Mbowe amepoteza sifa za kuendelea kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA

Mbowe amepoteza sifa za kuendelea kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA

Mbowe kwa sasa anakimbiza kila mkutano cjui ndiyo anataka aingie Magogon. Babu kimyaaa. But ukweli Mbowe hana mashiko sana kwa watz kwa ujumla. Angepewa Mkigoma hata mimi ningeingia cdm.
komaa kwanza kichwani harafu ufikirie tena uamuzi wako, kumbe chama unapelekwa na mtu sio sera??? akifa famba wewe utaacha uanachama
 
Bado anafaa kuendelea kuwa Mwenyekiti......ni jambo la kushangaza kwa Nahodha mzuri kuachia chombo kabla hakijatia nanga....! Kwani manahodha wengi,chombo huenda Mrama.
Kuhusu suala la kuwa na madiwani wengi wa CCM Hai...ni Kama kwa mitume wetu,hawakuwa na wafuasi wa kutosha kwao ndio maana kuna msemo nabii hasifiki kwao....ukiona anasifika huyo siyo nabii ni mchumia tumbo....!
Kuwadharau Zitto,Dr.Slaa na Lissu ni kukiuka Demokrasia kutaka kuwachagulia watu kiongozi kwa hisia na kile ulichochagua kuona....hii ni ishara ya harakati za "divide and rule"
ASANTE
 
Nadhani ungeanza wewe kuwa objective kwa kutoa tafsiri halisi ya demokrasia na kuonyesha misingi isiyotia shaka ya demokrasia katika kujenga hoja yako ambayo nina ujasiri wa kuipa jina 'short sighted analyisis'.

Kinachoamua uongozi wa kisiasa ni demokrasia na si vinginevyo.Huwezi kuzuia demokrasia kwa utashi binafsi.It's nonensense!
y
Demokrasia ni mchakato,haki za watu hazifungwi kwa njia yoyote wala maoni binafsi zaidi ya sauti itokanayo na ballot box.


Khaaa hapo kwenye red nikikumbuka mlivyomshupalia Zitto atoe jina.....................
Au ulikuwa unamaanisha nini mkuu?
 
Mkuu,

Nikupongeze kwa kuwa huru na kuachana na utumwa wa fikra kama walivyo mashabiki wengine.

Hoja yako ni ya msingi sana, na nitoe rai yangu kwa wana CHADEMA kusu uhuru wa mawazo, ni vyema ukawa huru.

....4 by 0 .....ONYO....
 
Mkuu,

Nikupongeze kwa kuwa huru na kuachana na utumwa wa fikra kama walivyo mashabiki wengine.

Hoja yako ni ya msingi sana, na nitoe rai yangu kwa wana CHADEMA kusu uhuru wa mawazo, ni vyema ukawa huru.

ni bora kutoa hoja nikatukanwa kuliko kusapotiwa na mtu kama HAMY-D hapo huwa najihisi nimekosewa sana. Hamy d huwa hupendi mabadiliko au umegawika kwa udini au ukabila
 
for sure nipo huru mr William Mshumbusi,you r great thinker,nice one.
 
Hata hivo hii sio ajenda kuu ya chadema kwa sasa, ajenda ni kukama dola 2015
 
Matokeo ya akili ndogo kujaribu kujua kile kinachofanywa na akili kubwa ndio post kama hii!
 
ushabiki wa siasa ni tofauti sana na wa mpira.
Kuwa sehemu ya mabadiliko ya kweli. Naamini Lema, Mdee wakifundwa wanaweza kuwa Wenyeviti wazuri.

Tunapojadili mabadiliko tunaijadili CHADEMA TU. Tlp, Udp, Dp, na Cuf ni Vivuli tu au ni sawa na kujifunika mwanvuri wa kuzuia jua CHINI YA MTI WENYE KIVURI AU MWANVURI WA mvUA CHumbani

Umesema amepoteza uhalali, kivipi!? vinginevyo sikutofautishi na wale kina dada wengine..
 
Nakubaliana na wewe kuwa ili kudumisha demokrasia ni vyema ukawepo utaratibu wa kupishana kwenye Uongozi..
CHADEMA ina historia ya Kubadilisha Wenyeviti since then, hivyo ni dhahiri kuwa Mbowe naye ipo siku atamkabidhi mwingine kijiti, hofu ondoa.
Nakumbuka Mbowe mwenyewe alishawahi kutaka kupumzika Uenyekiti wa CHADEMA ili kumpisha mwingine..
Wadau wengi wa CDM hatukumuunga mkono Mbowe kuachia Madaraka hasa katika kipindi hiki ambacho Chama kiko bize na harakati, hiki ni kipindi ambacho Busara za Mbowe zinahitajika sana na zinatumika sana. Wakati ukifika basi kwa Moyo mmoja tutamruhusu akabidhi kiti kwa mwingine.
 
ni mawazo mazuri sana lakini kumbuka democrasia inaanzia katika fikira na ubongo wa mtu, pia democrasia inajengeka zaidi katika dhana ya kuchagua na kuchaguliwa kwa uhuru na bila mizengwe na niseme tu hiki ndicho kilele cha democrasia democrasia si kuweka vipindi vya kuongoza la asha! bali ni watu kumchagua yule wanaye mtaka pasipo vikwazo, labda kama mwenye mada anadhani kuwa mbowe anaingia madarakani kwa mizengwe hapo na mimi naungana naye aruhusu democrasia ufuate njia yake lakini kama anachaguliwa na watu kwa mapenzi, utashi na akili zao hakuna democrasia nzuri kama hiyo.
 
Mbowe kwa sasa anakimbiza kila mkutano cjui ndiyo anataka aingie Magogon. Babu kimyaaa. But ukweli Mbowe hana mashiko sana kwa watz kwa ujumla. Angepewa Mkigoma hata mimi ningeingia cdm.

Baki huko huko ccm, hatukutaki!! Huyo mkigoma wako aka zitto hana uwezo wa kuwa mwenyekiti wa CDM taifa kwa sababu ameshindwa kuijenga katika mkoa wa KIGOMA na jirani zake sasa uwezo wa kuongoza CDM TAIFA ANAUTOA WAPI?
 
[/COLOR][/B]

Khaaa hapo kwenye red nikikumbuka mlivyomshupalia Zitto atoe jina.....................
Au ulikuwa unamaanisha nini mkuu?

Zitto kwanza angeijenga CHADEMA mkoani Kigoma na mikoa jirani kabla ya kukurupukia uenyekiti wa CDM Taifa! Hana hizo qualities!!
 
Nakubaliana na wewe kuwa ili kudumisha demokrasia ni vyema ukawepo utaratibu wa kupishana kwenye Uongozi..
CHADEMA ina historia ya Kubadilisha Wenyeviti since then, hivyo ni dhahiri kuwa Mbowe naye ipo siku atamkabidhi mwingine kijiti, hofu ondoa.
Nakumbuka Mbowe mwenyewe alishawahi kutaka kupumzika Uenyekiti wa CHADEMA ili kumpisha mwingine..
Wadau wengi wa CDM hatukumuunga mkono Mbowe kuachia Madaraka hasa katika kipindi hiki ambacho Chama kiko bize na harakati, hiki ni kipindi ambacho Busara za Mbowe zinahitajika sana na zinatumika sana. Wakati ukifika basi kwa Moyo mmoja tutamruhusu akabidhi kiti kwa mwingine.

kunachokochoko nyingi dhidi ya Uongozi wa CHADEMA. Ni bora taratibu zingefanyika mapema na kwa utulivu kumkabidhi mtu anayefaa na kuondoa hayo makelele na uongozi wakimapinduzi
 
kunachokochoko nyingi dhidi ya Uongozi wa CHADEMA. Ni bora taratibu zingefanyika mapema na kwa utulivu kumkabidhi mtu anayefaa na kuondoa hayo makelele na uongozi wakimapinduzi

Mkuu nakubliana na wewe, but Time will decide........
 
Mushumbusi

Binafsi nimejiuliza sana Why umepost hii kitu. Uchaguzi wa CHADEMA ni this year,,wala hatujasikia Mbowe anasema atagombea tena au lah na offcourse CHADEMA inaendeshwa na KATIBA,,,it's very very bad unajaribu kuspin kitu ambacho kwa tunaokujua huna sifa ya kufanya hivyo. You hyprocritically pretend to be on the Side of Mbowe and not on the Side of CHADEMA management. CHADEMA ni wamoja you have to support them all as the Management and Working Together Ideology,,,,Unasema Lissu, Zitto, Dr Slaa hawafai kuwa wenyeviti labda wapewe Semina kidogo.

Umesahau au hujui kuwa Every person has his/her own Stregth and Weakness. Kama unaipenda CHADEMA unatakiwa kufuata misingi ya kutii Katiba ya Chama, Sheria na Kanuni zinazokiendesha Chama. Umeainisha weakness moja tu ya Ndg Mbowe na zilizobaki ni Streght, katika hali ya kawaida Mazuri yakizidi mabaya unachukua yale mazuri kwa matarajio ya kufanyia kazi yale madhaifu, nadhani unajua hivyo pia,,,,kwa nini sasa usiungane nasi ili tuendelee kushinikiza uanzishwaji wa hizo media unazozisema ingawa najua tayari ufafanuzi ulishatolewa kwamba suala hili linashughulikiwa na litafanyiwa kazi in Short Period.

Nakushauri popote pale ulipo wewe ndio uwe Media ya CHADEMA itangaze CHADEMA iingie mioyoni mwa watu, hakika wewe ni mmoja wa watakaofaidi matunda ya TANZANIA tuitakayo baada ya 2015 CHADEMA kukabidhiwa dola. Ni suala la muda,,,
 
kunachokochoko nyingi dhidi ya Uongozi wa CHADEMA. Ni bora taratibu zingefanyika mapema na kwa utulivu kumkabidhi mtu anayefaa na kuondoa hayo makelele na uongozi wakimapinduzi

Umeangalia chanzo na wahusika wa hizo chokochoko na nia yao!?? kufanya maamuzi bila kuwa makíni na kujiridhisha kunaweza kukasababisha kuingia mtegoni jambo ambalo watu makini ni lazima tujihadhari nalo
 
Back
Top Bottom