kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 15,188
- 18,583
hakuna pahala nimezungumzia wiziAtawezaje kuibiwa bila yeyekujua,au kurubuniwa ashiriki wizi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hakuna pahala nimezungumzia wiziAtawezaje kuibiwa bila yeyekujua,au kurubuniwa ashiriki wizi?
Achana na wanaomwonea wivu,hadi kusingizia fweza za chama kuchotwa wakati hana njaa kama wao,inawezekana aliwajamata mikono waliotaka kuzichota.Hadi wanasahau kuwa chama kimepata hati safi tangu enzi za mzee Mkweli.Mtu kama Mbowe anakosaje Degree au ndio siasa za kuchafuana. 😁
Niliwahi wasikia madingi flan wa kichaga wanasema Baba yake Mbowe hata uhuru hujapatikana alikuwa na hela, exposure na mali hatari, kwa mujibu wa wale wazee Nyerere amewahi pewa "Support" na baba yake Mbowe eti kupambania uhuru. 😁
Maana yeke Mbowe ni wa kishua "Born to extremely rich parents".
Kwahiyo hutaki niseme kwa kuwa mbinu zitafichua au?hakuna pahala nimezungumzia wizi
Hakuna kigezo miaka ya kina Mbowe hata sekondari wlikuwa wanaenda watoto wa matajiri , maskini walikatwa angalia sana majina ya viongozi wengi wazee yana ubabaishaji ...Pale kibaha hata BOT watoto wa matajiri waliingizwa kimchongo .Kwa Hisani ya Martin MM
Freeman Aikael Mbowe alizaliwa tarehe 14.09.1961 katika wilaya ya Hai, mkoa wa Kilimanjaro.
Freeman Aikaeli Mbowe alisoma elimu ya msingi katika shule ya Msingi Lambo na kufanikiwa kufaulu kwenda shule ya Sekondari Kibaha mkoa wa Pwani.
Alipohitimu kidato cha 4 Kibaha Sekondari, alifanikiwa kujiunga na kidato cha 5 IHUNGO Sekondari Manispaa ya Bukoba. Baadae alielekea nchini Uingereza kwa masomo zaidi. Uingereza alisoma programu inaitwa PPE (Politics, Philosophy, and Economics).
Ni programu ambayo ilianzishwa na Uingereza kwa ajili ya watumishi serikalini. Baadaye nchi nyingine kama US na RSA zimeshaanzisha programu hiyo. Kwa UK inatolewa kama first degree tu. Mbowe akamalizia MBA in Leadership & Sustainability kutoka Chuo Kikuu cha Cumbria, UK.
Freeman Mbowe ni miongoni mwa Watu waliofanya kazi katika Bank kuu ya Tanzania kama Afisa wa Bank Kuu (BoT) huko ndipo alipofifanikiwa kukutana na Mzee Edwin Mtei, Mzee Bob Makani.
Source:
====Weiterleitungshinweis
www.google.com
Vigezo gani vilikuwa vinatumika kupata hiyo scholarship ya UK?
Baadaye alienda uholanzi kusoma bwanaAlifukuzwa
Hivi !Ina maana degree ndio kigezo Cha kugomnea urais!!?Eilimu ni muhimu sana mkuu kwa nafasi kama hiyo, hata hivyo inaonekana hakuna kigezo ndani ya katiba ya sasa,
Yes, ni kwa mujibu wa katiba.Kwani Katiba imeanisha "Degree" kama kigezo cha kuwa "Presidential candidate"?
Usibishe, jiridhishe kwanza. degree ni sehemu ya vigezo.Wewe ni muongo. Katiba haijasema degree ni kigezo cha kugombea urais
Ni katiba ya nchi, chini ya degree huruhusiwi kugombea urais.Nimeambiwa hiko ni kigezo CCM ili sio katika katiba ya nchi.
Usibishe, jiridhishe kwanza. degree ni sehemu ya vigezo.
Siyo KWELINdiyo