Mbowe ahusishwa na UFISADI wa kuimaliza NSSF

Mbowe ahusishwa na UFISADI wa kuimaliza NSSF

kwa wataalamu wa biashara kila kitegu uchumi lazima kiwe na kampuni yake. Ili hiyo biashara ikifilisika isiweze kuathiri biashara nyingine zinazomilikiwa na mtu mmoja au big holding company....ndo maana Mengi anamakambuni kibao yaliochini ya IPP...hii pia inarahisisha ukokotoaji wa kodi. Hivyo Mbowe hotel imekuwa mufilisi lakini Aika Protea kule marangu na Billicanas zinaendelea ...huu ndo ujasilimia
 
The answers are biased...ukishakuwa mwanasiasa your every move becomes scrutinized....so kwa sababu kuna wezi wa EPA,dowans na etc haimaanishi issue hii isijadiliwe....na pia sio receivership ya kwanza kuwekwa gazetini ... Nishawahi kuona tangazo la interchem pharma ya mengi family hence ukishindwa kulipa deni lazima tangazo la receivership itoke...I believe in order forum kuattract watu wa aina zote then wakati mwingine topic ijadiliwe bila kuweka itikadi za kisiasa ndani...tujadili kuweka manufaa ya taifa kwanza na co ushabiki wa vyama
 
Siyo nchi za wenzetu tu,hata hapa kwetu.Lakini elewa MBOWE HOTEL LTD ndiyo inayofilisiwa wala siyo Freeman Aikael Mbowe. Watanzania hebu tujielimishe kabla ya kuchangia au kutoa hoja tusiwe tunakurupuka. Corporate body is separate from its owner. If the corporate body is declared bankrupt, haimaanishi owner naye anakuwa bankrupt.

Hata suala la kaiba tunasema watu vijijini hawaijui,lakini kiukweli hata mijini watu wanaropoka tu hata hawajui wanaongea nini.

Kujielimisha a)Siyo utamaduni wetu, b)Ni ghali
 
Da kweli wewe ni Wild Card!!! Umeamua kusimama kidete kwa hoja yako. Ni fine. Hebu pia tusaidie Memorandum ya hiyo Mbowe Hotels Ltd tujue Wakurugenzi na shares holding!!! Tusije tukawa tunazungumzia Hotel ya Mzee Mbowe!!! Nijuavyo mimi Mzee Mbowe ndiye alikuwa mmiliki wa Hotel (main shareholder) na nijuavyo pia Memorandum hubadilika kadri owner anavyoona inabidi kufanya hivyo kwa misingi ya biashara zake. So please, can you bring to our attention the latest Memorandum for Mbowe Hotels Ltd? Your honour...
 
Mbona za mama spika ANNA MAKINDA zimeuzwa na NBC hazikuwekwa magazetini??? :twitch:

Eti kwa kuwa huyu Mbowe ni Mwenyekiti wa Chama Makini na kiongozi wa kuwaongoza Wabunge Makini Bungeni. Eti wanataka wampake matope!!! Ha ha ha si kwa miaka hii tena.
 
Da kweli wewe ni Wild Card!!! Umeamua kusimama kidete kwa hoja yako. Ni fine. Hebu pia tusaidie Memorandum ya hiyo Mbowe Hotels Ltd tujue Wakurugenzi na shares holding!!! Tusije tukawa tunazungumzia Hotel ya Mzee Mbowe!!! Nijuavyo mimi Mzee Mbowe ndiye alikuwa mmiliki wa Hotel (main shareholder) na nijuavyo pia Memorandum hubadilika kadri owner anavyoona inabidi kufanya hivyo kwa misingi ya biashara zake. So please, can you bring to our attention the latest Memorandum for Mbowe Hotels Ltd? Your honour...

Usiombe Memorandum omba FORM 128 ya hivi karibuni
 
Ha ha haaa!

Mafisadi bwana! Wana vibaraka kila kona. Lakini nyie vibaraka muwaambie mabosi wenu mmeshachelewa. Wenye nchi yao wameamka.
 
Wakati mkifurahia kufilisiwa kwa kampuni hiyo kuna wengine wanalia kwa kukosa ajira Mbowe ni mfanyabiashara suala hili litamsumbua kibiashara lkn wafanyakazi linawasumbua kimaisha
 
Wengi mmejiunga na forum week chache zilizopita, hili swala tumelijadili hapa more than once.

Ukweli ni kwamba Mbowe anatakiwa alipe according to the contract which he/his lawyer honor and sign it. I understand kwamba Mbowe anasema amelipa too much interest in this deal, however kama mkataba ulizungumzia kiasi cha riba na wote wakakubaliana then Mbowe is supposing to pay, or NSSF wanatakiwa kuliquidate Mbowe asset to recover the money. That is how business works, you run away from contract you pay the damage....

Kwa wale mnaosema Mbowe kajaje kwenye hii forum, he is public figure and he need to go through scrutiny like everybody else...
 
Ccm wanakufa maji wanatapatapa.......hawajui kwa kuelekea kwani nao wamekata tamaa
 
Ccm wanakufa maji wanatapatapa.......hawajui kwa kuelekea kwani nao wamekata tamaa

Jile kwa hiyo Mbowe asilipe anachodaiwa au? How does this tied to CCM? We can't fight for the sake of the country in the hypocrisy way. CCM ni wezi and we need to clean them, and whoever borrowed from public fund he/she is suppose to pay or the fund team should confisicate the asset equivalent to the worth of the debt.

Let us play no double standard, we need to go after everybody who owed citizen. From Uganda Government to Freeman Mbowe.
 
Safi sana W Card, Fisadi ni fisadi tu haijalishi yuko chama gani. Kukweli Mbowe hana mamlaka ya kimaadili kukemea ufisadi wakati yeye mwenyewe fisadi. Hana tofauti na Sumaye na wengine wanaojidai wanapinga ufisadi huku wenyewe ni mafisadi.
 
NOTICE OF APPOINTMENT OF RECEIVER/MANAGER
Notice is hereby given to the general public that I, Charles Rutayuga Burchard Rwechungura of CRB Africa Legal, Dar es Salaam, was appointed by the National Social Security Fund ("NSSF") to Receiver/Manager of the Mbowe Hotel Limited (the "Company") effective from 25th January 2011
Linaendelea hivo hilo tangazo kwenye gazeti la Mwananchi la leo. Freeman ameshindwa kuwalipa hawa jamaa au? Tungemkabidhi Nchi mwaka 2005........!

He!!!,

Kumbe jamaa hili deni mpaka leo analo ndio maana nawaambie Mbowe hafai. Nilisikia jamaa alidai hawalipi, kuna watu wakaja kusema humu JF kuwa hadaiwi. Sijui watueleze kuhusu hili sasa
 
Nchi za wenzetu ukifilisika/filisiwa unaachia ngazi zote za kisiasa ulizonazo!

Not in Tanzania!

Hela za NSSF ni za WAFANYAKAZI, WATANZANIA wa kawaida kabisa. Freeman mwenyewe apime, aone ni hatua gani anastahili kuchukua!

Sio ndio wamemchukulia hatua?

He!!!,

Kumbe jamaa hili deni mpaka leo analo ndio maana nawaambie Mbowe hafai. Nilisikia jamaa alidai hawalipi, kuna watu wakaja kusema humu JF kuwa hadaiwi. Sijui watueleze kuhusu hili sasa

Siku zote watakuwepo wa kusema uongo ili kuficha mambo!

This thread have exposed how some of Tanzanians they can defend things even if they are wrong! we dont have moral standard,
 
Not in Tanzania!



Sio ndio wamemchukulia hatua?



Siku zote watakuwepo wa kusema uongo ili kuficha mambo!

This thread have exposed how some of Tanzanians they can defend things even if they are wrong! we dont have moral standard,

Asante mkuu,

We can claim tunapambana na mafisadi but sie wenyewe pia mafisadi.

Watu wanadaiwa na creditor na wanalegitimate reasons of taking them to court. Huku kuna watu wanadai hilo ni siasa.

Huku tunadai tunapambana na CCM na ufisadi wakati sie wenyewe hatuna moral standards. Ndio maana kauli mbiu ya nguvu ya umma bado sana Tanzania.
 
Asilimia kubwa ya wafanyabiashara wa kibongo huwa wanakopa kisha hawalipi na wanatumia pesa hiyohiyo kuwahonga makarani wa benki zetu kuficha kumbukumbu.

Ukiingia kwenye siasa basi nenda ukalipe madeni yako, wengi wao wakiwa ccm hawasumbuliwi lakini ukiwa mpinzani kumbukumbu zinatafutwa na utadaiwa; wakati huo ulishasahau deni lenyewe!
 
Back
Top Bottom