mleta uzi alikuwa na mawazo constructive lakn watu wamekuwa washabiki zaid na ndio ninpoona ccm itaendelea kutawala.sis tuko bize kujibu hoja mitandaoni wao wanaenda vijjn kwa wapiga kura
Asante kwa kuamua kusoma peji hii. Naamini utajadili hoja ukiwa na fikra huru na c utumwa wa fikra.
Wapo watu wengi sana wanaozani kuwa kumkosoa mbowe ni kuitukana chadema hili si kweli kabisa.
Chadema itakuwa safi tu iwapo itamuondoa mbowe kwenye uwenyekiti.
Natambua mchango mkubwa wa mbowe katika kuijenga Chadema. Amefanikisha mipango mingi mizuri kama kuanzisha kanda, M4c na kuongeza wanachama. Pia kajitahidi sana kutatua migogoro mingi ya ndani bila kufukuza mtu. Kwa ujumla C mtu wa Visasi na anabusara kubwa sana juu ya uongozi.
Kwa sasa kwa heshima ya Mbowe naomba aandae utaratibu wa kumkabithi chama Kamanda mwingine anayeaminika uwenyekiti lakini asiwe Dr Slaa au Zitto.
SABABU ZA KUACHIA UONGOZI.;-
Uongozi mzuri ni kuacha madaraka Kistaarabu tena ukiwa bado unapendwa na unanguvu na kubaki kama mshauri.
2. Kuondoa dhana ya kung'ang'ania madaraka ndani ya Chadema.
3. Mbio nzuri ni za kupokezana vijiti ili atakaepokea aongeze kasi, mbinu na ari kufikia mabadiliko ya kweli.
4. Inaweza kupunguza propaganda kadhaa zidi ya Chadema
5. Tuweke tofauti kidogo na wapinzani kwa kukabidhiana madaraka bila kupinduana na kutokuwa na wafalme katika vyama kama ilivyo kwa NCCR, TLP, CUF NA UDP. Na ndio sifa ya Chadema toka awali. Alianza Mtei akaja Makani na Sasa mbowe tena kwa makabidhiano ya Amani
Kiongozi mpya awe na sifa zifuatazo
1. Awe Mwanaharakati na amedhamilia Kuikomboa Tz. Apimwe kwa alivyofanikiwa kuidhiti CCM jimboni kwake ata uchaguzi ukirudiwa leo CCM wasiambue kiti cha udiwani ata kimoja kwenye jimbo hilo. Kama ilivyokuwa kwa Wangwe na sasa Arusha. Hai kuwa na madiwani wengi wa CCM ni dosari kubwa sana kwa Mbowe
2. Awe na uvumilivu mkubwa sana wa kisiasa hasa za ndani ya CHADEMA ASIWE NA HASIRA AU KISASI AU MTAZAMO HASI KWA WATU WANAOTOFAUTIANA MITAZAMO. Hapa Mbowe alifanikiwa sana. Ila , Lema, Slaa, Lissu labda wafundwe sana ndipo wafikie sifa hii
3. Asiwe na maslahi binafsi Muwazi na mkweli na mwenendo usiotia mashaka.
CHADEMA LAZIMA ITAWALE MEDIA ZOTTE KWA NGUVU ZA MICHANGO YA UMMA KAMA MATANGAZO YA SERA ZAO kwenye magazeti, mikutano yao ya kitaifa kuwekwa laivu kwenye TV NA REDIO VIPEPERUSHI NA CD. Si kilamtu anaYEkwenda kwenye mikutano ya hadhara na haya mabomu yanavyorushwa HIVISASA.
Kitu nachojua MBOWE HAWEZI kukubali Chadema ijitangaze kwenye media au kumiliki media zake yani Redio, Tv stesheni na Gazeti kwani KUKIFANYA hivyo ni kuua soko la Media Zake na anachofanya ni kulinda Soko la Magazeti yake na Redio yake binafsi alizonazo Zinazouza habari za CHADEMA ZAIDI.
Nachochujua Chadema ilichobakiza hadi kuchukua nchi ni kumiki media zake tu. Hatua ambayo mbowe hawezi na baadhi ya wanamageuzi wenyefikira huru huweza kumuhisi kuwa ni Pandikizi na labda kaishakula vya watu na lengo lake sasa ni kuidumaza chadema. Yani ilipofikia ndipo hapohapo na hii kumkamatakamata ni kama maigizo tu ndani ya democrasia yetu. Kwani naona kama amepoooza.
Chadema kuendelea kuwa na Mbowe ni kujiandalia bomu litakalolipuka wakati wowote.
Mbowe ndiye aliyemfundisha Zitto siasa za kupiga Madili na ndiomaana aliingia ugonvi mkubwa na mwanaharakati Chacha Wangwe mtu wa haki.
Uzi wangu wa kwanza Jf ulihusu kufanana sana kwa Tabia kati ya Mbowe na Zitto ila ukafutwa. Ulisomeka Zitto anatofautiana nini na Mbowe?
Bora apewe chama mtu mwenye ari na moyo toka Moyoni Kama Lema au Tundu Lisu kuliko huyu tunayesema anabusara.
Zitto aanika 'siri' za Mbowe: - Adai mwaka 2010 Mbowe alipewa
Milioni 200 na Mkono kwa ajili ya
Kampeni ya Dr. Slaa na Rostam
Aziz alimpa Milioni 100
- Mbowe asema "Kupewa pesa na
Kikwete au CCM si tatizo lakini unapewa pesa kwa sababu zipi,
kwa malengo gani?"
Wajinga wenzako watakuunga mkono lakini kwa hakika hata mamako hakubaliani na upumbavu wako,achilia mbali mkeo/mmeo.
ushabiki wa siasa ni tofauti sana na wa mpira.
Kuwa sehemu ya mabadiliko ya kweli. Naamini Lema, Mdee wakifundwa wanaweza kuwa Wenyeviti wazuri.
Tunapojadili mabadiliko tunaijadili CHADEMA TU. Tlp, Udp, Dp, na Cuf ni Vivuli tu au ni sawa na kujifunika mwanvuri wa kuzuia jua CHINI YA MTI WENYE KIVURI AU MWANVURI WA mvUA CHumbani
Hujasema Kwanini Mbowe amepoteza uhalali wa kuwa mwenyekiti wa Chadema
Wanasema Chadema haisiti kufanya maamuzi magumu kwa kuwashughulikia makada mizigo huku wakitoa mifano ya akina Zitto,Mwigamba na Kitila haya sasa na Mwenyekiti huyooo naye ndani ya nyumba ningependa kuona kama Chama kitafanya maamuzi magumu dhidi ya huyu GAMBA,NOT!
Asante kwa kuamua kusoma peji hii. Naamini utajadili hoja ukiwa na fikra huru na c utumwa wa fikra.
Wapo watu wengi sana wanaozani kuwa kumkosoa mbowe ni kuitukana chadema hili si kweli kabisa.
Chadema itakuwa safi tu iwapo itamuondoa mbowe kwenye uwenyekiti.
Natambua mchango mkubwa wa mbowe katika kuijenga Chadema. Amefanikisha mipango mingi mizuri kama kuanzisha kanda, M4c na kuongeza wanachama. Pia kajitahidi sana kutatua migogoro mingi ya ndani bila kufukuza mtu. Kwa ujumla C mtu wa Visasi na anabusara kubwa sana juu ya uongozi.
Kwa sasa kwa heshima ya Mbowe naomba aandae utaratibu wa kumkabithi chama Kamanda mwingine anayeaminika uwenyekiti lakini asiwe Dr Slaa au Zitto.
SABABU ZA KUACHIA UONGOZI.;-
Uongozi mzuri ni kuacha madaraka Kistaarabu tena ukiwa bado unapendwa na unanguvu na kubaki kama mshauri.
2. Kuondoa dhana ya kung'ang'ania madaraka ndani ya Chadema.
3. Mbio nzuri ni za kupokezana vijiti ili atakaepokea aongeze kasi, mbinu na ari kufikia mabadiliko ya kweli.
4. Inaweza kupunguza propaganda kadhaa zidi ya Chadema
5. Tuweke tofauti kidogo na wapinzani kwa kukabidhiana madaraka bila kupinduana na kutokuwa na wafalme katika vyama kama ilivyo kwa NCCR, TLP, CUF NA UDP. Na ndio sifa ya Chadema toka awali. Alianza Mtei akaja Makani na Sasa mbowe tena kwa makabidhiano ya Amani
Kiongozi mpya awe na sifa zifuatazo
1. Awe Mwanaharakati na amedhamilia Kuikomboa Tz. Apimwe kwa alivyofanikiwa kuidhiti CCM jimboni kwake ata uchaguzi ukirudiwa leo CCM wasiambue kiti cha udiwani ata kimoja kwenye jimbo hilo. Kama ilivyokuwa kwa Wangwe na sasa Arusha. Hai kuwa na madiwani wengi wa CCM ni dosari kubwa sana kwa Mbowe
2. Awe na uvumilivu mkubwa sana wa kisiasa hasa za ndani ya CHADEMA ASIWE NA HASIRA AU KISASI AU MTAZAMO HASI KWA WATU WANAOTOFAUTIANA MITAZAMO. Hapa Mbowe alifanikiwa sana. Ila , Lema, Slaa, Lissu labda wafundwe sana ndipo wafikie sifa hii
3. Asiwe na maslahi binafsi Muwazi na mkweli na mwenendo usiotia mashaka.
CHADEMA LAZIMA ITAWALE MEDIA ZOTTE KWA NGUVU ZA MICHANGO YA UMMA KAMA MATANGAZO YA SERA ZAO kwenye magazeti, mikutano yao ya kitaifa kuwekwa laivu kwenye TV NA REDIO VIPEPERUSHI NA CD. Si kilamtu anaYEkwenda kwenye mikutano ya hadhara na haya mabomu yanavyorushwa HIVISASA.
Kitu nachojua MBOWE HAWEZI kukubali Chadema ijitangaze kwenye media au kumiliki media zake yani Redio, Tv stesheni na Gazeti kwani KUKIFANYA hivyo ni kuua soko la Media Zake na anachofanya ni kulinda Soko la Magazeti yake na Redio yake binafsi alizonazo Zinazouza habari za CHADEMA ZAIDI.
Nachochujua Chadema ilichobakiza hadi kuchukua nchi ni kumiki media zake tu. Hatua ambayo mbowe hawezi na baadhi ya wanamageuzi wenyefikira huru huweza kumuhisi kuwa ni Pandikizi na labda kaishakula vya watu na lengo lake sasa ni kuidumaza chadema. Yani ilipofikia ndipo hapohapo na hii kumkamatakamata ni kama maigizo tu ndani ya democrasia yetu. Kwani naona kama amepoooza.
Chadema kuendelea kuwa na Mbowe ni kujiandalia bomu litakalolipuka wakati wowote.
Mbowe ndiye aliyemfundisha Zitto siasa za kupiga Madili na ndiomaana aliingia ugonvi mkubwa na mwanaharakati Chacha Wangwe mtu wa haki.
Uzi wangu wa kwanza Jf ulihusu kufanana sana kwa Tabia kati ya Mbowe na Zitto ila ukafutwa. Ulisomeka Zitto anatofautiana nini na Mbowe?
Bora apewe chama mtu mwenye ari na moyo toka Moyoni Kama Lema au Tundu Lisu kuliko huyu tunayesema anabusara.
Naomba baada ya kamati kuu kukaa ukujeChumvi usiyoila yakuwashia nini mkuu!!
Bangoo uko wapi leoChumvi usiyoila yakuwashia nini mkuu!!