The Gentleman Pirate
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 1,450
- 921
Yaan huwa sitaki kuamini Mbowe ni mwenyekiti,,elimu hana,opportunist mkubwa na hana sera zozote za maana.
Team Zitto
Team Zitto
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaan huwa sitaki kuamini Mbowe ni mwenyekiti,,elimu hana,opportunist mkubwa na hana sera zozote za maana.
Team Zitto
mbona sikuelewi? dhana ya kupokezana vijiti ni safi kabisa. LAKINI, MBONA huwaambii CCM wenzako kuwa wakabidhi nchi kwa wengine nao waongoze? au dhana ya kupokezana vijiti ni kwa Chadema tu? mbona husemi kuna watu ndani ya CCM toka Enzi za mwalimu mpaka sasa bado wamekalia madaraka hadi wanaota kutu, hiyo huoni? Acha unafiki
Asante kwa kuamua kusoma peji hii. Naamini utajadili hoja ukiwa na fikra huru na c utumwa wa fikra.
Natambua mchango mkubwa wa mbowe katika kuijenga Chadema. Amefanikisha mipango mingi mizuri kama kuanzisha kanda, M4c na kuongeza wanachama. Pia kajitahidi sana kutatua migogoro mingi ya ndani bila kufukuza mtu. Kwa ujumla C mtu wa Visasi na anabusara kubwa sana juu ya uongozi.
Kwa sasa kwa heshima ya Mbowe naomba aandae utaratibu wa kumkabithi chama Kamanda mwingine anayeaminika uwenyekiti lakini asiwe Dr Slaa au Zitto.
SABABU ZA KUACHIA UONGOZI.;-
Uongozi mzuri ni kuacha madaraka Kistaarabu tena ukiwa bado unapendwa na unanguvu na kubaki kama mshauri.
2. Kuondoa dhana ya kung'ang'ania madaraka ndani ya Chadema.
3. Mbio nzuri ni za kupokezana vijiti ili atakaepokea aongeze kasi, mbinu na ari kufikia mabadiliko ya kweli.
4. Inaweza kupunguza propaganda kadhaa zidi ya Chadema
5. Tuweke tofauti kidogo na wapinzani kwa kukabidhiana madaraka bila kupinduana na kutokuwa na wafalme katika vyama kama ilivyo kwa NCCR, TLP, CUF NA UDP. Na ndio sifa ya Chadema toka awali. Alianza Mtei akaja Makani na Sasa mbowe tena kwa makabidhiano ya Amani
Hapo juu inaonesha wazi kuwa wewe myewewe hauko huru kifikra na maamuzi yako!.Hatufanyi jambo ili kuwafurahisha watu au taasisi, bali tunafanya mambo kwa kuangalia matunda chanya. Ko kusema mbowe atoke, naamini umekurupuka. kajipange upya fikra zako.
Kiongozi mpya awe na sifa zifuatazo
1. Awe Mwanaharakati na amedhamilia Kuikomboa Tz. Apimwe kwa alivyofanikiwa kuidhiti CCM jimboni kwake ata uchaguzi ukirudiwa leo CCM wasiambue kiti cha udiwani ata kimoja kwenye jimbo hilo. Kama ilivyokuwa kwa Wangwe na sasa Arusha. Hai kuwa na madiwani wengi wa CCM ni dosari kubwa sana kwa Mbowe
2. Awe na uvumilivu mkubwa sana wa kisiasa hasa za ndani ya CHADEMA ASIWE NA HASIRA AU KISASI AU MTAZAMO HASI KWA WATU WANAOTOFAUTIANA MITAZAMO. Hapa Mbowe alifanikiwa sana. Ila Zitto, Lema, Slaa, Lissu labda wafundwe sana ndipo wafikie sifa hii
3. Asiwe na maslahi binafsi Muwazi na mkweli na mwenendo usiotia mashaka.
Haujasomeka unataka nini?. Uongozi ni swala nyeti sio la kurukia rukia. Unajua mbowe amepata wapi uvumilivu ulosema hapo juu?. Kinachaigharimu CCM sasa ni kubandika uongozi wa kina Nape, mwigulu wakati hata hawajui nini wanaenda kufanya. Chadema we need time and very strong analysis of prons and cons before any move ahead.
CHADEMA LAZIMA ITAWALE MEDIA ZOTTE KWA NGUVU ZA MICHANGO YA UMMA KAMA MATANGAZO YA SERA ZAO kwenye magazeti, mikutano yao ya kitaifa kuwekwa laivu kwenye TV NA REDIO VIPEPERUSHI NA CD. Si kilamtu anaYEkwenda kwenye mikutano ya hadhara na haya mabomu yanavyorushwa HIVISASA.
Kitu nachojua MBOWE HAWEZI kukubali Chadema ijitangaze kwenye media au kumiliki media zake yani Redio, Tv stesheni na Gazeti kwani KUKIFANYA hivyo ni kuua soko la Media Zake na anachofanya ni kulinda Soko la Magazeti yake na Redio yake binafsi alizonazo Zinazouza habari za CHADEMA ZAIDI.
Nachochujua Chadema ilichobakiza hadi kuchukua nchi ni kumiki media zake tu. Hatua ambayo mbowe hawezi na baadhi ya wanamageuzi wenyefikira huru huweza kumuhisi kuwa ni Pandikizi na labda kaishakula vya watu na lengo lake sasa ni kuidumaza chadema. Yani ilipofikia ndipo hapohapo na hii kumkamatakamata ni kama maigizo tu ndani ya democrasia yetu. Kwani naona kama amepoooza
Mkuu,
Nikupongeze kwa kuwa huru na kuachana na utumwa wa fikra kama walivyo mashabiki wengine.
Hoja yako ni ya msingi sana, na nitoe rai yangu kwa wana CHADEMA kusu uhuru wa mawazo, ni vyema ukawa huru.
Yaani hawa jamaa akili zao hazina kumbukumbu kabisa maana toka mfumo wa vyama vingi uanza CDM imetoa wenyevitu na CCM toka ianzishwe imetoa wenyeviti 4 tu.Matatamani sana Magamba amewapeleka puta kama sasa mnataka apumzike, bado hajachoka labda muongeze nguvu za TLP, CUF, NCCR na UDP; lakn dafu hamfui, maana CDM ni nguvu ya wananchi sasa hao vibaraka watasaidia nini mwanachi akishasema, muwaulize wakoloni mwananchia aliposema TANU ilikuwaje
your maximum thinking level.unataka ugomvi na mzee mtei? hujui kuwa chdm ni mali ya mtei na ukoo wake pamoja na marafiki
your maxmum thinking level.
hata ukijifanya hujaelewa naamin ujumbe umeupata you're a great idiotmbona sikuelewi! hebu nitafsirie kwenye kiswahili
hata ukijifanya hujaelewa naamin ujumbe umeupata you're a great idiot
ni kweli lakin ukisemacho mkuu!!big up nimeipenda busara yako.sis ambao hatujasoma mnakua hamtutendei haki. poa!
Mh.mbowe bado tunamuhitaji.