Mbowe amepoteza sifa za kuendelea kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA

Mbowe amepoteza sifa za kuendelea kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA

Mbowe ajitafakari kwa uzinzi wake, matumizi mabaya ya madaraka, kuzaa nje ya ndoa , kumtotoa lissu na mnyika kisha ajipime arudi kwa baba mkwe wake mtei wafanye biashara ya DISCO na NIGHT CLUB
 
Asante kwa kuamua kusoma peji hii. Naamini utajadili hoja ukiwa na fikra huru na c utumwa wa fikra.
Wapo watu wengi sana wanaozani kuwa kumkosoa mbowe ni kuitukana chadema hili si kweli kabisa.
Chadema itakuwa safi tu iwapo itamuondoa mbowe kwenye uwenyekiti.

Natambua mchango mkubwa wa mbowe katika kuijenga Chadema. Amefanikisha mipango mingi mizuri kama kuanzisha kanda, M4c na kuongeza wanachama. Pia kajitahidi sana kutatua migogoro mingi ya ndani bila kufukuza mtu. Kwa ujumla C mtu wa Visasi na anabusara kubwa sana juu ya uongozi.

Kwa sasa kwa heshima ya Mbowe naomba aandae utaratibu wa kumkabithi chama Kamanda mwingine anayeaminika uwenyekiti lakini asiwe Dr Slaa au Zitto.
SABABU ZA KUACHIA UONGOZI.;-

Uongozi mzuri ni kuacha madaraka Kistaarabu tena ukiwa bado unapendwa na unanguvu na kubaki kama mshauri.

2. Kuondoa dhana ya kung'ang'ania madaraka ndani ya Chadema.
1488314_185131778355725_308368871_n.jpg

3. Mbio nzuri ni za kupokezana vijiti ili atakaepokea aongeze kasi, mbinu na ari kufikia mabadiliko ya kweli.
4. Inaweza kupunguza propaganda kadhaa zidi ya Chadema
5. Tuweke tofauti kidogo na wapinzani kwa kukabidhiana madaraka bila kupinduana na kutokuwa na wafalme katika vyama kama ilivyo kwa NCCR, TLP, CUF NA UDP. Na ndio sifa ya Chadema toka awali. Alianza Mtei akaja Makani na Sasa mbowe tena kwa makabidhiano ya Amani

Kiongozi mpya awe na sifa zifuatazo

1. Awe Mwanaharakati na amedhamilia Kuikomboa Tz. Apimwe kwa alivyofanikiwa kuidhiti CCM jimboni kwake ata uchaguzi ukirudiwa leo CCM wasiambue kiti cha udiwani ata kimoja kwenye jimbo hilo. Kama ilivyokuwa kwa Wangwe na sasa Arusha. Hai kuwa na madiwani wengi wa CCM ni dosari kubwa sana kwa Mbowe

2. Awe na uvumilivu mkubwa sana wa kisiasa hasa za ndani ya CHADEMA ASIWE NA HASIRA AU KISASI AU MTAZAMO HASI KWA WATU WANAOTOFAUTIANA MITAZAMO. Hapa Mbowe alifanikiwa sana. Ila , Lema, Slaa, Lissu labda wafundwe sana ndipo wafikie sifa hii

3. Asiwe na maslahi binafsi Muwazi na mkweli na mwenendo usiotia mashaka.

CHADEMA LAZIMA ITAWALE MEDIA ZOTTE KWA NGUVU ZA MICHANGO YA UMMA KAMA MATANGAZO YA SERA ZAO kwenye magazeti, mikutano yao ya kitaifa kuwekwa laivu kwenye TV NA REDIO VIPEPERUSHI NA CD. Si kilamtu anaYEkwenda kwenye mikutano ya hadhara na haya mabomu yanavyorushwa HIVISASA.

Kitu nachojua MBOWE HAWEZI kukubali Chadema ijitangaze kwenye media au kumiliki media zake yani Redio, Tv stesheni na Gazeti kwani KUKIFANYA hivyo ni kuua soko la Media Zake na anachofanya ni kulinda Soko la Magazeti yake na Redio yake binafsi alizonazo Zinazouza habari za CHADEMA ZAIDI.

Nachochujua Chadema ilichobakiza hadi kuchukua nchi ni kumiki media zake tu. Hatua ambayo mbowe hawezi na baadhi ya wanamageuzi wenyefikira huru huweza kumuhisi kuwa ni Pandikizi na labda kaishakula vya watu na lengo lake sasa ni kuidumaza chadema. Yani ilipofikia ndipo hapohapo na hii kumkamatakamata ni kama maigizo tu ndani ya democrasia yetu. Kwani naona kama amepoooza.

Chadema kuendelea kuwa na Mbowe ni kujiandalia bomu litakalolipuka wakati wowote.

Mbowe ndiye aliyemfundisha Zitto siasa za kupiga Madili na ndiomaana aliingia ugonvi mkubwa na mwanaharakati Chacha Wangwe mtu wa haki.
Uzi wangu wa kwanza Jf ulihusu kufanana sana kwa Tabia kati ya Mbowe na Zitto ila ukafutwa. Ulisomeka Zitto anatofautiana nini na Mbowe?

Bora apewe chama mtu mwenye ari na moyo toka Moyoni Kama Lema au Tundu Lisu kuliko huyu tunayesema anabusara.

Naona kama na ww no mhaini aka unatokea upande uleee
 
Pamoja na kuwa yeye ni mwenyekiti wa Saccos CDM, ataendelea kuwa maarufu wa kuongeza mahawala na kuendelea kumdhalilisha Mke wake!
 
Je,nilini Umeiangalia Chadema kama Chama Kikuu cha Upinzani Tanzania..!Acha unafiki wewe binafsi,Maccm wenzako na kibalaka wenu ZZK...Acheni kujidanya na hizo kashfa mnazowatengenezea viongozi wa Chadema!Elewa mmeshindwa kwenye Udini,Mmejalibu kwenye Ugaidi nako mmeshindwa sasa mmehamia kwenye hizo propaganda Mpya...Waambieni Mnaowatumikia Watanzania wanawachukia kwasababu wameshindwa kututumikia Mf;walipandisha bei ya mafuta ya taa bila kujali athali kwa wananchi wahali ya chini,Wamepandisha bei ya Umeme bila kujali mwaka mpya wa fedha wa serikali nakusababisha mfumuko wa bei nchini kila kitu kwasasa hakishikiki...Ili kuleta unafuu kwa mwananchi wa kawaida lazima Maccm na vibalaka wao wang'oke popote pale kwasasa au hata kwenye chaguzi zijazo!
 
  1. Kashfa ndani ya Bunge
  2. Kashfa ndani ya Chama
  3. Kashfa ndani ya familia
  4. Kashfa ndani ya jamii.................aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaahhhh jamani..............turudi kuwa ma GT
 
mleta uzi alikuwa na mawazo constructive lakn watu wamekuwa washabiki zaid na ndio ninpoona ccm itaendelea kutawala.sis tuko bize kujibu hoja mitandaoni wao wanaenda vijjn kwa wapiga kura
 
Teh huo Uzi kwa MTU anayejua fasihi kiundani unamtukana mbowe ,naona zzk kuanzia Jana kabadilisha upepo
 
Na zzk amepoteza sifa ya kuendelea kuwa mwanachama wa cdm na ni bora akajiondoa mapema!
 
Kuna wakati huwa napata shida kuamini kama kweli wewe ni mtoto wa Mzee Malecela, mbona sioni aina yoyote ya hekima uliyorithi kutoka kwa Mzee malecela? Kweli ukubwa wa pua si wingi wa kamasi, kwa ukubwa wa umbo lako mtu anategemea hata ubongo nao ni mkubwa kumbe ka ubongo ni kiduchu tu.
Hivi leo bei ya umeme imepanda ukinunua umeme wa sh. 10,000 ni kama umeibiwa leo mtu mzima unatuletea mambo ya kanga na uswahiliswahili, jamani kwani msimsaidie JK amalizie ngwe yake vizuri kwa kukamilisha ahadi zake?
 
Nadhani ungeanza wewe kuwa objective kwa kutoa tafsiri halisi ya demokrasia na kuonyesha misingi isiyotia shaka ya demokrasia katika kujenga hoja yako ambayo nina ujasiri wa kuipa jina 'short sighted analyisis'.

Kinachoamua uongozi wa kisiasa ni demokrasia na si vinginevyo.Huwezi kuzuia demokrasia kwa utashi binafsi.It's nonensense!
y
Demokrasia ni mchakato,haki za watu hazifungwi kwa njia yoyote wala maoni binafsi zaidi ya sauti itokanayo na ballot box.

Eti anasema mbowe ni mpiga deal kama zzk ,hii kweli sawa?huku si kumtukana mwenyekiti?teh LMAO
 
Kuanza kuchangia uzi huu haitakuwa na maana badala yake tungetumia muda huu kupanga jinsi ya kuishinikiza serikali kushusha bei ya umeme.....
Kusema Mbowe kang'ang'ania madaraka ni hofu ya kujitakia....kwani fomu za uenyekiti wa chama zimeshatolewa? na Freeman Mbowe amechukua?
 
Hivi huko CCM mmeshavuana gamba?
mafisadi wote mbona ndio hao hao mliowarudisha katika ngazi za uongozi kwenye chama?
wale wasafi wote mkawatosa kwa vile hawakua na uwezo wa kuhonga.
Lowassa et all, katibu wenu na kashfa za meno ya tembo mbona hamumfuti kazi?
Ukimlinganisha Mbowe na Kinana na viongozi wengine huko chamani hata ww pia unapenda kuandamana na
wadosi wa mjini tena wale tunaojua wanahusika na ile biashara ya sembe na wewe ni msafi?
Hebu kuwa wa kwanza kumrushia jiwe Mbowe na Chadema kama una ubavu huo...
 
Babako na Mamako wa Kambo wanamheshimu Mh.Mbowe,wewe unaonekana kukosa heshima dhidi ya Wakubwa zako.Unafahamu vizuri kwanini Babako aliitwa TingaTinga?Unafikiri sifa hiyo kwa jinsi alivyotumikia chama chake alistahili?
Ungekuwa na akili ungekuwa upinzani,lakini kwakuwa .........ndio maana unaweza kuja na hoja muflis kama hiyo.
 
Babako na Mamako wa Kambo wanamheshimu Mh.Mbowe,wewe unaonekana kukosa heshima dhidi ya Wakubwa zako.Unafahamu vizuri kwanini Babako aliitwa TingaTinga?Unafikiri sifa hiyo kwa jinsi alivyotumikia chama chake alistahili?
Ungekuwa na akili ungekuwa upinzani,lakini kwakuwa .........ndio maana unaweza kuja na hoja muflis kama hiyo.

- Kukosa heshima? Really? Hapa nani amekosea heshima wenzake Mwenyekiti wenu aliyeponza wananchi kuandamana mpaka kuuawa au mimi ninayeshangaa kwamba kumbe anavuta pesa toka kwa kina Rostam na Mkono, si Slaa aliwataja hawa kuwa ni hatari sana kwa Taifa kumbe mnazuga wananchi halafu mnaenda kuvuta pesa zao, sasa yametoka aibu unasema kuyajua na kuyashangaa ni kukosa heshima?

- Umeona majibu ya Mwenyekiti wako anakubali live kwamba ni kweli alivuta hizo pesa, case closed Aibuu!!, ustaarabu unataka ajiuzulu tu na kuwaachia wengine mbona mawaziri 4 wa CCM wamejiuzulu? Eti msaliiti, mhaini, pandikiz sasa tuambieni nani ni pandikizi hapa? ha! ha1 ha!

Le Mutuz

Le Mutuz
 

Miaka mitatu iliyopita – Novemba 2009, gazeti la ----------- lilichapisha habari hii kwenye ukurasa wake wa kwanza kuhusu Zitto Kabwe.
Gazeti lilikuwa limefanya mahojiano na Mama Mzazi wa Zitto, Shida Salum. Katika mahojiano hayo, Mama Mzazi wa ZItto alikiri mwanawe kutumiwa na watu wasiokitakia mema chama.

Leo ni miaka mine tangu Mama Zitto kueleza hayo. Sasa wakati tukitafakari yanayompata Zitto ndani ya Chadema, tuyaangalia yale ambayo Mama Zitto alieleza wakati huo.



SHIDA Salum, mama mzazi wa Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Maendeleo na Demokrasia (CHADEMA), Zitto Kabwe, ameibuka na kusema mwanaye anatumiwa kukivuruga chama chake.

Akizungumzia taarifa zinazoandikwa na baadhi ya magazeti kuhusu kinachoitwa mgogoro wa uongozi katika CHADEMA, kati ya Zitto na viongozi wenzake, Shida alisema, “hakuna mgogoro pale, kuna kikundi cha watu wanaotaka kumtumia mwanangu kufanikisha mambo yao.”

Akizungumza na gazeti hili juzi jijini Dar es Salaam, alidai kuna watu walio nje ya CHADEMA wanakula njama za kumgombanisha mwanawe na viongozi wenzake.

Alisisitiza, “kuna baadhi ya wanasiasa ndani ya CHADEMA wanaotumiwa na walio nje kugombanisha viongozi.”

Akaongeza, “Mambo ya uchaguzi yalikwisha kitambo na Zitto kwa moyo mmoja alikubali kumaliza tofauti zake na Mbowe (Freeman Mbowe) ndiyo maana akamuacha Mbowe kuwa mgombee pekee wa uenyekiti.”


Shida aliwatuhumu watu walio nje ya CHADEMA akisema ndio wanaopandikiza mbegu za chuki kwa lengo la kuwavuruga. Hata hivyo, hakuwataja.

Alisema kila mwenye akili timamu anajua kinachotafutwa, na nani mkweli na yupi anasingiziwa.

“Angalia wanaoandika haya. Kweli Zitto anaweza kutetewa na magazeti ya Habari Corporation yanayomilikiwa na Rostam Aziz halafu ukaamini kile kinachoandikwa?” alihoji.

Aliongeza, “Rostam yupi? Ni huyu tunayemjua au mwingine? Kwa wema upi alionao kwa chama chetu.”

Wiki iliyopita magazeti ya Rai na Mtanzania yalinukuu taarifa zikidai kuwa zimetolewa na Shida, kwamba anataka mwanawe aondoke kwenye chama hicho kwa kile ilichoeleza kuwa “kumwepuesha na yaliyomkuta Chacha Wangwe.”

Katika kujibu hilo, Shida anasema, “Mimi na Zitto tunajua katiba ya chama chetu. Tunafahamu taratibu za kuendesha chama. Yeye ni naibu katibu mkuu, mimi ni mjumbe wa Kamati Kuu. Tunajua nini maana ya uongozi, hivyo hatuwezi kukurupuka barabarani.

“Kwamba kama kuna malalamiko au tuhuma mathalani juu ya uteuzi wa wabunge wa viti maalum, basi sote ni sehemu ya hicho kinacholalamikiwa. Kutokana na hali hiyo, hatuwezi kujifanya hatuhusiki na tukatuhumu kupitia vyombo vya habari, tena magazeti yanayomilikiwa na mwanachama wa CCM.”

Shida alisema anajua kwa mapana chanzo cha yote yanayoandikwa na jitihada za kutaka kumgombanisha Zitto na viongozi wenzake, hasa Katibu Mkuu wa CHADEMA, Dk. Willibrod Slaa na mwenyekiti wake, Freeman Mbowe.

“Yote haya tunafahamu chazo chake. Si uchaguzi wa ndani ya chama. Uchaguzi ulishakwisha na Zitto kwa moyo mmoja alikubali kumuachia Mbowe uenyekiti ili kulinda maslahi ya chama,” alisema.

Alisema kuwa yeye kama mlezi, hawezi kuruhusu hali hiyo, hivyo atatumia nafasi yake ya mjumbe wa CC kuhakikisha kwamba tabia hiyo ya kugombanisha viongozi inakoma.

“Nikiwa mzazi, mlezi na mjumbe wa kamati kuu ya CHADEMA, siwezi kuruhusu Zitto kutumika kuingiza chama katika mgogoro. Nitasimama imara kuhakikisha kwamba CHADEMA inakuwa salama,” alisema.

Wiki iliyopita, Dk. Slaa aliwaondoa katika nafasi za utendaji David Kafulila aliyekuwa Afisa Habari na Danda Juju aliyekuwa Afisa anayeshughulika na Halmashauri na Bunge kwa kile kinachoelezwa kuwa utovu wa nidhamu kwa chama na viongozi wake.

Kafulila alinukuliwa na baadhi ya magazeti kuwa alibeza kikao cha viongozi wa juu wa chama hicho kilichofanyika Dodoma ambapo Mbowe na Dk. Slaa walikutana katika kikao cha kawaida na wabunge wa chama hicho na baadhi ya wakurugenzi.

Kafulila alisema mkutano huo wa viongozi haukuwa na maana; na alifika mbali zaidi kwa kuufananisha na vikao vya geto. Ni matamshi hayo na mengine yaliyomfanya Dk. Slaa kutumia mamlaka yake ya kikatiba kumuondoa Kafulila katika wadhifa huo.

Taarifa zinasema hoja ya kumuondoa Kafulila katika kikao ilitolewa na Msafiri Mtemelwa, mmoja wa viongozi wake na ambaye alikuwa meneja wa kampeni za Zitto wakati wa kuwania uenyekiti wa CHADEMA
 
mleta uzi alikuwa na mawazo constructive lakn watu wamekuwa washabiki zaid na ndio ninpoona ccm itaendelea kutawala.sis tuko bize kujibu hoja mitandaoni wao wanaenda vijjn kwa wapiga kura

asante kwa kunielewa tusaidiane kuijenga nchi yetu
 
Wajinga wenzako watakuunga mkono lakini kwa hakika hata mamako hakubaliani na upumbavu wako,achilia mbali mkeo/mmeo.
 
Back
Top Bottom