Mbowe akataliwa Dar es Salaam! CHADEMA imekufa rasmi....

Mbowe akataliwa Dar es Salaam! CHADEMA imekufa rasmi....

Jamani watu wana maneno duuh😂😂
View attachment 2182305

Screenshot_20220410-082144_Chrome.jpg
 
Duuu KUB kila anapopita familia zinatimka wakidhani gaidi anakuja. Huyu dingi awape mikoba vijana chama kiwe na amsha amsha.
 
Leo kulikuwa na tukio la Chadema wakiongozwa na mwenyekiti wao Mbowe. Lilikuwa ni tukio linaluhusu zaidi ushiriki wa watanzania.

Cha ajabu na masikitiko makubwa, hakukuwa na muitikio wa wananchi. Watu hawana habari na Mbowe kama hakijatokea kitu.

Namshauri Mbowe akatubu kwenye kaburi la Magufuli.

View attachment 2181905

View attachment 2181907
Dua la kuku halimpati mwewe shehe
 
Waliofurahia kifo Cha magu huwajui? Si ndo hao wanarudishana chamani. Kila baya mbowe!
Ndio shida yao haya maccm mapumbavu! Hayajielewi hata kidogo, badala ya kuwalalamikia walio muua eti wao wanataabika na walio tabasamu kwa dikteta kuchomoka! Wauane wenyewe kisha wanataka tuomboleze sisi!
Pambaf kabisa hawa vuvuzela
 
Back
Top Bottom