Poppy Hatonn
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 3,095
- 4,632
Akili kama hizi ndo huwa zinanifanyaPolisi wanasema wamekamilisha uchunguzi,Ila wakimfikisha mahakamani sijui kama kesi itaanza au uchunguzi utaendelea.
Kwa vile tuhuma zile ni nzito na viongozi wetu wametujengea flyover,ni bora apelekwe mahakamani.
Hii ni public trial ambapo wote tutafuatilia yanayotendeka.
Lakini viongozi wetu lazima waelewe ukiwa bulldoze watu,mambo kama haya yanaweza kutokea. Kama unataka justice,hiyo ndiyo justice. Huwezi kumuliza mtu kwa nini amekasirika ulipomtukana?
You can have peace kama ukitambua wewe ulifanya makosa na mimi nilifanya makosa,kwa hiyo tusameheane.
Once king Jannai and his queen were sitting [at a meal]. The king said, βGoat's flesh is bestβ, but the queen said, βLamb is bestβ. They said, βLet us ask Issachar of Kefar Barkai, who is the High Priest and offers sacrifices daily; so he ought to knowβ. 6 7 They [called him and] asked him; whereupon he replied. βIf goat's flesh were best let it be offered for the daily sacrificeβ. As he spoke he waved his hand [in contempt]. Then said the king, βSince he waved his hand [in contempt of our royal persons] let his right hand be cut offβ. He, however, gave a bribe and they cut off his left hand. When the king heard this he said, βCut off his right hand tooβ. Rab Joseph said: Blessed be the Merciful One who paid outAkili kama hizi ndo huwa zinanifanya
Niamini kuwa Africa tuna akili za nyani
Wametujengea fly over .. very stupid argument
Lack of exposure Hatari sana
Kuna watu ukiwaambia nchi nyingi za ulaya na hata Asia ukitaka kukanyaga udongo inkupasa uende kwenye bustani kwani ni kitaa ni full peva hawaimini tumezoea kubugia vummbi tuu
UPuuzi kama wa mbowe wa kuua watu?Kuna upuuzi mwingi na mkubwa sana....
Alieuwa watu viroba...analipa huko wapi ben saa 8 ?U
UPuuzi kama wa mbowe wa kuua watu?
Muulize mboweAlieuwa watu viroba...analipa huko wapi ben saa 8 ?
Watampeleka mahakamani wiki ijayo.Watampeleka mahakamani kwa ushahidi gani?
Tatzo movie zimewameza niny mnaojiona mna akili had mnaona wenzenu n nyaniπππAkili kama hizi ndo huwa zinanifanya
Niamini kuwa Africa tuna akili za nyani
Wametujengea fly over .. very stupid argument
Lack of exposure Hatari sana
Kuna watu ukiwaambia nchi nyingi za ulaya na hata Asia ukitaka kukanyaga udongo inkupasa uende kwenye bustani kwani ni kitaa ni full peva hawaimini tumezoea kubugia vummbi tuu
NDo ukae kwa kutulia usubir ushahid mahakamaniWatampeleka mahakamani kwa ushahidi gani?
Lucifer .....anaipata huko mataga nduku waziMuulize mbowe