumika kukiposha chama uko wazi na malipo pia yako wazi. Transparency ndio
dawa ya matatizo kama haya ya CHADEMA.
 
Hivi ndivyo ilivyopelekwa kwenye jokes

mkamap
mkamap has no status. Edit
JF Senior Expert Member Join Date: Sat Jan 2007
Posts: 481
Rep Power: 22

Thanks: 0
Thanked 167 Times in 114 Posts
Credits: 30,902

Re: MBOWE ATUELEZE MILIONI 500 NI UFISADI ama LAH

--------------------------------------------------------------------------------

Quote:
Originally Posted by mtimti
kweli ndg umeishiwa hoja,kama unataka hesabu za vyama vya siasa nenda kwa msajili ya vyama utapata kila kitu,acha kudandia usichokijua!

tatizo liko palepale

Tunahoji jinsi ya malipo yao ya deni milioni 700. Kama ni halali poa kama si halali
Wangwe adhibitiwe mara moja.

Tatizo lenu mnakuwa wagumu kuelewa kua mtu unapohojiwa na unapoyakubali maswali ukayachukulia kama changamoto yanakujenga zaidi na kugundua sehemu kulipo na mapungufu Na si kila anayekuhoji ni adui yako.

Kimantiki maneno ya wangwe yanamtuhumu MBOWE kua ni FISADI hasa anaposema wanalipana kinyume cha sheria.Ili kuliweka hili wazi lazima wanaoshutumiwa wayaweke mambo bayana.

Kama na CHENGE naye tulivyomushutumu kuhusu JERSEY angatuambia nendeni JERSEY kwenye bank kuliko vijisent vyake lazima tungesema anadharau.


mkamap
View Public Profile
Send a private message to mkamap
Find all posts by mkamap
Add mkamap to Your Contacts

#5 Today, 06:33 AM
mwanaizaya
mwanaizaya has no status.
Senior Member Join Date: Sat Apr 2008
Posts: 55
Rep Power: 21

Thanks: 46
Thanked 11 Times in 8 Posts
Credits: 4,290

Re: MBOWE ATUELEZE MILIONI 500 NI UFISADI ama LAH

--------------------------------------------------------------------------------

iloooooooooooooooooooo kwikwikwi

nenda nss88888


mwanaizaya
View Public Profile
Send a private message to mwanaizaya
Find all posts by mwanaizaya
Add mwanaizaya to Your Contacts

#6 Today, 07:26 AM
mahesabu
mahesabu is ..........!
JF Senior Expert Member Join Date: Sun Jan 2008
Location: manzese
Posts: 574
Rep Power: 22

Thanks: 676
Thanked 211 Times in 154 Posts
Credits: 8,950

Re: MBOWE ATUELEZE MILIONI 500 NI UFISADI ama LAH

--------------------------------------------------------------------------------

mkamap, kwanza napenda kuuliza swali la kutaka kujua 'a point of kujua'
1. Hii wewe uliipost kwenye jukwaa hili au ufisadi umeileta hapa......?
2. MBOWE anatakiwa kujibu swali lako kuhusu hayo mamilioni ya walipa kodi kutumika vibaya
__________________
UZALENDO.....(JKT) KWA WAHITIMU.....!


mahesabu
View Public Profile
Send a private message to mahesabu
Send email to mahesabu
Find all posts by mahesabu
Add mahesabu to Your Contacts

#7 Today, 07:28 AM
mahesabu
mahesabu is ..........!
JF Senior Expert Member Join Date: Sun Jan 2008
Location: manzese
Posts: 574
Rep Power: 22

Thanks: 676
Thanked 211 Times in 154 Posts
Credits: 8,950

Re: MBOWE ATUELEZE MILIONI 500 NI UFISADI ama LAH

--------------------------------------------------------------------------------

na kama uliipost kwenye jukwaa hili na wewe nakukumbusha ' kitufe cha THANKS kinafanya kazi ' kibonyeze pale mwandishi anapokuwa amefanya vyema......!
__________________
UZALENDO.....(JKT) KWA WAHITIMU.....!


mahesabu
View Public Profile
Send a private message to mahesabu
Send email to mahesabu
Find all posts by mahesabu
Add mahesabu to Your Contacts

#8 Today, 01:02 PM
mkamap
mkamap has no status. Edit
JF Senior Expert Member Join Date: Sat Jan 2007
Posts: 481
Rep Power: 22

Thanks: 0
Thanked 167 Times in 114 Posts
Credits: 30,902

Re: MBOWE ATUELEZE MILIONI 500 NI UFISADI ama LAH

--------------------------------------------------------------------------------

Quote:
Originally Posted by mahesabu
mkamap, kwanza napenda kuuliza swali la kutaka kujua 'a point of kujua'
1. Hii wewe uliipost kwenye jukwaa hili au ufisadi umeileta hapa......?
2. MBOWE anatakiwa kujibu swali lako kuhusu hayo mamilioni ya walipa kodi kutumika vibaya

Nilipost kwenye siasa MAfisadi wamelileta huku kwenye jokes
 
MkamaP,

Hii si ungelijadili tu kule jwenye threads zingine? kweli kuna haja ya kuianzishia thread yake?

Pia inatakiwa ufafanue huyo Mbowe katafuna hizo pesa ka njia zipi? Kama amerudishiwa pesa ambazo alikikopesha chama mimi sioni ubaya wake ili mradi kama utaratibu uliotumika kukiposha chama uko wazi na malipo pia yako wazi. Transparency ndio
dawa ya matatizo kama haya ya CHADEMA.


Mtanzania
Mimi sina ubaya na hizo fedha ,kwenye thread zile niliuliza hilo sikujibiwa watu walikua wanasema udini/ukabila ,nikaona kuna haja ya kuuliza ktk thread mpya.

Tatizo ni kwamba Aliyekua makamu wao WANGWE anasema mgogoro wake na Mbowe ni baada ya kuhoji jinsi malipo yanavyokwenda bila kufuata utaratibu,hayo ndio madai makuu ya wangwe.Mimi nilipendelea wamcrash huyu wangwe kwa kuonyesha taratibu za kukopeshana na kulipana kama zilifuata misingi ya sheria na haki.

Mimi nafikiri si kosa kuhoji taratibu halali kama zilifuata
 
Huu ni uchafuzi wa hali ya hewa iweje uanzishe maada mbili zenye maudhui sawa?na khali ukijua tayari umeanzisha nyingine?haya si ungeyaandika tu kule kwenye thread yako ya mwanzo?
 
Mkamap Aka Wangwe, safi sana, ila kwa kuwa ulikua ndani tupe data za uhakika na sahihisha kiswahili chako
 
Siko deep ktk ilo suala la Mbowe na CHADEMA plus senti ya Ruzuku ila am sure kuna kitu apo!
 
Mkamap Aka Wangwe, safi sana, ila kwa kuwa ulikua ndani tupe data za uhakika na sahihisha kiswahili chako

ALa kwi kwi kwi
nimekua tena WANGWE si mchezo ,nitajitahidi mkuu kurekebisha, nashukuru kwa ushauri.
 
Back
Top Bottom