Mbowe akipelekwa mahakamani, viongozi wetu watakuwa salama zaidi

Mbowe akipelekwa mahakamani, viongozi wetu watakuwa salama zaidi

Poppy Hatonn

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2021
Posts
3,095
Reaction score
4,632
Polisi wanasema wamekamilisha uchunguzi,Ila wakimfikisha mahakamani sijui kama kesi itaanza au uchunguzi utaendelea.

Kwa vile tuhuma zile ni nzito na viongozi wetu wametujengea flyover,ni bora apelekwe mahakamani.

Hii ni public trial ambapo wote tutafuatilia yanayotendeka.

Lakini viongozi wetu lazima waelewe ukiwa bulldoze watu,mambo kama haya yanaweza kutokea. Kama unataka justice,hiyo ndiyo justice. Huwezi kumuliza mtu kwa nini amekasirika ulipomtukana?

You can have peace kama ukitambua wewe ulifanya makosa na mimi nilifanya makosa,kwa hiyo tusameheane.
 
Polisi wanasema wamekamilisha uchunguzi,Ila wakimfikisha mahakamani sijui kama kesi itaanza au uchunguzi utaendelea.
Kwa vile tuhuma zile ni nzito na viongozi wetu wametujengea flyover,ni bora apelekwe mahakamani.
Hii ni public trial ambapo wote tutafuatilia yanayotendeka.
Lakini viongozi wetu lazima waelewe ukiwa bulldoze watu,mambo kama haya yanaweza kutokea. Kama unataka justice,hiyo ndiyo justice. Huwezi kumuliza mtu kwa nini amekasirika ulipomtukana?
You can have peace kama ukitambua wewe ulifanya makosa na mimi nilifanya makosa,kwa hiyo tusameheane.
Akili kama hizi ndo huwa zinanifanya
Niamini kuwa Africa tuna akili za nyani
Wametujengea fly over .. very stupid argument
Lack of exposure Hatari sana
Kuna watu ukiwaambia nchi nyingi za ulaya na hata Asia ukitaka kukanyaga udongo inkupasa uende kwenye bustani kwani ni kitaa ni full peva hawaimini tumezoea kubugia vummbi tuu
 
Akili kama hizi ndo huwa zinanifanya
Niamini kuwa Africa tuna akili za nyani
Wametujengea fly over .. very stupid argument
Lack of exposure Hatari sana
Kuna watu ukiwaambia nchi nyingi za ulaya na hata Asia ukitaka kukanyaga udongo inkupasa uende kwenye bustani kwani ni kitaa ni full peva hawaimini tumezoea kubugia vummbi tuu
Once king Jannai and his queen were sitting [at a meal]. The king said, ‘Goat's flesh is best’, but the queen said, ‘Lamb is best’. They said, ‘Let us ask Issachar of Kefar Barkai, who is the High Priest and offers sacrifices daily; so he ought to know’. 6 7 They [called him and] asked him; whereupon he replied. ‘If goat's flesh were best let it be offered for the daily sacrifice’. As he spoke he waved his hand [in contempt]. Then said the king, ‘Since he waved his hand [in contempt of our royal persons] let his right hand be cut off’. He, however, gave a bribe and they cut off his left hand. When the king heard this he said, ‘Cut off his right hand too’. Rab Joseph said: Blessed be the Merciful One who paid out
Issachar of Kefar Barkai his due [in this world]!
Hiyo nukuu imetoka katika Babylonian Talmud Soncino edition.
 
Ndiyo. Kina Velonika France wanaongea maneno mengi. Yote haya walinzi wa Sheria wanasikia. Kwa nini wasianze ku take action.
 
Hata kama sikubaliani na wewe,lakini salama ya Mbowe ni kupelekwa mahakamani ili haki itendeke kuliko kumkalisha mahabusu kwa muda mrefu kama wale mashehe!
Nachoamini Serikali haiwezi kushinda kesi hii na sina hakika kama itakubali kumpeleka mahakamani ili iaibike!
DHULUMA HAIJAWAHI KUISHINDA HAKI!
 
Akili kama hizi ndo huwa zinanifanya
Niamini kuwa Africa tuna akili za nyani
Wametujengea fly over .. very stupid argument
Lack of exposure Hatari sana
Kuna watu ukiwaambia nchi nyingi za ulaya na hata Asia ukitaka kukanyaga udongo inkupasa uende kwenye bustani kwani ni kitaa ni full peva hawaimini tumezoea kubugia vummbi tuu
Tatzo movie zimewameza niny mnaojiona mna akili had mnaona wenzenu n nyani😂😂😂
 
Nina uhakika Mbowe akisikia Dr Silaa na Zitto kabwe wanakuja kutoa ushahidi anaweza kufa kwa pressure 😂😂😂😂 maana kwa Chadema ya 2005 mpk 2015 ile Chadema ya peoplezzzzzzz makosa ya Ugaidi na Utekaji lazima walikuwa nayo kabisa tena Police wangeomba Usaidizi wa FBI au ScotlandYard wachunguze Chadema ile ya 2005 -2015
 
Back
Top Bottom