Mbowe akataliwa Dar es Salaam! CHADEMA imekufa rasmi....

Mbowe akataliwa Dar es Salaam! CHADEMA imekufa rasmi....

sonofobia

JF-Expert Member
Joined
Jun 21, 2015
Posts
1,171
Reaction score
4,295
Leo kulikuwa na tukio la Chadema wakiongozwa na mwenyekiti wao Mbowe. Lilikuwa ni tukio linaluhusu zaidi ushiriki wa watanzania.

Cha ajabu na masikitiko makubwa, hakukuwa na muitikio wa wananchi. Watu hawana habari na Mbowe kama hakijatokea kitu.

Namshauri Mbowe akatubu kwenye kaburi la Magufuli.

20220409_171548.jpg


20220409_190943.jpg
 
Leo kulikuwa na tukio la Chadema wakiongozwa na mwenyekiti wao Mbowe. Lilikuwa ni tukio linaluhusu zaidi ushiriki wa watanzania.

Cha ajabu na masikitiko makubwa, hakukuwa na muitikio wa wananchi. Watu hawana habari na Mbowe kama hakijatokea kitu.

Namshauri Mbowe akatubu kwenye kaburi la Magufuli.

View attachment 2181905

View attachment 2181907
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] chawa bana
 
Leo kulikuwa na tukio la Chadema wakiongozwa na mwenyekiti wao Mbowe. Lilikuwa ni tukio linaluhusu zaidi ushiriki wa watanzania.

Cha ajabu na masikitiko makubwa, hakukuwa na muitikio wa wananchi. Watu hawana habari na Mbowe kama hakijatokea kitu.

Namshauri Mbowe akatubu kwenye kaburi la Magufuli.

View attachment 2181905

View attachment 2181907


Km vile walivyoichoka CCM
 
Leo kulikuwa na tukio la Chadema wakiongozwa na mwenyekiti wao Mbowe. Lilikuwa ni tukio linaluhusu zaidi ushiriki wa watanzania.

Cha ajabu na masikitiko makubwa, hakukuwa na muitikio wa wananchi. Watu hawana habari na Mbowe kama hakijatokea kitu.

Namshauri Mbowe akatubu kwenye kaburi la Magufuli.

View attachment 2181905

View attachment 2181907
Upumbavu wako na uongo mkubwa uliokua nao,please usiwarithishe watoto wako
 
Leo kulikuwa na tukio la Chadema wakiongozwa na mwenyekiti wao Mbowe. Lilikuwa ni tukio linaluhusu zaidi ushiriki wa watanzania.

Cha ajabu na masikitiko makubwa, hakukuwa na muitikio wa wananchi. Watu hawana habari na Mbowe kama hakijatokea kitu.

Namshauri Mbowe akatubu kwenye kaburi la Magufuli.

View attachment 2181905

View attachment 2181907
Saluti kwa ukonga imemstaafisha mbowe siasa rasmi
 
Leo kulikuwa na tukio la Chadema wakiongozwa na mwenyekiti wao Mbowe. Lilikuwa ni tukio linaluhusu zaidi ushiriki wa watanzania.

Cha ajabu na masikitiko makubwa, hakukuwa na muitikio wa wananchi. Watu hawana habari na Mbowe kama hakijatokea kitu.

Namshauri Mbowe akatubu kwenye kaburi la Magufuli.

View attachment 2181905

View attachment 2181907
Yaani Mbowe akienda hata haja mnamfatilia🤣🤣
 
Yani sijaelewa ulitaka tuone nini hapo maana yuko matembezeni na sio mkutano wala maandamano.
Naona ulitaka Watu waandamane nae ili mpate sababu ya kuwaua kama Akwilina.
Mashetani wakubwa wenye kiu ya damu za Watu
Leo Lumumba kakurupuka
 
Leo kulikuwa na tukio la Chadema wakiongozwa na mwenyekiti wao Mbowe. Lilikuwa ni tukio linaluhusu zaidi ushiriki wa watanzania.

Cha ajabu na masikitiko makubwa, hakukuwa na muitikio wa wananchi. Watu hawana habari na Mbowe kama hakijatokea kitu.

Namshauri Mbowe akatubu kwenye kaburi la Magufuli.

View attachment 2181905

View attachment 2181907
Hilo tukio linalohusu ushiriki wa watanzania halina jina?

Ukiwa mwanaccm unakuwa Zee la kukurupuka🤣
 
Akaombe msamaha kwenye kaburi la Magufuli la sivyo ataendelea kuvuna aibu za kutisha kama hizi.
😂🤣 Wamezidi siasa za kiharakati, lakini kwenda kuomba kwenye kaburi la yule shetani itakuwa ndio wanajizika kabisa

Dawa ni kuunga mkono serikali ya Samia, wakubali maridhiano, wachukue ruzuku wafanye mambo yao
 
Back
Top Bottom