Mbowe ahusishwa na UFISADI wa kuimaliza NSSF

Mbowe ahusishwa na UFISADI wa kuimaliza NSSF

you are easily impressed..! well different strokes for different folks..!
MTARAJIWA AKISEMACHO BABU MKJJ NI SAHII, DO NOT BE CONVINCED EASILY,UNLESS YOU HAVE DONE YOUR(even a simple)RESEARCH CONCERNING THE ISSUE....!TAKE MY WORDS....!
 
Sakata la Mbowe na NSSF hiyo ilikuwa wana beep tu!Ni kafisadi kadogo tu!Subrini kuna mabom ya Mbowe yanakuja fom NHC na Bank Kuu!sio muda mrefu!wafuasi wake humuwatabadili majina humu ndani!
Watu wapo Marekani wanajifanya wanaijua kila kitu cha Tanzania!!Waacheni wabweke tu!
 
Kutumia CAPS hakugeuzi unachoongea kiwe facts.. haya mambo ya uchaga na ukikuyu hayatajenga hoja yako hapa... is this all ccm can give? wako wapi wanaccm wengine maana unawaaibisha sasa!

Ngoja nikupe nafasi tena ili utafute facts maana hii sasa hata Makamba angetoa points!.... poor guy... unatia huruma sasa!

Mwanakijiji a.k.a Mwafrika wa kike.

Mambo ya Uchagga aliyeyasema ni makamu mwenyekiti wako(Wangwe)sio mimi.na link nimekuwekea vipi unanifuatafuata mimi? HOJA hiyo alijenga Wangwe na ikamsaidia kupata umakamu wa mwenyekiti,
Huruma unatia wewe ambaye huwezi kurudi nyumbani hata kuwe na msiba unasubiri BaRAKA OBAMA ashinde ili atoe vibali kwa ILLEGALS kama wewe, pole sana.

Mara unasema Kitila Mkumbo ni mlokole inanisaidia nini? Mlokole ashinde kanisani hapa anafuata nini kuja kuleta maneno ya uongo na mara kutumia majina ya ASHA ABDALA kwanini awe muongo mlokole?
najua wewe humjui Kitila, jee unajua kuwa alifukuzwa chuo kikuu jee ni ulokole uliomponza?

Kwanini unanilazimisha niwe ccm? kwani lazima niwe na Chama?au kwanini nisiwe SAU au DP?
 
Mwanakijiji a.k.a Mwafrika wa kike.

Mambo ya Uchagga aliyeyasema ni makamu mwenyekiti wako(Wangwe)sio mimi.na link nimekuwekea vipi unanifuatafuata mimi? HOJA hiyo alijenga Wangwe na ikamsaidia kupata umakamu wa mwenyekiti,
Huruma unatia wewe ambaye huwezi kurudi nyumbani hata kuwe na msiba unasubiri BaRAKA OBAMA ashinde ili atoe vibali kwa ILLEGALS kama wewe, pole sana.

Mara unasema Kitila Mkumbo ni mlokole inanisaidia nini? Mlokole ashinde kanisani hapa anafuata nini kuja kuleta maneno ya uongo na mara kutumia majina ya ASHA ABDALA kwanini awe muongo mlokole?
najua wewe humjui Kitila, jee unajua kuwa alifukuzwa chuo kikuu jee ni ulokole uliomponza?

Kwanini unanilazimisha niwe ccm? kwani lazima niwe na Chama?au kwanini nisiwe SAU au DP?

Wewe unahitaji mental evaluation kwa sababu zifuatazo:

- umesema kuwa Mbowe ni mkikuyu.... what a b.....mp
- unasisitiza kuwa mwk ni mkjj na mengine yote.....
- unamwita Kitila kuwa ni Asha Abdala?! .......
- unajifanya kujua legal status ya Mkjj hapa USA...

katika haya endelea ku-explode maana umeishiwa..... mambo yote bongoradio sasa hivi watu weekend imeanza hivyo...
 
Nilikuwa na imani kubwa na CHADEMA lakini baada ya analysis ya Chinga,sina hamu tena.Kweli Usilolijua ni kama usiku wa giza!!
swadakta!!!
Usilolijua ni usiku wa kiza kinene. huyu pimbi yuko marekani haijui Chadema wala MBOWE.

Nimempa data za mkutano wa kwanza wa Chadema kwa bahati mbaya si yeye wala Kitila Mkumbo aliyekuwepo pale Mnazi mmoja.

nimempa FACTS ili ajue naijua Chadema na Mbowe kuliko yeye. na hotuba ya Mtei ninayo jee yeye anayo au Mkumbo(mzee wa kufuata Mkumbo)?

swali Jengo la Mbowe (club billicanas) mtaa wa Mkwepu anajua kuwa ilikuwa mali ya serikali akapewa baba yake Mbowe na mwalimu Nyerere? kwa hilo una weza kusema kuwa MBowe ni mpinzani wa kweli? mtu ambaye maisha yake yameinuka kwa hisani ya Mwenyekiti muasisi wa CCM,

mtu huyu atakuwa kweli ni mpinzani? kwa fadhila zote hizo walizozipata wana lipi linalowachoma na kuwa wapinzani wa kweli?

Mzee Mtei alikuwa gavana wa Benki kuu ya Tanzania mzee huyu hakuwa na qualification zozote za kibenki ana B.A (LITERATURE)lakini mwalimu akampa madaraka hayo kiurafiki,

Mzee Mtei akaingiza wachagga wengi B.O.T ikiwa na mbowe kupewa kazi ya ukalani-Benki kuu huku hana sifa zozote.

wakafanya deals nyingi huko hadi mzee Mtei kuombwa ajiuzulu na si kupelekwa mahakamani mtu huyo atakuwa ni mpinzani wa kweli? sisi tunaojua kuwa watu wako kwenye mchezo wa kuigiza tu(ze comedy)
 
you are easily impressed..! well different strokes for different folks..!

Mbona wewe umeingia Chadema kirahisi sana bila Facts? lete zako um IMPRESS?

nakuuliza tena unamjua RUTTA NELSON? hawa waliingia kichwa kichwa Chadema hawakujua ni Sacoss ya wachagga. alikuwa akipita na kugawa mipira pale kibaha kwa Mathias,najua wewe hukujui chama cha wachagga (Chadema) kamuulize rutta Nelsono hivi sasa ni kada wa CCM.

Jana nimekupa habari ya John Guninita ambaye sasa ni Mwenyekiti wa CCM.Mkoa wa Dsm. alipoteza muda wake huko. na naihusia serikali isipoteze muda wa wewe kwani huna jipya?
 
swadakta!!!
Usilolijua ni usiku wa kiza kinene. huyu pimbi yuko marekani haijui Chadema wala MBOWE.

Nimempa data za mkutano wa kwanza wa Chadema kwa bahati mbaya si yeye wala Kitila Mkumbo aliyekuwepo pale Mnazi mmoja.

nimempa FACTS ili ajue naijua Chadema na Mbowe kuliko yeye. na hotuba ya Mtei ninayo jee yeye anayo au Mkumbo(mzee wa kufuata Mkumbo)?

swali Jengo la Mbowe (club billicanas) mtaa wa Mkwepu anajua kuwa ilikuwa mali ya serikali akapewa baba yake Mbowe na mwalimu Nyerere? kwa hilo una weza kusema kuwa MBowe ni mpinzani wa kweli? mtu ambaye maisha yake yameinuka kwa hisani ya Mwenyekiti muasisi wa CCM,

mtu huyu atakuwa kweli ni mpinzani? kwa fadhila zote hizo walizozipata wana lipi linalowachoma na kuwa wapinzani wa kweli?

Mzee Mtei alikuwa gavana wa Benki kuu ya Tanzania mzee huyu hakuwa na qualification zozote za kibenki ana B.A (LITERATURE)lakini mwalimu akampa madaraka hayo kiurafiki,

Mzee Mtei akaingiza wachagga wengi B.O.T ikiwa na mbowe kupewa kazi ya ukalani-Benki kuu huku hana sifa zozote.

wakafanya deals nyingi huko hadi mzee Mtei kuombwa ajiuzulu na si kupelekwa mahakamani mtu huyo atakuwa ni mpinzani wa kweli? sisi tunaojua kuwa watu wako kwenye mchezo wa kuigiza tu(ze comedy)

yengele yengele kibaoooo!

unahitaji mental evaluation maana kama hizi ndizo facts basi itabidi wainglish watafute tafsiri mpya ya neno fact!
 
Wewe unahitaji mental evaluation kwa sababu zifuatazo:

- umesema kuwa Mbowe ni mkikuyu.... what a b.....mp
- unasisitiza kuwa mwk ni mkjj na mengine yote.....
- unamwita Kitila kuwa ni Asha Abdala?! .......
- unajifanya kujua legal status ya Mkjj hapa USA...

katika haya endelea ku-explode maana umeishiwa..... mambo yote bongoradio sasa hivi watu weekend imeanza hivyo...

Mbona nilisema kuwa Mwanasiasa ni kitila na ikaja kuwa ni kweli,

kabla ya hapo alikataa sana na hata kusema hakai Southmpton,

leo hii anaweka wazi kuwa ni Mwanasiasa ni jina alilokuwa akilitumia JF na kweli yuko Southmpton, nina PRECEDENCE hiyo.

kama nilimjua akitumia jina la Mwanasiasa hivyo hivyo sasa namjua anatumia ASHA ABDALA.

anayehitaji Evaluation ni Mbowe ambaye kakopa na sasa anakataa kulipa, kasema anaenda kusoma kwa miaka mitatu baada ya mwaka mmoja anarudi na kusema kuwa priority ni chama, jee hakujua kuwa Chama na elimu yake kipi kianze? kapoteza muda na pesa zake. huyu mfanyie Evaluation au kwa vile anakupumulia mgongoni?
 
Mbona nilisema kuwa Mwanasiasa ni kitila na ikaja kuwa ni kweli,

kabla ya hapo alikataa sana na hata kusema hakai Southmpton,

leo hii anaweka wazi kuwa ni Mwanasiasa ni jina alilokuwa akilitumia JF na kweli yuko Southmpton, nina PRECEDENCE hiyo.

kama nilimjua akitumia jina la Mwanasiasa hivyo hivyo sasa namjua anatumia ASHA ABDALA.

anayehitaji Evaluation ni Mbowe ambaye kakopa na sasa anakataa kulipa, kasema anaenda kusoma kwa miaka mitatu baada ya mwaka mmoja anarudi na kusema kuwa priority ni chama, jee hakujua kuwa Chama na elimu yake kipi kianze? kapoteza muda na pesa zake. huyu mfanyie Evaluation au kwa vile anakupumulia mgongoni?

Wewe una matatizo upstairs na kwa hili basi inabidi weekend ianze mapema sana leo....... endelea explosion zake maana nimepata brand new laz boy, pop corn, napata muziki toka bongoradio sasa hivi nikishuhudia explosion zako... ukichoka sana weekend hii kuna bonge la bash Dallas labda itakusaidia kurekebisha mind yako!
 
Mbona nilisema kuwa Mwanasiasa ni kitila na ikaja kuwa ni kweli,

kabla ya hapo alikataa sana na hata kusema hakai Southmpton,

leo hii anaweka wazi kuwa ni Mwanasiasa ni jina alilokuwa akilitumia JF na kweli yuko Southmpton, nina PRECEDENCE hiyo.

kama nilimjua akitumia jina la Mwanasiasa hivyo hivyo sasa namjua anatumia ASHA ABDALA.

anayehitaji Evaluation ni Mbowe ambaye kakopa na sasa anakataa kulipa, kasema anaenda kusoma kwa miaka mitatu baada ya mwaka mmoja anarudi na kusema kuwa priority ni chama, jee hakujua kuwa Chama na elimu yake kipi kianze? kapoteza muda na pesa zake. huyu mfanyie Evaluation au kwa vile anakupumulia mgongoni?
NIMEKUSOMA POST ZAKO KWA MUDA MREFU SANA.ONA DATA NA UNAJUA KUCHAMBUA.MWK INABIDI WAWE MIA ILI WAFIKE ROBO YA UWEZO WAKO.
 
Wewe una matatizo upstairs na kwa hili basi inabidi weekend ianze mapema sana leo....... endelea explosion zake maana nimepata brand new laz boy, pop corn, napata muziki toka bongoradio sasa hivi nikishuhudia explosion zako... ukichoka sana weekend hii kuna bonge la bash Dallas labda itakusaidia kurekebisha mind yako!

kiss his *hahaaaa*..........you can kiss it baby !
 
swadakta!!!
Usilolijua ni usiku wa kiza kinene. huyu pimbi yuko marekani haijui Chadema wala MBOWE.

Nimempa data za mkutano wa kwanza wa Chadema kwa bahati mbaya si yeye wala Kitila Mkumbo aliyekuwepo pale Mnazi mmoja.

nimempa FACTS ili ajue naijua Chadema na Mbowe kuliko yeye. na hotuba ya Mtei ninayo jee yeye anayo au Mkumbo(mzee wa kufuata Mkumbo)?

swali Jengo la Mbowe (club billicanas) mtaa wa Mkwepu anajua kuwa ilikuwa mali ya serikali akapewa baba yake Mbowe na mwalimu Nyerere? kwa hilo una weza kusema kuwa MBowe ni mpinzani wa kweli? mtu ambaye maisha yake yameinuka kwa hisani ya Mwenyekiti muasisi wa CCM,

mtu huyu atakuwa kweli ni mpinzani? kwa fadhila zote hizo walizozipata wana lipi linalowachoma na kuwa wapinzani wa kweli?

Mzee Mtei alikuwa gavana wa Benki kuu ya Tanzania mzee huyu hakuwa na qualification zozote za kibenki ana B.A (LITERATURE)lakini mwalimu akampa madaraka hayo kiurafiki,

Mzee Mtei akaingiza wachagga wengi B.O.T ikiwa na mbowe kupewa kazi ya ukalani-Benki kuu huku hana sifa zozote.

wakafanya deals nyingi huko hadi mzee Mtei kuombwa ajiuzulu na si kupelekwa mahakamani mtu huyo atakuwa ni mpinzani wa kweli? sisi tunaojua kuwa watu wako kwenye mchezo wa kuigiza tu(ze comedy
)

FACTS TUPU !
 
Sakata la Mbowe na NSSF hiyo ilikuwa wana beep tu!Ni kafisadi kadogo tu!Subrini kuna mabom ya Mbowe yanakuja fom NHC na Bank Kuu!sio muda mrefu!wafuasi wake humuwatabadili majina humu ndani!
Watu wapo Marekani wanajifanya wanaijua kila kitu cha Tanzania!!Waacheni wabweke tu!

Hilo hawalijui. baba yake Mbowe alipewa ile nyumba ya serikali na Nyerere ambapo ndipo kuna Dangulo la Mbowe hivi sasa.mzee Mtei (mkwe wake Mbowe) alifukuzwa Benki kuu baada ya mzee huyu kupewa ugavana huku hana elimu yeyote ya kibenki ana B.A (LITERATURE).

wakapanga mpango wachagga waliowekwa na MTEI akiwa Mbowe aliyepewa ukarani huku hana elimu yeyote, wakaichoma benki kuu yetu moto.leo watu wanauliza EPA kwanini hawaulizi nani alichoma benki kuu? kama baba yake Mbowe alipewa nyumba na serikali jee Mbowe ni mpinzani au ni COMEDY TU?

wapo watu waliovamia kichwa kichwa Chadema kam John Guninita na RUTTA NELSON,Shaibu AKWILOMBE,n.k walipojua kuwa ni NGO ya wachagga wakatoka baruti.

Wangwe Chacha anajuta kuingia chama bila kufanya utafiti kuwa ni movement ya watu wa kilimanjaro ndio maana huwezi kusikia kuwa fungu la ruzuku limekwenda Mtwara au Lindi.
 
Mbona wewe umeingia Chadema kirahisi sana bila Facts? lete zako um IMPRESS?

nakuuliza tena unamjua RUTTA NELSON? hawa waliingia kichwa kichwa Chadema hawakujua ni Sacoss ya wachagga. alikuwa akipita na kugawa mipira pale kibaha kwa Mathias,najua wewe hukujui chama cha wachagga (Chadema) kamuulize rutta Nelsono hivi sasa ni kada wa CCM.

Jana nimekupa habari ya John Guninita ambaye sasa ni Mwenyekiti wa CCM.Mkoa wa Dsm. alipoteza muda wake huko. na naihusia serikali isipoteze muda wa wewe kwani huna jipya
?

hahaaa ! Sasa walie tu, na naenda kumleta CHINGA mwingine aje hapa JamboForums ! si wanajifanya wanaijua Chadema wao, sasa wasubiri !
 
Mbona nilisema kuwa Mwanasiasa ni kitila na ikaja kuwa ni kweli,

kabla ya hapo alikataa sana na hata kusema hakai Southmpton,

leo hii anaweka wazi kuwa ni Mwanasiasa ni jina alilokuwa akilitumia JF na kweli yuko Southmpton, nina PRECEDENCE hiyo.

kama nilimjua akitumia jina la Mwanasiasa hivyo hivyo sasa namjua anatumia ASHA ABDALA.

anayehitaji Evaluation ni Mbowe ambaye kakopa na sasa anakataa kulipa, kasema anaenda kusoma kwa miaka mitatu baada ya mwaka mmoja anarudi na kusema kuwa priority ni chama, jee hakujua kuwa Chama na elimu yake kipi kianze? kapoteza muda na pesa zake. huyu mfanyie Evaluation au kwa vile anakupumulia mgongoni?

ALIFELI VIBAYA SANA !! na anatia aibu, ile kusema tu yeye ni politishieni tanzania anaipa bad publicity, bora angekaa tu kimya !
 
Hilo hawalijui. baba yake Mbowe alipewa ile nyumba ya serikali na Nyerere ambapo ndipo kuna Dangulo la Mbowe hivi sasa.mzee Mtei (mkwe wake Mbowe) alifukuzwa Benki kuu baada ya mzee huyu kupewa ugavana huku hana elimu yeyote ya kibenki ana B.A (LITERATURE).

wakapanga mpango wachagga waliowekwa na MTEI akiwa Mbowe aliyepewa ukarani huku hana elimu yeyote, wakaichoma benki kuu yetu moto.leo watu wanauliza EPA kwanini hawaulizi nani alichoma benki kuu? kama baba yake Mbowe alipewa nyumba na serikali jee Mbowe ni mpinzani au ni COMEDY TU?

wapo watu waliovamia kichwa kichwa Chadema kam John Guninita na RUTTA NELSON,Shaibu AKWILOMBE,n.k walipojua kuwa ni NGO ya wachagga wakatoka baruti.

Wangwe Chacha anajuta kuingia chama bila kufanya utafiti kuwa ni movement ya watu wa kilimanjaro ndio maana huwezi kusikia kuwa fungu la ruzuku limekwenda Mtwara au Lindi
.

Na kwa maneno haya asikimbie mtu hapa JF ! Njoeni sasa mseme au mkanushe !
 
Wewe una matatizo upstairs na kwa hili basi inabidi weekend ianze mapema sana leo....... endelea explosion zake maana nimepata brand new laz boy, pop corn, napata muziki toka bongoradio sasa hivi nikishuhudia explosion zako... ukichoka sana weekend hii kuna bonge la bash Dallas labda itakusaidia kurekebisha mind yako!

ANAYE ISHABIKIA BONGO RADIO NI mwanakijiji na wewe umesema kuwa si Mwanakijiji. umeweka hadi THREAD ya Bongo radio leo hii,na kwa mapenzi ya Mwanakijiji kwa Mbowe angekuwa anajibu kila Mbowe anapopigwa dongo. kimya chake na wewe kuwa msemaji wa Mbowe. ni ushuhuda kuwa ni MWANAKIJIJI.

Mbowe kampa pesa Mwanakijiji kwa ajili ya kumdefend na kufungua website vipi Mwafrika wa kike afanye kazi ya Mwanakijiji ambaye kalipwa kwa kazi hiyo?

ndugu yetu pole sana huwezi kujificha hapa hata utumie Madella madilu au Koba na Ben tutakukamata kama KITILA NA JINA LA Mwanasiasa.
 
Usianze kulia kada... hii game kubwa na peke yako hutaweza kuzuia nguvu ya watanzania waliochoshwa na wizi na ubadhirifu wa serikali ya ccm. Pole sana mwenzangu kama hukujua hili.

Kajipange zaidi wakati bunge likisubiriwa kuunda tume maalumu ya kuchunguza madeni na matumizi yote ya NSSF. Poor Kikwete, karibu tena atavunja baraza la mawaziri... this time omba upewe nafasi maana wenzako wanauza nchi ambayo watoto wako wangeiita kwao. Sio kuwa ukiita ninachosema pumba kinakuwa hivyo, kajipangeni upya maana hii imeback fire big time!

Pole sana, labda uanze tena ile kampeni yako ya kupondea ufisadi wa JF maana hizi zingine mhhhhhhh

ANAYELIALIA NI MBOWE. kakopa na sasa anatoa kilio shuu na mke wake LILIAN MTEI ili wasamehewe.wao wameingiza faida ngapi na dangulo lao na bado wanalialia wasamehewe.
 
Back
Top Bottom