Mushumbusi
Binafsi nimejiuliza sana Why umepost hii kitu. Uchaguzi wa CHADEMA ni this year,,wala hatujasikia Mbowe anasema atagombea tena au lah na offcourse CHADEMA inaendeshwa na KATIBA,,,it's very very bad unajaribu kuspin kitu ambacho kwa tunaokujua huna sifa ya kufanya hivyo. You hyprocritically pretend to be on the Side of Mbowe and not on the Side of CHADEMA management. CHADEMA ni wamoja you have to support them all as the Management and Working Together Ideology,,,,Unasema Lissu, Zitto, Dr Slaa hawafai kuwa wenyeviti labda wapewe Semina kidogo.
Umesahau au hujui kuwa Every person has his/her own Stregth and Weakness. Kama unaipenda CHADEMA unatakiwa kufuata misingi ya kutii Katiba ya Chama, Sheria na Kanuni zinazokiendesha Chama. Umeainisha weakness moja tu ya Ndg Mbowe na zilizobaki ni Streght, katika hali ya kawaida Mazuri yakizidi mabaya unachukua yale mazuri kwa matarajio ya kufanyia kazi yale madhaifu, nadhani unajua hivyo pia,,,,kwa nini sasa usiungane nasi ili tuendelee kushinikiza uanzishwaji wa hizo media unazozisema ingawa najua tayari ufafanuzi ulishatolewa kwamba suala hili linashughulikiwa na litafanyiwa kazi in Short Period.
Nakushauri popote pale ulipo wewe ndio uwe Media ya CHADEMA itangaze CHADEMA iingie mioyoni mwa watu, hakika wewe ni mmoja wa watakaofaidi matunda ya TANZANIA tuitakayo baada ya 2015 CHADEMA kukabidhiwa dola. Ni suala la muda,,,