Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama unadaiwa ulipe ni hela za wafanyakazi wanaokatwa kodi zao kwenye mishahara kila mwezi. Uwe msafi wewe kwanza , kushindwa kutimiza masharti ya mkopo ni ufisadi kwani hizo peasa wengine wanahitaji kuzitumia si MBOWE tu.
Wameamua kuajiri makada kama waandishi wakasahau kuwa uandishi ni taaluma yenye heshima yake?Gazeti ni UHURU
sorry bado sijajua hili ni gazeti gani. Can someone tell me?
Kama 'Dr' Masau alivyokuwa anadaiwa...dawa ya deni Mbowe alipe tuuu
Wanachama wa JF wakati mwingine tu wajabu sana.
Juzi ripoti imetaja double insurance katika twin towers, ilikua hatari hapa.
Leo Katajwa Fisadi Yosso Mbowe,anaelekezwa mpaka jinsi ya kujibu ili asilipe deni
Kweli tutafika jamani?
Pundamilia, si kama unavyosema kuna kesi Mahakamani unajua inahusu nini? Maana unazungumza kana kwamba hakuna kezi zilizoko mahakamani. Kwanini tusisubiri mahakama iamue au tunataka Mbowe ilipe ili yaishe tu na ifute kesi yake mahakamani ili turidhike?
Nilidhani unatetea utawala wa sheria ambapo Mbowe Hotel imekimbilia ulinzi wake.
Mahakama ya nini basi?
Mkuu,
Hapo sijakupata vizuri, hebu soma paragraph yangu ya mwisho uone kama nimetofautiana na swali lako.
Nimekuelewa ulivyosema... kimsingi ni kuwa kwa vile kesi hii iko mahakamani ambapo Mbowe Hotel inabishania kiasi cha riba basi tusubiri mahakama iamue; vile vile kwa vile mikataba siyo vitu vilivyoandikwa mbinguni hata ikishaingiwa inaweza bado kupitiwa upya ili pande zote mbili zinufaike au kuondoa utata wowote. Hadi hivi sasa NSSF hawataki kupitia huo mkataba na hiyo ndiyo sababu nyingine ya kesi mahakamani.
Sasa kama tukiakua kweli kufuata sheria utaona basi kuwa mahakamani ndiko mambo haya yataamuliwa na siyo kwa shinikizo la kusema "alipe alipe" kwa sababu tu ni deni!
Nimekupata.
dawa ya deni kulipa[/QUOT
True. Sasa wewe na mabwana zako tulipeni hela zetu