T2015CCM
JF-Expert Member
- Sep 13, 2012
- 7,931
- 987
Anaendesha danguro na ni form six failure aka dj zeroKwani mwenyekiti wenu ana sifa gani zaidi ya mbowe? Mbona kama umevurugwa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anaendesha danguro na ni form six failure aka dj zeroKwani mwenyekiti wenu ana sifa gani zaidi ya mbowe? Mbona kama umevurugwa?
Mmepiga propaganda mmeona zimewashinda mnaanza kujidai mnatoa ushauri CDM,mbona kwenu ya kurekebisha ni mengi sana?wafuasi wa chama cha kurithisha uongozi utawajua tu,toa kwanza boriti ndani ya jicho lako ndipo utoe kibanzi katika jicho la mwenzio.Asante kwa kuamua kusoma peji hii. Naamini utajadili hoja ukiwa na fikra huru na c utumwa wa fikra.
Natambua mchango mkubwa wa mbowe katika kuijenga Chadema. Amefanikisha mipango mingi mizuri kama kuanzisha kanda, M4c na kuongeza wanachama. Pia kajitahidi sana kutatua migogoro mingi ya ndani bila kufukuza mtu. Kwa ujumla C mtu wa Visasi na anabusara kubwa sana juu ya uongozi.
Kwa sasa kwa heshima ya Mbowe naomba aandae utaratibu wa kumkabithi chama Kamanda mwingine anayeaminika uwenyekiti lakini asiwe Dr Slaa au Zitto.
SABABU ZA KUACHIA UONGOZI.;-
Uongozi mzuri ni kuacha madaraka Kistaarabu tena ukiwa bado unapendwa na unanguvu na kubaki kama mshauri.
2. Kuondoa dhana ya kung'ang'ania madaraka ndani ya Chadema.
3. Mbio nzuri ni za kupokezana vijiti ili atakaepokea aongeze kasi, mbinu na ari kufikia mabadiliko ya kweli.
4. Inaweza kupunguza propaganda kadhaa zidi ya Chadema
5. Tuweke tofauti kidogo na wapinzani kwa kukabidhiana madaraka bila kupinduana na kutokuwa na wafalme katika vyama kama ilivyo kwa NCCR, TLP, CUF NA UDP. Na ndio sifa ya Chadema toka awali. Alianza Mtei akaja Makani na Sasa mbowe tena kwa makabidhiano ya Amani
Kiongozi mpya awe na sifa zifuatazo
1. Awe Mwanaharakati na amedhamilia Kuikomboa Tz. Apimwe kwa alivyofanikiwa kuidhiti CCM jimboni kwake ata uchaguzi ukirudiwa leo CCM wasiambue kiti cha udiwani ata kimoja kwenye jimbo hilo. Kama ilivyokuwa kwa Wangwe na sasa Arusha. Hai kuwa na madiwani wengi wa CCM ni dosari kubwa sana kwa Mbowe
2. Awe na uvumilivu mkubwa sana wa kisiasa hasa za ndani ya CHADEMA ASIWE NA HASIRA AU KISASI AU MTAZAMO HASI KWA WATU WANAOTOFAUTIANA MITAZAMO. Hapa Mbowe alifanikiwa sana. Ila Zitto, Lema, Slaa, Lissu labda wafundwe sana ndipo wafikie sifa hii
3. Asiwe na maslahi binafsi Muwazi na mkweli na mwenendo usiotia mashaka.
CHADEMA LAZIMA ITAWALE MEDIA ZOTTE KWA NGUVU ZA MICHANGO YA UMMA KAMA MATANGAZO YA SERA ZAO kwenye magazeti, mikutano yao ya kitaifa kuwekwa laivu kwenye TV NA REDIO VIPEPERUSHI NA CD. Si kilamtu anaYEkwenda kwenye mikutano ya hadhara na haya mabomu yanavyorushwa HIVISASA.
Kitu nachojua MBOWE HAWEZI kukubali Chadema ijitangaze kwenye media au kumiliki media zake yani Redio, Tv stesheni na Gazeti kwani KUKIFANYA hivyo ni kuua soko la Media Zake na anachofanya ni kulinda Soko la Magazeti yake na Redio yake binafsi alizonazo Zinazouza habari za CHADEMA ZAIDI.
Nachochujua Chadema ilichobakiza hadi kuchukua nchi ni kumiki media zake tu. Hatua ambayo mbowe hawezi na baadhi ya wanamageuzi wenyefikira huru huweza kumuhisi kuwa ni Pandikizi na labda kaishakula vya watu na lengo lake sasa ni kuidumaza chadema. Yani ilipofikia ndipo hapohapo na hii kumkamatakamata ni kama maigizo tu ndani ya democrasia yetu. Kwani naona kama amepoooza
Mtei amemrithisha mbowe uenyekiti na mbowe ameupenda hataki kuuachia hadi amrithishe anayemtaka. Rejea maneno ya said arf wakati anabwaga manyanga, alisema kwa wamechoshwa na tabia ya mtei kuwachagulia viongoziMmepiga propaganda mmeona zimewashinda mnaanza kujidai mnatoa ushauri CDM,mbona kwenu ya kurekebisha ni mengi sana?wafuasi wa chama cha kurithisha uongozi utawajua tu,toa kwanza boriti ndani ya jicho lako ndipo utoe kibanzi katika jicho la mwenzio.
Akili zilizo ozaMtei amemrithisha mbowe uenyekiti na mbowe ameupenda hataki kuuachia hadi amrithishe anayemtaka. Rejea maneno ya said arf wakati anabwaga manyanga, alisema kwa wamechoshwa na tabia ya mtei kuwachagulia viongozi
Kwani mwenyekiti wenu ana sifa gani zaidi ya mbowe? Mbona kama umevurugwa?
Bado ni kijana, ana nguvu na fikra nyingi mbadala hatutaki aondoke mpaka atuvushe salama ndo tutamwachia.
ni sawa na hoja alizokuwanazo Samweli Edo na Charesi Stela wakati wanang'ang'ania madaraka. Waliingia wakisapotiwa kwa nguvu wakatoka ama kwa kuuawa au kufungwa gerezani. Kisa eti walikuwa vijana wenye nguvu
CCM tayari mmeshampata wa kumrithi MR.MBOWE????.Nyie CCM ndo mnataka muongoze hata CHADEMA kwa kila kitu cjui hiyo huruma inatokana na nini jamani????.Kama mnaona CHADEMA inafaa sana, basi VUNJENI CCM ili mjiunge na chama cha ukombozi(CHADEMA).
----- wewe mada yako haina kichwa wala miguu,unaonekana akili yako haifikirii kwa umakini na kujua upi ni kiongozi mzuri,nasikia ma-ccm yanamuandaa mama na wasila,yana tunawasubiri ili tuchukue nchi kiulaini.chadema hoyeeeeeeeeeeeee
There is no best leader in Chadema than Mbowe. kama yupo nitajieni? so Chadema hamna namna wanaweza kusonga mbele kwa sasa bila Mbowe. ! "Chadema Bila Mbowe haiwezekani"