Mbowe ahusishwa na UFISADI wa kuimaliza NSSF

Mbowe ahusishwa na UFISADI wa kuimaliza NSSF

Receivership=A type of corporate bankruptcy in which a receiver is appointed by bankruptcy courts or creditors to run the company. (Receivership Definition)

Sasa sioni kosa hapo hamna mtu aliyevunja sheria! katika biashara haya mambo hutokea! kama wakati wa recession watu walikuwa bailed out in the US hata hapa TZ! nathani hata the likes of Mbowe wangepata msaada huo!😛opcorn: au?
 
Wasalaam waungwana,

Kwanza kabisa niseme wazi kwamba suala la Mbowe Hotel Limited kufilisiwa ni la kisiasa ndio maana nimeshawishika kuliweka jamvini ili wananchi waelewe.

Kwa muda mrefu hili suala limekuwa likiibuliwa na watu mbalimbali ili mradi wamchafue Mh. Freeman Mbowe mbele ya macho ya wananchi.

Ukweli wa jambo lenyewe uko hivi,

Mwaka 1990 Machi NSSF na Mbowe Hotel Limited waliingia kwenye mkataba wa Mkopo wa Shilingi Milioni 15. Mkopo huo ulikuwa unalipwa kwa kipindi cha miaka sita na nyumba iliyopo moshi iliwekwa rehani ya mkopo huo.


Hakukuwa na Personal Guarantee ya Wakurugenzi wa Mbowe Hotel wala mali nyingine yeyote iliyowekwa dhamana. Baada ya muda fedha hizo zilichelewa kutolewa kutokana na ukiritimba wa kudhibiti manunuzi ya fedha za kigeni. Wakati zinatoka project iliyokuwa inatakiwa kufanyika ikawa imekuwa twice expensive. NSSF wakaombwa waongeze kiwango cha mkopo wakakataa!! Kipindi hicho ndio siasa za mageuzi zimeanza!! Kwa kukomoa wakaamua kuudai mkopo ulipwe wote na kipindi chochote cha kuzozana wakaendelea kupile up interest.

Mbowe Hotel Limited wakalipa principal sum na interest waliyoona ni sahihi kwa kuamini suala hilo limeisha badala yake NSSF wakaenda mahakamani kimya kimya wakapata Exparte Order (Hukumu ya Upande Mmoja) na ndiyo wanayoitumia mpaka leo kudai interest ya mkopo ambao umeshalipwa!

Cha kushangaza walipooombwa watoe nakala ya hukumu hiyo wakakataa. Mpaka leo haijawahi kuonekana wala kutolewa! Badala yake wanatumia mbinu chafu ikiwa ni pamoja na kutishia kuwafungua wakurugenzi wa Mbowe Hotel Limited!

Riba inayosemekana kudaiwa ni sh Mil. 256+ mpaka sasa.

Suala la msingi ambalo NSSF wanaficha ukweli ni kwamba "security/dhamana pekee ya mkopo huo wa Mil. 15 ni nyumba yenye thamani ya shilingi Mil 70 iliyotolewa kama dhamana" na HAKUNA mali au kitu kingine chochote kilichotolewa kama dhamana!!

Kwa yeyote anayejua ni kwamba, mkataba wa mkopo kama mkataba mwingine ni makubaliano. Sasa kama NSSF walikubali kwamba dhamana ya nyumba itatosha kushikilia mkopo huo kulikoni sasa hivi wanataka kushika mali nyingine ambazo hazikuwahi kuwekwa kama dhamana? Mamlaka hayo na haki hizo wanatoa wapi?

Mh. Freeman Mbowe siku zote amekuwa mstari wa mbele kutaka kumaliza suala hili kwa haki na ustaarabu lakini NSSF wamekuwa wazito!! Na badala yake wanatumia mbinu chafu ili kumchafua!!

Sasa, unawezaje kumteua mtu awe receiver/manager wa Mbowe Hotel Limited badala ya kumteua awe receiver/manager wa property iliyowekwa kama dhamana??? hii ni akili ya sheria au matope??

Utaratibu umeshafanyika kuhakikisha umma unajua ukweli kuhusu hili suala kwa kutumia vyombo vya sheria i.e Mahakama. WanaJF na wale wote wenye mapenzi mema wataliangalia hili suala kwa jicho la haki badala ya ushabiki. Kwa wanao subiri wakiamini ni kashfa au anguko la Mh. Freeman Mbowe watakuwa wanakosea na watasubiri sana!!

Nawasilisha.
 
Wasalaam waungwana,

Kwanza kabisa niseme wazi kwamba suala la Mbowe Hotel Limited kufilisiwa ni la kisiasa ndio maana nimeshawishika kuliweka jamvini ili wananchi waelewe.

Kwa muda mrefu hili suala limekuwa likiibuliwa na watu mbalimbali ili mradi wamchafue Mh. Freeman Mbowe mbele ya macho ya wananchi.

Ukweli wa jambo lenyewe uko hivi,

Mwaka 1990 Machi NSSF na Mbowe Hotel Limited waliingia kwenye mkataba wa Mkopo wa Shilingi Milioni 15. Mkopo huo ulikuwa unalipwa kwa kipindi cha miaka sita na nyumba iliyopo moshi iliwekwa rehani ya mkopo huo.


Hakukuwa na Personal Guarantee ya Wakurugenzi wa Mbowe Hotel wala mali nyingine yeyote iliyowekwa dhamana. Baada ya muda fedha hizo zilichelewa kutolewa kutokana na ukiritimba wa kudhibiti manunuzi ya fedha za kigeni. Wakati zinatoka project iliyokuwa inatakiwa kufanyika ikawa imekuwa twice expensive. NSSF wakaombwa waongeze kiwango cha mkopo wakakataa!! Kipindi hicho ndio siasa za mageuzi zimeanza!! Kwa kukomoa wakaamua kuudai mkopo ulipwe wote na kipindi chochote cha kuzozana wakaendelea kupile up interest.

Mbowe Hotel Limited wakalipa principal sum na interest waliyoona ni sahihi kwa kuamini suala hilo limeisha badala yake NSSF wakaenda mahakamani kimya kimya wakapata Exparte Order (Hukumu ya Upande Mmoja) na ndiyo wanayoitumia mpaka leo kudai interest ya mkopo ambao umeshalipwa!

Cha kushangaza walipooombwa watoe nakala ya hukumu hiyo wakakataa. Mpaka leo haijawahi kuonekana wala kutolewa! Badala yake wanatumia mbinu chafu ikiwa ni pamoja na kutishia kuwafungua wakurugenzi wa Mbowe Hotel Limited!

Riba inayosemekana kudaiwa ni sh Mil. 256+ mpaka sasa.

Suala la msingi ambalo NSSF wanaficha ukweli ni kwamba "security/dhamana pekee ya mkopo huo wa Mil. 15 ni nyumba yenye thamani ya shilingi Mil 70 iliyotolewa kama dhamana" na HAKUNA mali au kitu kingine chochote kilichotolewa kama dhamana!!

Kwa yeyote anayejua ni kwamba, mkataba wa mkopo kama mkataba mwingine ni makubaliano. Sasa kama NSSF walikubali kwamba dhamana ya nyumba itatosha kushikilia mkopo huo kulikoni sasa hivi wanataka kushika mali nyingine ambazo hazikuwahi kuwekwa kama dhamana? Mamlaka hayo na haki hizo wanatoa wapi?

Mh. Freeman Mbowe siku zote amekuwa mstari wa mbele kutaka kumaliza suala hili kwa haki na ustaarabu lakini NSSF wamekuwa wazito!! Na badala yake wanatumia mbinu chafu ili kumchafua!!

Sasa, unawezaje kumteua mtu awe receiver/manager wa Mbowe Hotel Limited badala ya kumteua awe receiver/manager wa property iliyowekwa kama dhamana??? hii ni akili ya sheria au matope??

Utaratibu umeshafanyika kuhakikisha umma unajua ukweli kuhusu hili suala kwa kutumia vyombo vya sheria i.e Mahakama. WanaJF na wale wote wenye mapenzi mema wataliangalia hili suala kwa jicho la haki badala ya ushabiki. Kwa wanao subiri wakiamini ni kashfa au anguko la Mh. Freeman Mbowe watakuwa wanakosea na watasubiri sana!!

Nawasilisha.

Kaka unalo hilo...........
 
Wasalaam waungwana,

Kwanza kabisa niseme wazi kwamba suala la Mbowe Hotel Limited kufilisiwa ni la kisiasa ndio maana nimeshawishika kuliweka jamvini ili wananchi waelewe.

Kwa muda mrefu hili suala limekuwa likiibuliwa na watu mbalimbali ili mradi wamchafue Mh. Freeman Mbowe mbele ya macho ya wananchi.

Ukweli wa jambo lenyewe uko hivi,

Mwaka 1990 Machi NSSF na Mbowe Hotel Limited waliingia kwenye mkataba wa Mkopo wa Shilingi Milioni 15. Mkopo huo ulikuwa unalipwa kwa kipindi cha miaka sita na nyumba iliyopo moshi iliwekwa rehani ya mkopo huo.


Hakukuwa na Personal Guarantee ya Wakurugenzi wa Mbowe Hotel wala mali nyingine yeyote iliyowekwa dhamana. Baada ya muda fedha hizo zilichelewa kutolewa kutokana na ukiritimba wa kudhibiti manunuzi ya fedha za kigeni. Wakati zinatoka project iliyokuwa inatakiwa kufanyika ikawa imekuwa twice expensive. NSSF wakaombwa waongeze kiwango cha mkopo wakakataa!! Kipindi hicho ndio siasa za mageuzi zimeanza!! Kwa kukomoa wakaamua kuudai mkopo ulipwe wote na kipindi chochote cha kuzozana wakaendelea kupile up interest.

Mbowe Hotel Limited wakalipa principal sum na interest waliyoona ni sahihi kwa kuamini suala hilo limeisha badala yake NSSF wakaenda mahakamani kimya kimya wakapata Exparte Order (Hukumu ya Upande Mmoja) na ndiyo wanayoitumia mpaka leo kudai interest ya mkopo ambao umeshalipwa!

Cha kushangaza walipooombwa watoe nakala ya hukumu hiyo wakakataa. Mpaka leo haijawahi kuonekana wala kutolewa! Badala yake wanatumia mbinu chafu ikiwa ni pamoja na kutishia kuwafungua wakurugenzi wa Mbowe Hotel Limited!

Riba inayosemekana kudaiwa ni sh Mil. 256+ mpaka sasa.

Suala la msingi ambalo NSSF wanaficha ukweli ni kwamba "security/dhamana pekee ya mkopo huo wa Mil. 15 ni nyumba yenye thamani ya shilingi Mil 70 iliyotolewa kama dhamana" na HAKUNA mali au kitu kingine chochote kilichotolewa kama dhamana!!

Kwa yeyote anayejua ni kwamba, mkataba wa mkopo kama mkataba mwingine ni makubaliano. Sasa kama NSSF walikubali kwamba dhamana ya nyumba itatosha kushikilia mkopo huo kulikoni sasa hivi wanataka kushika mali nyingine ambazo hazikuwahi kuwekwa kama dhamana? Mamlaka hayo na haki hizo wanatoa wapi?

Mh. Freeman Mbowe siku zote amekuwa mstari wa mbele kutaka kumaliza suala hili kwa haki na ustaarabu lakini NSSF wamekuwa wazito!! Na badala yake wanatumia mbinu chafu ili kumchafua!!

Sasa, unawezaje kumteua mtu awe receiver/manager wa Mbowe Hotel Limited badala ya kumteua awe receiver/manager wa property iliyowekwa kama dhamana??? hii ni akili ya sheria au matope??

Utaratibu umeshafanyika kuhakikisha umma unajua ukweli kuhusu hili suala kwa kutumia vyombo vya sheria i.e Mahakama. WanaJF na wale wote wenye mapenzi mema wataliangalia hili suala kwa jicho la haki badala ya ushabiki. Kwa wanao subiri wakiamini ni kashfa au anguko la Mh. Freeman Mbowe watakuwa wanakosea na watasubiri sana!!

Nawasilisha.

kaka kama kesi ipo mahakamani naomba tusiijadili, wanasheria watasimamia na haki itaonekana!
 
Sio sahihi kumshambulia mbowe kwa sababu ya kampuni yake kutaka kufilisiwa. katika biashara mambo haya ni ya kawaida na kizuri ni kwamba ana kampuni nyingi. hiyo ni moja tu inaweza filisiwa na yeye akawa salama na akaendelea na biashara zingine. au akafungua hotel nyingine kwa jina jingine.
 
Wasalaam waungwana,

Kwanza kabisa niseme wazi kwamba suala la Mbowe Hotel Limited kufilisiwa ni la kisiasa ndio maana nimeshawishika kuliweka jamvini ili wananchi waelewe.

Kwa muda mrefu hili suala limekuwa likiibuliwa na watu mbalimbali ili mradi wamchafue Mh. Freeman Mbowe mbele ya macho ya wananchi.

Ukweli wa jambo lenyewe uko hivi,

Mwaka 1990 Machi NSSF na Mbowe Hotel Limited waliingia kwenye mkataba wa Mkopo wa Shilingi Milioni 15. Mkopo huo ulikuwa unalipwa kwa kipindi cha miaka sita na nyumba iliyopo moshi iliwekwa rehani ya mkopo huo.


Hakukuwa na Personal Guarantee ya Wakurugenzi wa Mbowe Hotel wala mali nyingine yeyote iliyowekwa dhamana. Baada ya muda fedha hizo zilichelewa kutolewa kutokana na ukiritimba wa kudhibiti manunuzi ya fedha za kigeni. Wakati zinatoka project iliyokuwa inatakiwa kufanyika ikawa imekuwa twice expensive. NSSF wakaombwa waongeze kiwango cha mkopo wakakataa!! Kipindi hicho ndio siasa za mageuzi zimeanza!! Kwa kukomoa wakaamua kuudai mkopo ulipwe wote na kipindi chochote cha kuzozana wakaendelea kupile up interest.

Mbowe Hotel Limited wakalipa principal sum na interest waliyoona ni sahihi kwa kuamini suala hilo limeisha badala yake NSSF wakaenda mahakamani kimya kimya wakapata Exparte Order (Hukumu ya Upande Mmoja) na ndiyo wanayoitumia mpaka leo kudai interest ya mkopo ambao umeshalipwa!

Cha kushangaza walipooombwa watoe nakala ya hukumu hiyo wakakataa. Mpaka leo haijawahi kuonekana wala kutolewa! Badala yake wanatumia mbinu chafu ikiwa ni pamoja na kutishia kuwafungua wakurugenzi wa Mbowe Hotel Limited!

Riba inayosemekana kudaiwa ni sh Mil. 256+ mpaka sasa.

Suala la msingi ambalo NSSF wanaficha ukweli ni kwamba "security/dhamana pekee ya mkopo huo wa Mil. 15 ni nyumba yenye thamani ya shilingi Mil 70 iliyotolewa kama dhamana" na HAKUNA mali au kitu kingine chochote kilichotolewa kama dhamana!!

Kwa yeyote anayejua ni kwamba, mkataba wa mkopo kama mkataba mwingine ni makubaliano. Sasa kama NSSF walikubali kwamba dhamana ya nyumba itatosha kushikilia mkopo huo kulikoni sasa hivi wanataka kushika mali nyingine ambazo hazikuwahi kuwekwa kama dhamana? Mamlaka hayo na haki hizo wanatoa wapi?

Mh. Freeman Mbowe siku zote amekuwa mstari wa mbele kutaka kumaliza suala hili kwa haki na ustaarabu lakini NSSF wamekuwa wazito!! Na badala yake wanatumia mbinu chafu ili kumchafua!!

Sasa, unawezaje kumteua mtu awe receiver/manager wa Mbowe Hotel Limited badala ya kumteua awe receiver/manager wa property iliyowekwa kama dhamana??? hii ni akili ya sheria au matope??

Utaratibu umeshafanyika kuhakikisha umma unajua ukweli kuhusu hili suala kwa kutumia vyombo vya sheria i.e Mahakama. WanaJF na wale wote wenye mapenzi mema wataliangalia hili suala kwa jicho la haki badala ya ushabiki. Kwa wanao subiri wakiamini ni kashfa au anguko la Mh. Freeman Mbowe watakuwa wanakosea na watasubiri sana!!

Nawasilisha.

Unaweza kutupatia terms za loan, jee mkataba ulieleza vipi kuhusu delay ya one part either kutoa fund au kulipa fund? Na kama Mbowe's Financial analyst wali predict loan itakayo itajika itakuwa ni 15 Million then how it ended to double? Why should NSSF be obligated to inflated operation cost?

Concern kukamata mali nyingine, kama Nyumba ya moshi appraise value yake ni 70M na Mbowe wanadaiwa 70+ then NSSF wana haki ya kukamata mali yoyote yenye value equivalent na debt.

Business Law ni kitu muhimu.
 
Unaweza kutupatia terms za loan, jee mkataba ulieleza vipi kuhusu delay ya one part either kutoa fund au kulipa fund? Na kama Mbowe's Financial analyst wali predict loan itakayo itajika itakuwa ni 15 Million then how it ended to double? Why should NSSF be obligated to inflated operation cost?

Concern kukamata mali nyingine, kama Nyumba ya moshi appraise value yake ni 70M na Mbowe wanadaiwa 70+ then NSSF wana haki ya kukamata mali yoyote yenye value equivalent na debt.

Business Law ni kitu muhimu.

nafikiri msandoalberto kajitahidi kueleza kiasi. kama ulitoa proposal ya biashara na muda wa kuanza na mkopo unatoka mwaka baadaye na mfumuko weto wa bei lazima shida iwepo. ila kwa vyovyote vile sidhani kama NSSF wanaweza kwenda kinyume cha sheria na wakifanya hivyo Mbowe hoteli nao si wadai haki kama ipo.

kuna siasa na ukweli labda vimechanganyikana. nimeona kwenye magazeti Receiver/manager anatoa ufafanuzi kuwa ni nyumba ya moshi tu ndio inahusika na kuomba msamaha wa usumbufu aliosababisha ila nadhani alikusudia!!
 
Nchi za wenzetu ukifilisika/filisiwa unaachia ngazi zote za kisiasa ulizonazo!

Fafanua, bila kusahau mifano!
Umesahau kuwa Mbowe Hotels Limited ni tofauti kabisa na Freeman Mbowe!
 
Nimesikia kibarazani kuwa Mbowe Jr., Mwenyekiti wa CHADEMA Tanzania, alikopa fedha nyingi huko akiba ya uzeeni na sasa kashindwa kuzilipa na mali alizoweka dhamana hazitoshi kulipa deni hilo na riba yake? Naomba wajuzi mtujuze, ni kweli hii?

Au wanamzulia? au kuna ka-mchezo alicheza?
 
Nimesikia kibarazani kuwa Mbowe Jr., Mwenyekiti wa CHADEMA Tanzania, alikopa fedha nyingi huko akiba ya uzeeni na sasa kashindwa kuzilipa na mali alizoweka dhamana hazitoshi kulipa deni hilo na riba yake? Naomba wajuzi mtujuze, ni kweli hii?

Au wanamzulia? au kuna ka-mchezo alicheza?


Ahh basi kwa madeni makubwa hivyo napata picha kamili... Labda anafikiri kwa kuwa Rais wa nchi ataweza kulimaliza deni. Asilaumiwe jamani kwa mihangaiko ya kila namna anayoifanya katika kutafuta upenyo wa kuingia ikulu hali ya kuwa uchaguzi 2015 sio leo wala kesho...
 
Nimesikia kibarazani kuwa Mbowe Jr., Mwenyekiti wa CHADEMA Tanzania, alikopa fedha nyingi huko akiba ya uzeeni na sasa kashindwa kuzilipa na mali alizoweka dhamana hazitoshi kulipa deni hilo na riba yake? Naomba wajuzi mtujuze, ni kweli hii?

Au kuna ka mchezo alicheza?

Kwani huko barazani hawakukuthibitishia kama kuna "kamchezo" au ukweli kwamba kama Marekani,taifa tajiri kuliko yote duniani,linadaiwa basi si ajabu mfanyabiashara wa kawaida kuwa na deni?Kukopa au kudaiwa sio kosa la jinai.Biashara ndogo kwa kubwa zinakopa,and so do nations.Ni mlevi wa fikra tu anayeweza kujaribu kulinganisha an acceptabla business practica-kukopa-na wizi wa mali za umma.

Na kukusaidia tu na pasipo kutumia mifano migumu,hivi kama umemkopesha mtu na mmeandikishiana mkataba kisha akashindwa kulipa deni kinachofuata ni wewe mdai kuchukua hatua za kisheria dhidi ya mdaiwa?Sasa kama hao watu wa akiba ya uzeeni wanamdai Mbowe na ameshindwa kulipa deni kwanini basi wasimpeleke kwenye vyombo vya sheria?
 
Kwanza hakuna mtu anaitwa Mbowe Jr. Mwenyekiti wa Chadema ni Freeman Mbowe na si Mbowe Jr.
 
Ahh basi kwa madeni makubwa hivyo napata picha kamili... Labda anafikiri kwa kuwa Rais wa nchi ataweza kulimaliza deni. Asilaumiwe jamani kwa mihangaiko ya kila namna anayoifanya katika kutafuta upenyo wa kuingia ikulu hali ya kuwa uchaguzi 2015 sio leo wala kesho...

Unaishi nchi gani?Mgombea urais kwa tiketi ya Chadema 2010 alikuwa Mbowe?Katika kutapatapa kwenu mjigeuza Sheikh Yahya kutabiri kuwa Mbowe atagombea urais mwaka 2015.

Na kinachowawasha ni kipi hasa?The alleged creditors hawajasema lolote,na mnafahamu fika kuwa hiyo ingekuwa kete turufu kwa watu kama Makamba na Tambwe Hiza...nyie vimbelembele mnakuja na crazy assessments zenu!
 
Si ungeuliza hapo barazani? Au wambea wako waliondoka ghafla ulivyotokea.

Sasa kama ameshindwa kulipa mbona huyo anayemdai asichukue hatua dhidi yake? Au mnamuogopa?

Na zaidi, ilikuwaje mpaka aliyetoa mkopo akubali kuchukua dhamana ambayo haitoshi kulipa deni na riba? Tunashukuru kwa taarifa hii kwa sababu uozo na uzembe kama huo ndio umetufikisha hapa.

Kitendo cha mtu kutoa hela halafu anashindwa kuzidai na pia anachukua dhamana ambayo haitoshelezi hakivumiliki. Lazima ashughulikiwe mara moja.

Hakuna mchezo aliocheza Mh. Mbowe. Ungekuwepo mngemchafua na kumuaibisha. Zimebaki story za barazani!
 
Kwani huko barazani hawakukuthibitishia kama kuna "kamchezo" au ukweli kwamba kama Marekani,taifa tajiri kuliko yote duniani,linadaiwa basi si ajabu mfanyabiashara wa kawaida kuwa na deni?Kukopa au kudaiwa sio kosa la jinai.Biashara ndogo kwa kubwa zinakopa,and so do nations.Ni mlevi wa fikra tu anayeweza kujaribu kulinganisha an acceptabla business practica-kukopa-na wizi wa mali za umma.

Na kukusaidia tu na pasipo kutumia mifano migumu,hivi kama umemkopesha mtu na mmeandikishiana mkataba kisha akashindwa kulipa deni kinachofuata ni wewe mdai kuchukua hatua za kisheria dhidi ya mdaiwa?Sasa kama hao watu wa akiba ya uzeeni wanamdai Mbowe na ameshindwa kulipa deni kwanini basi wasimpeleke kwenye vyombo vya sheria?

Mbona una-chakachuwa saana, kweli si kweli?
 
Kwani huko barazani hawakukuthibitishia kama kuna "kamchezo" au ukweli kwamba kama Marekani,taifa tajiri kuliko yote duniani,linadaiwa basi si ajabu mfanyabiashara wa kawaida kuwa na deni?Kukopa au kudaiwa sio kosa la jinai.Biashara ndogo kwa kubwa zinakopa,and so do nations.Ni mlevi wa fikra tu anayeweza kujaribu kulinganisha an acceptabla business practica-kukopa-na wizi wa mali za umma.

Na kukusaidia tu na pasipo kutumia mifano migumu,hivi kama umemkopesha mtu na mmeandikishiana mkataba kisha akashindwa kulipa deni kinachofuata ni wewe mdai kuchukua hatua za kisheria dhidi ya mdaiwa?Sasa kama hao watu wa akiba ya uzeeni wanamdai Mbowe na ameshindwa kulipa deni kwanini basi wasimpeleke kwenye vyombo vya sheria?
Mbona hatujapata jawabu? Au ndio kukubali kikubwa?
 
Back
Top Bottom