Mbowe amepoteza sifa za kuendelea kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA

Mbowe amepoteza sifa za kuendelea kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA

Eti katika hali ya uchumi wa namna hii miaka 50 ya uhuru kuna mtanzania anakejeli juhudi za kuiondoa CCM, Juhudi za Ukombozi kwa mara ya pili, HUYU MTANZANIA ni njaa ya tumbo au kichwani??? ili mkapa alisema uvivu wa kufikiri ambao actually ndo upumbav au sio hivyo??
 
Asante kwa kuamua kusoma peji hii. Naamini utajadili hoja ukiwa na fikra huru na c utumwa wa fikra.

Natambua mchango mkubwa wa mbowe katika kuijenga Chadema. Amefanikisha mipango mingi mizuri kama kuanzisha kanda, M4c na kuongeza wanachama. Pia kajitahidi sana kutatua migogoro mingi ya ndani bila kufukuza mtu. Kwa ujumla C mtu wa Visasi na anabusara kubwa sana juu ya uongozi.

Kwa sasa kwa heshima ya Mbowe naomba aandae utaratibu wa kumkabithi chama Kamanda mwingine anayeaminika uwenyekiti lakini asiwe Dr Slaa au Zitto.
SABABU ZA KUACHIA UONGOZI.;-

Uongozi mzuri ni kuacha madaraka Kistaarabu tena ukiwa bado unapendwa na unanguvu na kubaki kama mshauri.

2. Kuondoa dhana ya kung'ang'ania madaraka ndani ya Chadema.
3. Mbio nzuri ni za kupokezana vijiti ili atakaepokea aongeze kasi, mbinu na ari kufikia mabadiliko ya kweli.
4. Inaweza kupunguza propaganda kadhaa zidi ya Chadema
5. Tuweke tofauti kidogo na wapinzani kwa kukabidhiana madaraka bila kupinduana na kutokuwa na wafalme katika vyama kama ilivyo kwa NCCR, TLP, CUF NA UDP. Na ndio sifa ya Chadema toka awali. Alianza Mtei akaja Makani na Sasa mbowe tena kwa makabidhiano ya Amani

Kiongozi mpya awe na sifa zifuatazo

1. Awe Mwanaharakati na amedhamilia Kuikomboa Tz. Apimwe kwa alivyofanikiwa kuidhiti CCM jimboni kwake ata uchaguzi ukirudiwa leo CCM wasiambue kiti cha udiwani ata kimoja kwenye jimbo hilo. Kama ilivyokuwa kwa Wangwe na sasa Arusha. Hai kuwa na madiwani wengi wa CCM ni dosari kubwa sana kwa Mbowe

2. Awe na uvumilivu mkubwa sana wa kisiasa hasa za ndani ya CHADEMA ASIWE NA HASIRA AU KISASI AU MTAZAMO HASI KWA WATU WANAOTOFAUTIANA MITAZAMO. Hapa Mbowe alifanikiwa sana. Ila Zitto, Lema, Slaa, Lissu labda wafundwe sana ndipo wafikie sifa hii

3. Asiwe na maslahi binafsi Muwazi na mkweli na mwenendo usiotia mashaka.

CHADEMA LAZIMA ITAWALE MEDIA ZOTTE KWA NGUVU ZA MICHANGO YA UMMA KAMA MATANGAZO YA SERA ZAO kwenye magazeti, mikutano yao ya kitaifa kuwekwa laivu kwenye TV NA REDIO VIPEPERUSHI NA CD. Si kilamtu anaYEkwenda kwenye mikutano ya hadhara na haya mabomu yanavyorushwa HIVISASA.

Kitu nachojua MBOWE HAWEZI kukubali Chadema ijitangaze kwenye media au kumiliki media zake yani Redio, Tv stesheni na Gazeti kwani KUKIFANYA hivyo ni kuua soko la Media Zake na anachofanya ni kulinda Soko la Magazeti yake na Redio yake binafsi alizonazo Zinazouza habari za CHADEMA ZAIDI.

Nachochujua Chadema ilichobakiza hadi kuchukua nchi ni kumiki media zake tu. Hatua ambayo mbowe hawezi na baadhi ya wanamageuzi wenyefikira huru huweza kumuhisi kuwa ni Pandikizi na labda kaishakula vya watu na lengo lake sasa ni kuidumaza chadema. Yani ilipofikia ndipo hapohapo na hii kumkamatakamata ni kama maigizo tu ndani ya democrasia yetu. Kwani naona kama amepoooza

cdm inaendeshwa kwa misingi ya demokrasia...

Acha kushinikiza.magamba ndivyo walivyo kutuma?

Just a bunch of useless mind.
 
Mmiliki wa chama hawezi kukosa sifa za kuwa mwenyekiti wa chama. fullstop.

mods, funga huu uzi, now.
 
kweli aisee Yatupasa tujadili matendo ya watu na mienendo isiyofaa ya watu na watawala na Lazima utoe mifano ya watu hao ili wengine wapate kuelewa unachokisema.

Yani fasihi lazma iwe na wahusika
Sidhani kama ni suala la "kuachiana madaraka"... Cha muhimu ni demokrasia. Mbowe is not the best ever na naamini siku akijitokeza mwingine mwenye nia, na wanachama wakaona anafaa zaidi ya Mbowe, then demokrasia itachukua mkondo wake. Sio kazi ya Mbowe kuanza kutafuta wa kumuachia uenyekiti, bali ni jukumu la kila mwanachama anayehisi anaiweza hiyo nafasi kujitokeza na wanachadema wakiridhika kuwa ndiye mwenye uwezo kuliko wengine waliojitojeza, then wanamchagua...
 
mwekiti mwingine chadema utarajie baada ya miaka kumi ijayo wala siyo leo,mipango iko wazi kuwa mbowe ataendelea kuwepo sana halafu ukimuondoa mbowe wenye chama utawaambia nini.

Na lengo la kumuondoa ni nini?
 
Asante kwa kuamua kusoma peji hii. Naamini utajadili hoja ukiwa na fikra huru na c utumwa wa fikra.

Natambua mchango mkubwa wa mbowe katika kuijenga Chadema. Amefanikisha mipango mingi mizuri kama kuanzisha kanda, M4c na kuongeza wanachama. Pia kajitahidi sana kutatua migogoro mingi ya ndani bila kufukuza mtu. Kwa ujumla C mtu wa Visasi na anabusara kubwa sana juu ya uongozi.

Kwa sasa kwa heshima ya Mbowe naomba aandae utaratibu wa kumkabithi chama Kamanda mwingine anayeaminika uwenyekiti lakini asiwe Dr Slaa au Zitto.
SABABU ZA KUACHIA UONGOZI.;-

Uongozi mzuri ni kuacha madaraka Kistaarabu tena ukiwa bado unapendwa na unanguvu na kubaki kama mshauri.

2. Kuondoa dhana ya kung'ang'ania madaraka ndani ya Chadema.
3. Mbio nzuri ni za kupokezana vijiti ili atakaepokea aongeze kasi, mbinu na ari kufikia mabadiliko ya kweli.
4. Inaweza kupunguza propaganda kadhaa zidi ya Chadema
5. Tuweke tofauti kidogo na wapinzani kwa kukabidhiana madaraka bila kupinduana na kutokuwa na wafalme katika vyama kama ilivyo kwa NCCR, TLP, CUF NA UDP. Na ndio sifa ya Chadema toka awali. Alianza Mtei akaja Makani na Sasa mbowe tena kwa makabidhiano ya Amani

Kiongozi mpya awe na sifa zifuatazo

1. Awe Mwanaharakati na amedhamilia Kuikomboa Tz. Apimwe kwa alivyofanikiwa kuidhiti CCM jimboni kwake ata uchaguzi ukirudiwa leo CCM wasiambue kiti cha udiwani ata kimoja kwenye jimbo hilo. Kama ilivyokuwa kwa Wangwe na sasa Arusha. Hai kuwa na madiwani wengi wa CCM ni dosari kubwa sana kwa Mbowe

2. Awe na uvumilivu mkubwa sana wa kisiasa hasa za ndani ya CHADEMA ASIWE NA HASIRA AU KISASI AU MTAZAMO HASI KWA WATU WANAOTOFAUTIANA MITAZAMO. Hapa Mbowe alifanikiwa sana. Ila Zitto, Lema, Slaa, Lissu labda wafundwe sana ndipo wafikie sifa hii

3. Asiwe na maslahi binafsi Muwazi na mkweli na mwenendo usiotia mashaka.

CHADEMA LAZIMA ITAWALE MEDIA ZOTTE KWA NGUVU ZA MICHANGO YA UMMA KAMA MATANGAZO YA SERA ZAO kwenye magazeti, mikutano yao ya kitaifa kuwekwa laivu kwenye TV NA REDIO VIPEPERUSHI NA CD. Si kilamtu anaYEkwenda kwenye mikutano ya hadhara na haya mabomu yanavyorushwa HIVISASA.

Kitu nachojua MBOWE HAWEZI kukubali Chadema ijitangaze kwenye media au kumiliki media zake yani Redio, Tv stesheni na Gazeti kwani KUKIFANYA hivyo ni kuua soko la Media Zake na anachofanya ni kulinda Soko la Magazeti yake na Redio yake binafsi alizonazo Zinazouza habari za CHADEMA ZAIDI.

Nachochujua Chadema ilichobakiza hadi kuchukua nchi ni kumiki media zake tu. Hatua ambayo mbowe hawezi na baadhi ya wanamageuzi wenyefikira huru huweza kumuhisi kuwa ni Pandikizi na labda kaishakula vya watu na lengo lake sasa ni kuidumaza chadema. Yani ilipofikia ndipo hapohapo na hii kumkamatakamata ni kama maigizo tu ndani ya democrasia yetu. Kwani naona kama amepoooza

Mawazo yako sehemu ni mazuri but yametawaliwa na muono mfupi. kwanza huwezi kusema Kamanda Mbowe hawezi kuifanya CDM kumiliki Media mbona nikitu kidogo ukilinganisha na makubwa aliyoyafanya. CDM unayoisema sasa Kamanda Mbowe ndie alieongoza kufika hapa ilipofika. Na Kubwa kuliko yote amemudu kuiweka hai CDM mpk sasa. Hivi huzioni Hujuma kubwa ccm na serikali yake zimeelekezwa CDM? Uliza NCCR na CUF wako wapi Mara baada ya Uchaguzi vimekufa kifo cha Mende. CDM wanamiliki UMMA, CDM wana miliki MALI, CDM hawasubiri uchaguzi kuwafikia wapiga kura Muda wote CDM wako kazini. CDM ina wabunge wengi ina madiwani wengi CDM inaongoza halimashauri sasa. CDM ina matawi kila kata. unataka nini zaidi. Mbowe Katengeneza kauli MTU YEYOTE ATAKAE SEMA UKWELI UMMA UNASEMA HUYO NI CHADEMA. CHADEMA CHAMA CHENYE KUSEMA UKWELI CDM ndie mkombozi anaesubiriwa kuwa peleka Watanzania kwenye nchi Ya ASALI NA MAZIWA.
 
Na wewe umepoteza sifa za kuongoza familia yako! did i say that?!
 
Asante kwa kuamua kusoma peji hii. Naamini utajadili hoja ukiwa na fikra huru na c utumwa wa fikra.

Natambua mchango mkubwa wa mbowe katika kuijenga Chadema. Amefanikisha mipango mingi mizuri kama kuanzisha kanda, M4c na kuongeza wanachama. Pia kajitahidi sana kutatua migogoro mingi ya ndani bila kufukuza mtu. Kwa ujumla C mtu wa Visasi na anabusara kubwa sana juu ya uongozi.

Kwa sasa kwa heshima ya Mbowe naomba aandae utaratibu wa kumkabithi chama Kamanda mwingine anayeaminika uwenyekiti lakini asiwe Dr Slaa au Zitto.
SABABU ZA KUACHIA UONGOZI.;-

Uongozi mzuri ni kuacha madaraka Kistaarabu tena ukiwa bado unapendwa na unanguvu na kubaki kama mshauri.

2. Kuondoa dhana ya kung'ang'ania madaraka ndani ya Chadema.
3. Mbio nzuri ni za kupokezana vijiti ili atakaepokea aongeze kasi, mbinu na ari kufikia mabadiliko ya kweli.
4. Inaweza kupunguza propaganda kadhaa zidi ya Chadema
5. Tuweke tofauti kidogo na wapinzani kwa kukabidhiana madaraka bila kupinduana na kutokuwa na wafalme katika vyama kama ilivyo kwa NCCR, TLP, CUF NA UDP. Na ndio sifa ya Chadema toka awali. Alianza Mtei akaja Makani na Sasa mbowe tena kwa makabidhiano ya Amani

Kiongozi mpya awe na sifa zifuatazo

1. Awe Mwanaharakati na amedhamilia Kuikomboa Tz. Apimwe kwa alivyofanikiwa kuidhiti CCM jimboni kwake ata uchaguzi ukirudiwa leo CCM wasiambue kiti cha udiwani ata kimoja kwenye jimbo hilo. Kama ilivyokuwa kwa Wangwe na sasa Arusha. Hai kuwa na madiwani wengi wa CCM ni dosari kubwa sana kwa Mbowe

2. Awe na uvumilivu mkubwa sana wa kisiasa hasa za ndani ya CHADEMA ASIWE NA HASIRA AU KISASI AU MTAZAMO HASI KWA WATU WANAOTOFAUTIANA MITAZAMO. Hapa Mbowe alifanikiwa sana. Ila Zitto, Lema, Slaa, Lissu labda wafundwe sana ndipo wafikie sifa hii

3. Asiwe na maslahi binafsi Muwazi na mkweli na mwenendo usiotia mashaka.

CHADEMA LAZIMA ITAWALE MEDIA ZOTTE KWA NGUVU ZA MICHANGO YA UMMA KAMA MATANGAZO YA SERA ZAO kwenye magazeti, mikutano yao ya kitaifa kuwekwa laivu kwenye TV NA REDIO VIPEPERUSHI NA CD. Si kilamtu anaYEkwenda kwenye mikutano ya hadhara na haya mabomu yanavyorushwa HIVISASA.

Kitu nachojua MBOWE HAWEZI kukubali Chadema ijitangaze kwenye media au kumiliki media zake yani Redio, Tv stesheni na Gazeti kwani KUKIFANYA hivyo ni kuua soko la Media Zake na anachofanya ni kulinda Soko la Magazeti yake na Redio yake binafsi alizonazo Zinazouza habari za CHADEMA ZAIDI.

Nachochujua Chadema ilichobakiza hadi kuchukua nchi ni kumiki media zake tu. Hatua ambayo mbowe hawezi na baadhi ya wanamageuzi wenyefikira huru huweza kumuhisi kuwa ni Pandikizi na labda kaishakula vya watu na lengo lake sasa ni kuidumaza chadema. Yani ilipofikia ndipo hapohapo na hii kumkamatakamata ni kama maigizo tu ndani ya democrasia yetu. Kwani naona kama amepoooza

Itakuwa ni akili ya ajabu na imani ya aina yake, kufikiri na hata kuamini kuwa CCM wote wanafurahia uongozi makini wa CHADEMA unaotaka kuwang'oa madarakani na kukata mirija ya unyonyaji na mifereji ya ufisadi na ubadhirifu.

Na kwamba eti wana CCM watatoa ushauri wa namna gani CHADEMA iendeshwe vizuri zaidi ili iwaondoe madarakani kwa urahisi.

Kwamba wana CCM waliofikia hatua ya kutaka kuua wenzao kwenye mikutano ya hadhara, kuteka na kutesa wapinzani wao, wanafurahia mwenendo chanya wa CHADEMA unaoambatana na mafanikio makubwa, hasa katika ushawishi kwa wananchi, hazina ya vipaji vya uongozi, vijana kwa wazee, wanawake kwa wanaume, ndani na nje ya bunge pamoja na fursa zingine zote za majukwaa mbalimbali.

Kwamba CCM yenye ombwe kubwa la uongozi, unaosababisha kuwa na taifa lililoshindwa, watumwa wake wa mawazo, wanaweza kufurahia utumishi bora kwa watu unaotolewa na CHADEMA na kuendelea kukipandisha chati chama hicho na kukubalika kuwa chama mbadala kuanzia mwaka 2014 na 2015!

Media factor, ingelikuwa ni only and the only one remaining factor kama unavyotaka kuonesha, basi CCM wangelikuwa na uhakika wa kukubalika na kuendelea kutawala 'milele'.

Hoja zako zingine nyingi hapa tulishakujibu sana hapa, lakini kwa sababu nilizosema hapo juu, si ajabu umekuwa na utaendelea kuzirudia. Na mara nyingine tumekuuliza hapa, huwa una nia gani ya kutaka CHADEMA ianike wazi mipango mikakati yake! Ili watu wako waione au siyo?

Usiku mwema William. Jitahidi kutafuta hoja mpya. Utajibiwa kwa hoja pia.
 
Kunawakati watu lazma wakubali kila mtu ana kiwango chake cha mwisho cha kuweza kuongoza. Alipofikia mbowe ndo hapo hawezi kwenda zaidi tutafute mtu wa kuongeza kasi ikibidi aendelee kuwa mshauri tu
 
Asante kwa kuamua kusoma peji hii. Naamini utajadili hoja ukiwa na fikra huru na c utumwa wa fikra.

Natambua mchango mkubwa wa mbowe katika kuijenga Chadema. Amefanikisha mipango mingi mizuri kama kuanzisha kanda, M4c na kuongeza wanachama. Pia kajitahidi sana kutatua migogoro mingi ya ndani bila kufukuza mtu. Kwa ujumla C mtu wa Visasi na anabusara kubwa sana juu ya uongozi.

Kwa sasa kwa heshima ya Mbowe naomba aandae utaratibu wa kumkabithi chama Kamanda mwingine anayeaminika uwenyekiti lakini asiwe Dr Slaa au Zitto.
SABABU ZA KUACHIA UONGOZI.;-

Uongozi mzuri ni kuacha madaraka Kistaarabu tena ukiwa bado unapendwa na unanguvu na kubaki kama mshauri.

2. Kuondoa dhana ya kung'ang'ania madaraka ndani ya Chadema.
3. Mbio nzuri ni za kupokezana vijiti ili atakaepokea aongeze kasi, mbinu na ari kufikia mabadiliko ya kweli.
4. Inaweza kupunguza propaganda kadhaa zidi ya Chadema
5. Tuweke tofauti kidogo na wapinzani kwa kukabidhiana madaraka bila kupinduana na kutokuwa na wafalme katika vyama kama ilivyo kwa NCCR, TLP, CUF NA UDP. Na ndio sifa ya Chadema toka awali. Alianza Mtei akaja Makani na Sasa mbowe tena kwa makabidhiano ya Amani

Kiongozi mpya awe na sifa zifuatazo

1. Awe Mwanaharakati na amedhamilia Kuikomboa Tz. Apimwe kwa alivyofanikiwa kuidhiti CCM jimboni kwake ata uchaguzi ukirudiwa leo CCM wasiambue kiti cha udiwani ata kimoja kwenye jimbo hilo. Kama ilivyokuwa kwa Wangwe na sasa Arusha. Hai kuwa na madiwani wengi wa CCM ni dosari kubwa sana kwa Mbowe

2. Awe na uvumilivu mkubwa sana wa kisiasa hasa za ndani ya CHADEMA ASIWE NA HASIRA AU KISASI AU MTAZAMO HASI KWA WATU WANAOTOFAUTIANA MITAZAMO. Hapa Mbowe alifanikiwa sana. Ila Zitto, Lema, Slaa, Lissu labda wafundwe sana ndipo wafikie sifa hii

3. Asiwe na maslahi binafsi Muwazi na mkweli na mwenendo usiotia mashaka.

CHADEMA LAZIMA ITAWALE MEDIA ZOTTE KWA NGUVU ZA MICHANGO YA UMMA KAMA MATANGAZO YA SERA ZAO kwenye magazeti, mikutano yao ya kitaifa kuwekwa laivu kwenye TV NA REDIO VIPEPERUSHI NA CD. Si kilamtu anaYEkwenda kwenye mikutano ya hadhara na haya mabomu yanavyorushwa HIVISASA.

Kitu nachojua MBOWE HAWEZI kukubali Chadema ijitangaze kwenye media au kumiliki media zake yani Redio, Tv stesheni na Gazeti kwani KUKIFANYA hivyo ni kuua soko la Media Zake na anachofanya ni kulinda Soko la Magazeti yake na Redio yake binafsi alizonazo Zinazouza habari za CHADEMA ZAIDI.

Nachochujua Chadema ilichobakiza hadi kuchukua nchi ni kumiki media zake tu. Hatua ambayo mbowe hawezi na baadhi ya wanamageuzi wenyefikira huru huweza kumuhisi kuwa ni Pandikizi na labda kaishakula vya watu na lengo lake sasa ni kuidumaza chadema. Yani ilipofikia ndipo hapohapo na hii kumkamatakamata ni kama maigizo tu ndani ya democrasia yetu. Kwani naona kama amepoooza
kwa mujibu wa katiba ya CHADEMA uchaguzi ni 2014 mara ya mwisho ulifanyika 2009 kwanini mnataka MBOYE ang'atuke leo! na kwa utaratibu gani!,CCM imetawala inchi hii kwa miaka 50 hebu tuoneshe demokrasia kwa vitendo kwa kuwa pisha wengine waongoze inchi hii
 
kwa mujibu wa katiba ya CHADEMA uchaguzi ni 2014 mara ya mwisho ulifanyika 2009 kwanini mnataka MBOYE ang'atuke leo! na kwa utaratibu gani!,CCM imetawala inchi hii kwa miaka 50 hebu tuoneshe demokrasia kwa vitendo kwa kuwa pisha wengine waongoze inchi hii

mbowe pia aoneshe kuwaamini wenzake na asigombee tena ili tukuze democrasia
 
Kunawakati watu lazma wakubali kila mtu ana kiwango chake cha mwisho cha kuweza kuongoza. Alipofikia mbowe ndo hapo hawezi kwenda zaidi tutafute mtu wa kuongeza kasi ikibidi aendelee kuwa mshauri tu

Wewe unazo hizo sifa?
 
HOJA YAKO NI MUENDELEZO WA HOJA ZILEZILE ZA SIASA ZA MAJI TAKA.

Unataka kuaminisha wasomaji wako kuwa: WEWE UMEFIKIRI NA KUONA TATIZO LA CHADEMA KWA SASA NI MBOWE?????????????????????? Kwamba chademaikimwondoa mbowe baaaaasi! kila kitu kitakwenda sawa.
Kwa nini isiwe kuwa tatizo ni slaa,lama,shibuda au baregu????????????

akili zako hazina Akili!!!!!!!! this is my conclusion anyway!
 
Ulianza vizuri sana lakini mwisho wa hoja yako umejidhihirisha kuwa una fikra potofu juu ya Mh Mbowe. Pengine nia yako ni njema lakini umekosea kudhani kuwa mabadiliko ya uongozi yanatokea ili mradi tu ionekane kuwa watu wanapokezana madaraka. Uongozi ni vyema ubadilike kwa misingi ya kidemokrasia tu sio vinginevyo. Tukianza kusema kiongozi huyu aachie madaraka ili tu kuondoa maneno, kesho pia yatatokea maneno mengine kwa atakayekuwepo. Tutakuwa tuanongozwa na upepo wa propaganda badala ya busara. Mimi tuanchie mambo haya yaamuliwe na chaguzi za chama, sio upepo wa wakati.
 
Lazima ukweli utasimama tu,hivi wewe "Mbwenuu"katika majimbo ya mkoa wako kuna wabunge wangapi wa CDM acha kulewa rubisi halafu unatapika hovyo.Hakuna adui nayeweza kumshauri mgomvi wake ni silaha zipi zitumike dhidi yake.
hao wanaoutaka uenyekiti wangetumia njia sahihi kuna taabu gani?CDM ndio watakao amua nani ni nani ndani ya chama na siyo magamba watakaoamua hatima ya CDM.P
 
Back
Top Bottom