peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Leo kulikuwa na tukio la Chadema wakiongozwa na mwenyekiti wao Mbowe. Lilikuwa ni tukio linaluhusu zaidi ushiriki wa watanzania.
Cha ajabu na masikitiko makubwa, hakukuwa na muitikio wa wananchi. Watu hawana habari na Mbowe kama hakijatokea kitu.
Namshauri Mbowe akatubu kwenye kaburi la Magufuli.
View attachment 2181905
View attachment 2181907