NOTICE OF APPOINTMENT OF RECEIVER/MANAGER
Notice is hereby to the general that I, Charles Rutayuga Burchard Rwechungura of CRB Africa Legal, Dar es Salaam, was appointed by the National Social Security Fund ("NSSF") to Receiver/Manager of the Mbowe Hotel Limited (the "Company") effective from 25th January 2011
Linaendelea hivo hilo tangazo kwenye gazeti la Mwananchi la leo. Freeman ameshindwa kuwalipa hawa jamaa au? Tungemkabidhi Nchi mwaka 2005........!
WildCard, yaelekea ulivyoiwasilisha hii...unaonyesha wazi kuwa upo mkondo wa mafisadi, maana hayo maandishi yaliyo na rangi ya majani hapo juu yanakupa sifa halisi ya upande uluipo, ambao ni ishara ya 'kufariki kisiasa na kifikra'
Hii ni kutokana na ukweli kuwa yeye hana mapesa ya kifisadi ya kulipa mafisadi, hao. Wote hao NSSF na wenzao ndio mkono wa CCM, ktk kutumia siasa kuingilia maamuzi ya kibiasha kwa wale wote wanaoonekana kuichanganya.
Ila wezi ni wezi tu...mwezi uliopita, NSSF ilikuwa ktk thread hapa jamvini kuwa kulikuwa na ufisadi wa kutisha....na viongozi wanatumia shirika hili kuchukua makato ya umma 'kwa nguvu', wanafanyia biashara na kukopeshana kifisadi kwa mabilioni bila limits, ila pale inapotokea aliyekopeshwa angalau kidogo sio ktk kundi la mafisadi wenyewe wanavuka mipaka na kuwaandama kwa msukumo wa kisiasa! Ila hata hivyo nguvu ya Mbowe haipo ktk Mbowe Hotels, bali ktk akili na mioyo ya umma. Nguvu hii ya siasa za maji taka zitapita, Mbowe na biashara yake itasonga mbele.
Kwa wanaojua kidogo principles za biashara, kimsingi 'Mbowe ni Mbowe' na 'Biashara yake na yeye ni vitu viwili tofauti. Financial accounting principle No 2; 'Business and Owner are two different entities', While the Businees is 'enternal' the owner 'ceases'.
Kamanda Mbowe, pambana kwa nguvu ya umma, tupo pamoja...na pamoja tutashinda.