Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chumvi usiyoila yakuwashia nini mkuu!!
Mushumbusi
Binafsi nimejiuliza sana Why umepost hii kitu. Uchaguzi wa CHADEMA ni this year,,wala hatujasikia Mbowe anasema atagombea tena au lah na offcourse CHADEMA inaendeshwa na KATIBA,,,it's very very bad unajaribu kuspin kitu ambacho kwa tunaokujua huna sifa ya kufanya hivyo. You hyprocritically pretend to be on the Side of Mbowe and not on the Side of CHADEMA management. CHADEMA ni wamoja you have to support them all as the Management and Working Together Ideology,,,,Unasema Lissu, Zitto, Dr Slaa hawafai kuwa wenyeviti labda wapewe Semina kidogo.
Umesahau au hujui kuwa Every person has his/her own Stregth and Weakness. Kama unaipenda CHADEMA unatakiwa kufuata misingi ya kutii Katiba ya Chama, Sheria na Kanuni zinazokiendesha Chama. Umeainisha weakness moja tu ya Ndg Mbowe na zilizobaki ni Streght, katika hali ya kawaida Mazuri yakizidi mabaya unachukua yale mazuri kwa matarajio ya kufanyia kazi yale madhaifu, nadhani unajua hivyo pia,,,,kwa nini sasa usiungane nasi ili tuendelee kushinikiza uanzishwaji wa hizo media unazozisema ingawa najua tayari ufafanuzi ulishatolewa kwamba suala hili linashughulikiwa na litafanyiwa kazi in Short Period.
Nakushauri popote pale ulipo wewe ndio uwe Media ya CHADEMA itangaze CHADEMA iingie mioyoni mwa watu, hakika wewe ni mmoja wa watakaofaidi matunda ya TANZANIA tuitakayo baada ya 2015 CHADEMA kukabidhiwa dola. Ni suala la muda,,,
unataka ugomvi na mzee mtei? hujui kuwa chdm ni mali ya mtei na ukoo wake pamoja na marafiki
Slowly but surely for CCM..........
![]()
mwekiti mwingine chadema utarajie baada ya miaka kumi ijayo wala siyo leo,mipango iko wazi kuwa mbowe ataendelea kuwepo sana halafu ukimuondoa mbowe wenye chama utawaambia nini.
kunaoja umejaribu kuzipanga lakini bado ushawishi wako upo chini ya kiwango.
Ebu kasome katiba ya chdm kwanza, alafu tafuta historia iliyo kamilika ya chdm ndipo urudi tena kuja kutushawishi.
Karibu tena.
Nadhani ungeanza wewe kuwa objective kwa kutoa tafsiri halisi ya demokrasia na kuonyesha misingi isiyotia shaka ya demokrasia katika kujenga hoja yako ambayo nina ujasiri wa kuipa jina 'short sighted analyisis'.
Kinachoamua uongozi wa kisiasa ni demokrasia na si vinginevyo.Huwezi kuzuia demokrasia kwa utashi binafsi.It's nonensense!
y
Demokrasia ni mchakato,haki za watu hazifungwi kwa njia yoyote wala maoni binafsi zaidi ya sauti itokanayo na ballot box.