Mbowe ahusishwa na UFISADI wa kuimaliza NSSF

Tanzania ni shamba la bibi viongozi wa kisiasa wanajilimia tu.

duuuuh kuna siku unaongea mambo ya msingi sana.....hasa ukiangalia Richmond mpaka sa hv huku tegeta wiki ya 3 mgao unaendelea kimya kimya
 
Tundu Lissu hakuyajua haya au alikuwa anamlengeshea Mbowe kijanja achukue uenyekiti?
 
Jamani muacheni mbowe,anakopa kuendesha chama.gharama zimezidi,msisahau hivi sasa amejiongezea mzigo wa kina lipumba.
 
Hawa Ghasia alimtaka Lisu kama kweli anaushaidi, aweke vithibitisho mezani kama sheria ya bunge inavyotaka, cha ajabu yeye akamtaja Mbowe bila kuweka ushaidi mezani.
 
Sabubu ya ujinga wako tuuu, unamtaja mbowe freeman. lakini aliyekopa MBOWE HOTEL, YENYE WAKURUGENZI WATATU WENGINE UWATAJI. NA NDO MAAANA NAPITA TUUU
 
Ukijua kitu kinachoitwa separate entity wala hupati shida
 
CD ishachuja,
Tunataka 200bil za escrow account!
 
 
Hivi unafikiri kwa makini kweli,Hawa Ghasia( waziri ), ndio msemaji wa shirika la NSsF?, pili kwani Mh.Mbowe alipokuwa anakopa Ghasia( fujo), alikuwa mdhamini?,
Kama ndio hivyo sasa tueleza waliouza benki yetu ya NBC ni Mh.Mbowe?, ukichanganya zaidi tueleze wazee wetu wastaafu hadi sasa hawajalipwa mafao yao ,tatizo ni mkopo wa Mh.Mbowe?, fanya hesabu hela alizokopa mbowe ndizo zimesababisha wale wazee wasilipwe?
Kama haitoshi ,tueleze aliyeiba fedha za EPA na kurudisha usiku bila watu kuwaona unavielelezo toka benki yoyote kuwa nani,wapina wangapi walirudisha?
Pesa ml2000 zidadavue ziko wapi?, hati chafu za halmashauri zinasababishwa na Mbowe?, wizi wa tembo,miradi hewa ,na hata balali yuko wapi?, zungumza kwa nini madawati hatuna wakati miti ikiuzwa nje?, mwisho tuambie waliokopa fedha za kampeni toka nssf wataje harafu tukuumbue zaidi fisadi wewe
 
Hivi mnavyofukua maiti zikinza kuongea mtajificha wapi?
 
Huyu Mbowe kaifilisi NSSF mkuu, mbwembwe kibao kumbe madeni..

Hazidi mbwembwe za Tanzania! Uliona siku ile mavifaa ya kivita? Yote yale yamenunuliwa kwa pesa ya kukopa. Kila mtanzania ana deni lisilopungua 500,000/=! Halafu ho uchumi umepanda!
 
Ukijua kitu kinachoitwa separate entity wala hupati shida

Shida ya watu walio wengi, kuanzia mwandishi wa hiyo stori, aliyeileta hapa JF na wachangiaji, kwa kweli ni uelewa wao mdogo katika masuala ya sheria.

Mkataba walioingia Mbowe Hotels na NPF (then, kabla ya sheria namba 28 ya mwaka 1997 haijaifanya kuitwa NSSF) uko governed, pamoja na mambo mengine na Sheria ya Mkataba Law of Contract Act (RE 2002), huo Law of Contract Ordinance).

Pamoja na mambo mengine, sheria tajwa, inaweka miongozo ya namna ya kuingia mikataba na inapotokea upande mmoja umefanya "breach" basi kuna remedy ya upande mwingine inapata.

Kimsingi, sheria pia imeweka mazingira ambayo, utekelezaji wa mkataba ukishindikana, upande husika hutoa utetezi wake,na hapo tumeona Mbowe Hotel wameelezea 'Commercial Sterility" kama miongoni kwa mambo yaliyosababisha kushindwa kutekelezwa kwa mkataba.

Tusimame kwenye mantiki na sheria. Tuache mahaba niue..
 
akichangia hoja mh.wenje mh.mbowe alisema moja ya makampuni yake yanaidai actl dola laki mbili....hata yeye anadai.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…