Mbowe aligombeaje urais mwaka 2005 kama hana degree?

Mbowe aligombeaje urais mwaka 2005 kama hana degree?

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Kigezo kimojawapo cha kugombea urais Tanzania ni mgombea kuwa na angalau kiwango cha elimu cha degree moja, pia huwa kuna rumours mtaana kwamba Freeman Mbowe aliishia kidato cha sita tu, sasa kama ni kweli Mbowe aliwezaje kupitishwa na tume ya uchaguzi kugombea Urais mwaka 2005??

Wanasiasa wanaogombea nafasi kuanzia udiwani, ubunge hadi Urais wanapaswa kuweka wazi CVs zao wapiga kura wawafahamu vizuri kwa manufaa ya umma. George Bush Jr. wa Marekani yeye alikuwa haoni haya kusema hadi matokeo yake ya darasani kwamba hakuwa kipanga na hadi aliwahi kutania kwamba wanafunzi wa daraja C kama yeye wanaweza kuwa marais pia.
 
Kigezo kimojawapo cha kugombea urais Tanzania ni mgombea kuwa na angalau kiwango cha elimu cha degree moja, pia huwa kuna rumours mtaana kwamba Freeman Mbowe aliishia kidato cha sita tu, sasa kama ni kweli Mbowe aliwezaje kupitishwa na tume ya uchaguzi kugombea Urais mwaka 2005??

Wanasiasa wanaogombea nafasi kuanzia udiwani, ubunge hadi Urais wanapaswa kuweka wazi CVs zao wapiga kura wawafahamu vizuri kwa manufaa ya umma. George Bush Jr. wa Marekani yeye alikuwa haoni haya kusema hadi matokeo yake ya darasani kwamba hakuwa kipanga na hadi aliwahi kutania kwamba wanafunzi wa daraja C kama yeye wanaweza kuwa marais pia.
Hicho kigezo cha degree kilikuja kuongezwa baadaye. Kumbuka, kabla ya Mbowe Mrema pia alikuwa akigombea kwenye kila uchaguzi.
Mwaka ambao kigezo cha degree kilipoongezwa mwaka huo tulishuhudia kwa mara ya kwanza Mrema akikosa kugombea, Mbatia pia mwaka huo japo alipanga kugombea lakini akashindwa (maana alikuwa hajamaliza chuo, baadaye akaenda kusoma Holland)
 
Hicho kigezo cha degree kilikuja kuongezwa baadaye. Kumbuka, kabla ya Mbowe Mrema pia alikuwa akigimbea kwenye kila uchaguzi. Mwaka ambao kigezo cha degree kilipoongezwa mwaka huo tulishuhudia kwa mara ya kwanza Mrema akikosa kugombea, Mbatia pia mwaka huo akashindwa (maana alikuwa hajamaliza chuo, baadaye akaenda kusoma Holland)
Hapa kwa Mbatia umetufunga kamba
 
Hicho kigezo cha degree kilikuja kuongezwa baadaye. Kumbuka, kabla ya Mbowe Mrema pia alikuwa akigimbea kwenye kila uchaguzi. Mwaka ambao kigezo cha degree kilipoongezwa mwaka huo tulishuhudia kwa mara ya kwanza Mrema akikosa kugombea, Mbatia pia mwaka huo akashindwa (maana alikuwa hajamaliza chuo, baadaye akaenda kusoma Holland)
Mwaka gani katiba ilifanyiwa hayo marekebisho unayosema??
 
Kigezo kimojawapo cha kugombea urais Tanzania ni mgombea kuwa na angalau kiwango cha elimu cha degree moja, pia huwa kuna rumours mtaana kwamba Freeman Mbowe aliishia kidato cha sita tu, sasa kama ni kweli Mbowe aliwezaje kupitishwa na tume ya uchaguzi kugombea Urais mwaka 2005??

Wanasiasa wanaogombea nafasi kuanzia udiwani, ubunge hadi Urais wanapaswa kuweka wazi CVs zao wapiga kura wawafahamu vizuri kwa manufaa ya umma. George Bush Jr. wa Marekani yeye alikuwa haoni haya kusema hadi matokeo yake ya darasani kwamba hakuwa kipanga na hadi aliwahi kutania kwamba wanafunzi wa daraja C kama yeye wanaweza kuwa marais pia.
Reference kuhusu kiwango cha elimu kama ilivyo kwenye katiba?
 
Kigezo kimojawapo cha kugombea urais Tanzania ni mgombea kuwa na angalau kiwango cha elimu cha degree moja, pia huwa kuna rumours mtaana kwamba Freeman Mbowe aliishia kidato cha sita tu, sasa kama ni kweli Mbowe aliwezaje kupitishwa na tume ya uchaguzi kugombea Urais mwaka 2005??

Wanasiasa wanaogombea nafasi kuanzia udiwani, ubunge hadi Urais wanapaswa kuweka wazi CVs zao wapiga kura wawafahamu vizuri kwa manufaa ya umma. George Bush Jr. wa Marekani yeye alikuwa haoni haya kusema hadi matokeo yake ya darasani kwamba hakuwa kipanga na hadi aliwahi kutania kwamba wanafunzi wa daraja C kama yeye wanaweza kuwa marais pia.
Hiyo umea.biwa na Lucaaa au?
 
Mwaka gani katiba ilifanyiwa hayo marekebisho unayosema??
Kipindi hicho ambacho Katiba ilikuwa inaelekeza kwamba ikitokea rais aliyepo madarakani akafariki basi makamu wa rais atachukua nafasi yake na baada ya miezi mitatu atatakiwa kuitisha ucuaguzi mkuu lakini ikitokea rais aliyepo madarakani akafariki mwaka mmoja (or miezi 18, naomba nirekebishwe) kabla ya uchaguzi mkuu basi makamu wa rais atachukua nafasi yake na kumalizia muda huo ulio baki hadi uchaguzi mkuu.
Kumbuka hakuna ajuaye ni wakati gani Katiba ilibadilishwa na kuagiza kuwa ikitokea rais aliyepo madarakani akafariki basi bila kujali alifariki wakati gani, makamo wake atairithi nafasi hiyo moja kwa moja hadi uchaguzi mkuu ujao
 
Kigezo kimojawapo cha kugombea urais Tanzania ni mgombea kuwa na angalau kiwango cha elimu cha degree moja, pia huwa kuna rumours mtaana kwamba Freeman Mbowe aliishia kidato cha sita tu, sasa kama ni kweli Mbowe aliwezaje kupitishwa na tume ya uchaguzi kugombea Urais mwaka 2005??

Wanasiasa wanaogombea nafasi kuanzia udiwani, ubunge hadi Urais wanapaswa kuweka wazi CVs zao wapiga kura wawafahamu vizuri kwa manufaa ya umma. George Bush Jr. wa Marekani yeye alikuwa haoni haya kusema hadi matokeo yake ya darasani kwamba hakuwa kipanga na hadi aliwahi kutania kwamba wanafunzi wa daraja C kama yeye wanaweza kuwa marais pia.
Tumuulize msukuma aliwezaje kuwa mbunge na DP world walimfata kuwa ni bora kuliko wenye elimu
 
Kipimdi hicho ambacho Katiba ilikuwa inaelekeza kwamba ikitokea rais aliyepo madarakani akafariki basi makamu wa rais atachukua nafasi yake na baada ya miezi mitatu atatakiwa kuitisha ucuaguzi mkuu lakini ikitokea rais aliyepo madarakani akafariki mwaka mmoja (or miezi 18, naomba nirekebishwe) kabla ya uchaguzi mkuu basi makamu wa rais atachukua nafasi yake na kumalizia muda huo ulio baki hadi uchaguzi mkuu.
Hapa umenichanganya
 
Back
Top Bottom