Mbowe aligombeaje urais mwaka 2005 kama hana degree?

Achana na wanaomwonea wivu,hadi kusingizia fweza za chama kuchotwa wakati hana njaa kama wao,inawezekana aliwajamata mikono waliotaka kuzichota.Hadi wanasahau kuwa chama kimepata hati safi tangu enzi za mzee Mkweli.
 
Hakuna kigezo miaka ya kina Mbowe hata sekondari wlikuwa wanaenda watoto wa matajiri , maskini walikatwa angalia sana majina ya viongozi wengi wazee yana ubabaishaji ...Pale kibaha hata BOT watoto wa matajiri waliingizwa kimchongo .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…