Sasa wewe ulitegemea wazaramo wakitambua?
Haujaelewa nini? Watu wapo busy na kubet hawaoni huyo Mbowe kama ni ishu ya maana 😂😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haujaelewa nini? Watu wapo busy na kubet hawaoni huyo Mbowe kama ni ishu ya maana 😂😂😂
Kwani Ndugai ni mwenyekiti wa chama gani?Nadhani heri Mbowe anayeonekana mitaani kuliko Brother Ndugai ambaye hajulikani hata alipo tangu atolewe nduki kwenye kiti cha kunesanesa
Mi mnyasa. Ndio maana mpompo tu, ujanja wa mdomoni. Akili hakuna.Basi kafanyieni mambo yenu kwenu uchagani
Dua la kuku halimpati mwewe sheheLeo kulikuwa na tukio la Chadema wakiongozwa na mwenyekiti wao Mbowe. Lilikuwa ni tukio linaluhusu zaidi ushiriki wa watanzania.
Cha ajabu na masikitiko makubwa, hakukuwa na muitikio wa wananchi. Watu hawana habari na Mbowe kama hakijatokea kitu.
Namshauri Mbowe akatubu kwenye kaburi la Magufuli.
View attachment 2181905
View attachment 2181907
Unahangaishwa na huo mchepuko wa Zitto aliyechukua nafasi ya bwana mdogo yule wa Ikungi!
Ndio shida yao haya maccm mapumbavu! Hayajielewi hata kidogo, badala ya kuwalalamikia walio muua eti wao wanataabika na walio tabasamu kwa dikteta kuchomoka! Wauane wenyewe kisha wanataka tuomboleze sisi!Waliofurahia kifo Cha magu huwajui? Si ndo hao wanarudishana chamani. Kila baya mbowe!