Pre GE2025 Mbowe ampinga Profesa Kabudi mbele ya halaiki; 'hatuwezi jadili mambo yale yale kwa miaka 30'

Pre GE2025 Mbowe ampinga Profesa Kabudi mbele ya halaiki; 'hatuwezi jadili mambo yale yale kwa miaka 30'

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Baadhi ya hawa watu hata hawana aibu mbele za watu. Profesa mzima unatetea vipi hayo ya Ujerumani ndiyo yawe ya hapa, sisi hatuna akili ya kutengeneza tunachotaka kutokana na mazingira yetu?
Kwa nini tutazame ya Ujerumani?

Wasomi wetu hawana maana wanashindwa kutumia usomi wa nadharia kutatua matatizo ya nchi yao kama Tanzania, kazi yao kubwa kutema nadharia walizosoma bila kutoa ufumbuzi wa tatizo liwe la kisiasa, kikatiba, kiuchumi na kijamii wasomi hawana mchango.
 
Wasomi wetu hawana maana wanashindwa kutumia usomi wa nadharia kutatua matatizo ya nchi yao kama Tanzania, kazi yao kubwa kutema nadharia walizosoma bila kutoa ufumbuzi wa tatizo liwe la kisiasa, kikatiba, kiuchumi na kijamii wasomi hawana mchango.
Wasomi wako hivyo kwa sababu ya CCM ndivyo inavyotaka wawe.

Leo hii akitokea kiongozi mzalendo wa kweli, na kuwaunga mkono wasomi watumie taaluma zao kuliendeleza taifa hili, utaona mabadiliko makubwa. Badala yake, wasomi hawa sasa wanajidhalilisha kabisa bila ya aibu, kama huyu Kabudi!
 
09 May 2024
SUSAN KIWANGA AWAWAKIA CCM :NYIE MUNGU ANAWAONA / BORA MNINYANGANYE MAIKI ILA UKWELI NITAONGEA"


View: https://m.youtube.com/watch?v=2OGOvOkKJYU

SIKU YA PILI MKUTANO WA KITAIFA KUTAFAKARI NA KUJENGA UELEWA JUU YA SHERIA ZA UCHAGUZI ZILIZOPITISHWA

Susan Kiwanga hiki chama dola kongwe kilipora mchakato mzima wa uchaguzi 2020 bila aibu yoyote hii haijapata kutokea tangu CCM waanze wizi wa kura ....

Hivi muda huu wakurugenzi wote wamejifungia mjini Kibaha mkoa wa Pwani wakipanga nini wafanye 2025 .. kwa maana nyingine wanatusanifu na kutuona sisi wapumbavu tuliopo katika kongamano hili tukijadili Tume Huru na Uchaguzi wa Haki anasema kwa uchungu kamanda Susan Kiwanga aliyekuwa mbunge wa CHADEMA

Anaongeza kuwa muda huu wameanza kuboresha daftari na wasimamizi wa zoezi hilo ni makatibu tarafa ambao wote ni CCM na vijana wanaoomba kazi ya zoezi hilo wanaambiwa kama siyo CCM huwezi kuruhusiwa kupewa kazi bila kiongozi wa CCM kukubeba .... anabainisha yanayoendelea sasa huko katika ngazi za tarafa nchi nzima kamanda Susan Kiwanga

Vituo vya kupiga kura sasa kitakuwa kituo kimoja tu katika kila kijiji chenye vitongoji kadhaa sasa kwa mfano kule kwetu Mlimba Morogoro itabidi wapiga kura kusafiri hadi umbali wa kilometa 20 kupiga kura ndani ya kijiji kwani vitongoji viko mbalimbali anasema Susan Kiwanga na kuongeza hizi zote ni dalili ya CCM kuvuruga uchaguzi wa 2024 / 2025 kama ilivyo mazoea ya chama dola kongwe CCM ...Na hali ya vitongoji katika vijiji nchini kote Tanzania inafanana na ya kwetu Mlimba Morogoro na kwa hali hii CCM tayari inafanya ukatili kwa raia wake....
 
Hata Marekani ni hivyo hivyo. Nambie mgombea wa Democrats au Republics ambae aliwahi kumuangusha raisi aliepo madarakani katika kinyang'anyiro cha kutafuta mgombea wa chama kupeperusha bendera ya uraisi?

Mbowe ni pandikizi la CCM, hafai kuendelea kuwa mwenyekiti wa chama ambacho kina lengo la kweli la kuingia ikulu. Mbowe Must Go!
Gorge Bush senior wa Republican Aliangushwa na Bill Clinton wa Republican. Usitake kuleta upotoshaji wa kijinga wakati huna ujualo.
 
08 May 2024

MBOWE YAMSHINDA AMPINGA PROF. PALAMAGAMBA KABUDI MBELE YA HALAIKI ''HATUWEZI JADILI MAMBO YALE YALE KWA MIAKA 30''....

View attachment 2984833

Freeman Mbowe amejikita katika chaguzi 6 zilizopita na mafunzo yake halisi ya juu kilichotokea katika miaka 30 ya vyama vingi vya siasa kulikopelekea kuiba uchaguzi na hatimaye kuteka uchaguzi mzima 2019 / 2020 na sasa wanataka tuiamini hii Tume ya Uchaguzi ... hiki kiburi cha CCM kukataa katiba mpya ni mfano hai wa hila za chama kongwe dola CCM ....

TOKA MAKTABA:

MATOKEO YA UCHAGUZI WA RAIS 2020 HAYAPO KATIKA GAZETI LA SERIKALI KWA SABABU UCHAGUZI MZIMA ULIVURUGWA?


Kutokana na uchaguzi wa 2020 kuporwa, wameshindwa kuoanisha matokeo ya urais ili yatangazwe katika gazeti la serikali (gazetted). Watu wangestuka na kuona tofauti kubwa ya jumla ya kura za wabunge wote na zile za urais.


Maana kama wangekusanya matokeo ya urais kutoka kila jimbo na kuyajumuisha ni aibu tupu, jumla ya kura ya urais ingetofautiana sana kwa umbali mkubwa na jumla ya kura za walizopata wabunge wote.

N.B
More info :

UCHAGUZI MKUU WA 2020
Aidha, siku ya kupiga kura jumla ya wapiga kura 15,091,950 sawa na asilimia 50.72 walijitokeza kupiga kura kati ya wapiga kura 29,754,699 walioandikishwa. Kura halali zilikuwa 14,830,195 sawa na asilimia 98.27 ya kura zote zilizopigwa na kura zilizokataliwa
zilikuwa 261,755 sawa na asilimia 1.73 ya kura zote zilizopigwa.
Mheshimiwa Rais,
Kwa ujumla, Tume iliendesha uchaguzi mkuu katika hali ya amani na utulivu. Mafanikio
hayo yalitokana na maandalizi yaliyofanywa kwa kuzingatia sheria, kanuni na taratibu.
Tume pia ilipata ushirikiano wa kutosha kutoka kwa wadau mbalimbali wa uchaguzi.
Mheshimiwa Rais,
Baada ya uchaguzi mkuu kukamilika, Tume imeandaa taarifa inayoelezea namna mchakato wa uchaguzi ulivyofanyika.
Kwa heshima na taadhima, Tume inaomba kuwasilisha kwako Taarifa ya Uchaguzi wa
Rais, Wabunge na Madiwani wa Mwaka 2020.
xv
…………………………………………
Jaji Rufaa (Mst.) Semistocles S. Kaijage
Mwenyekiti
…………………………..………….
Jaji (Mst.) Mary H. C. S. Longway
Mjumbe
........................................
Asina A. Omari
Mjumbe
…………………………..………….
Jaji (Mst.) Thomas B. Mihayo
Mjumbe
…………………………..………….
Dkt. Wilson Mahera Charles
Mkurugenzi wa Uchaguzi


View: https://m.youtube.com/watch?v=e3Grxxco7hQ

Hivyo ni muhimu uchaguzi wa rais kuhojiwa mahakama kuu, na kuwepo takwa la lazima kuoanisha kura za ujumla za wabunge na urais ili uoanishi huu kuwa njia (tool) mojawapo ya kuibana Tume Huru ya Uchaguzi na wasimamizi wa uchaguzi kufanya kazi yao sawa sawa.

Tume ya Taifa ya Uchaguzi
https://www.nec.go.tz › publications
Matokeo ya Uchaguzi Mkuu

Matokeo ya Uchaguzi wa Rais na Wabunge wa mwaka 2020 Pakua · Wabunge Wanawake Walioteuliwa Viti Maalum Uchaguzi Mkuu ....

Tume ya Taifa ya Uchaguzi
https://www.nec.go.tz › 1630...PDF
TAARIFA YA UCHAGUZI WA RAIS, WABUNGE NA MADIWANI ...

View attachment 2866109
Haki zote zimehifadhiwa, hairuhusiwi kuiga, kunakili au kutoa kitabu hiki kwa njia


TOKA MAKTABA :

17 April 2024

JUKWAA LA SAUTI YA WATANZANIA, MJADALA MPANA KUHUSU SHERIA ZA UCHAGUZI

LIVE : TUNDU LISSU ANAONGEA KUHUSU SHERIA ZA UCHAGUZI, TEUZI ZA,WAJUMBE WA TUME HURU YA UCHAGUZI N.K NA JINSI RAIS ALIVYO NA MAMLAKA YA KUTEGUA


Sheria mpya za uchaguzi ya Tume Huru ya Uchaguzi athari zake kwa uchaguzi mkuu 2025 na ule wa serikali za mitaa pia vijiji mheshimiwa Tundu Lissu anaongezea kwa kina mazungumzo yake ya awali aliyofanya wiki iliyopita ktk kituo cha radio cha Clouds FM.

Leo mheshimiwa Tundu Lissu anajikita kwa kina zaidi kuhusu Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi jina lake tu lina mushkeli mkubwa na inakinzana na Katiba hivyo ni batili .......

katiba ambayo ni sheria mama haitambui Tume Huru ya Taifa Uchaguzi inapingana na jina la Tume ya Uchaguzi hilo ni la kwanza ... hivyo msidanganywe

Jina la Tume ya Uchaguzi ilianza kutumika 1961 (tanganyika constitution order in Council 1961) kufuatia amri ya Malkia au Mfalme wa Uingereza kupitia Privy Council ....

Katiba ya Jamhuri 1962 ikalirithi jina Tume ya Uchaguzi na mwaka 1965 Katiba ya Mpito ya Jamhuri ya Muungano mwaka 1965 na iliendelea hadi 1977 Tume ya Uchaguzi na hadi leo 2024 jina halijabadilika ......

Tundu Lissu anageukia sasa kuchambua ..... Tume Ya Uchaguzi na kinga ya kushitakiwa ni kuwa ..... haitafuata maelekezo au amri ya mtu yeyote. Tume ya Warioba olisema hiyo siyo kweli kwa Tume ya Uchaguzi ni ya Rais na inateuliwa na kutenguliwa na Rais hivyo Tume ya Uchaguzi hupokea amri na maelekezo kutoka kwa mwenye Tume ya Uchaguzi ambaye ni Rais ... juzuu ya Tume ya Warioba imesisitiza hivyo Tume ya Uchaguzi haina uhuru katika uwajibikaji ...


Uundwaji wa majimbo ya uchaguzi Tanzania ni tofauti na nchi zingine, maana Tanzania majimbo yanaibuliwa huku kukiwa na nia ya kushinda uchaguzi ..... na mwenye maamuzi ya mwisho kuhusu mipaka na majimbo mapya yapo chini ya rais

Rais ndiye anayeitengeneza Tume ya Uchaguzi na kuondoa wajumbe wa Tume. Rais ndiyo anaye toa na kutwaa haya madaraka ni absolute power hivyo Tume hii ni ya Rais pekee...

Hii dhambi ya mauti alafu kuna wanaojiita viongozi wa dini wanawaombea , sijui wanasema ni wateule wa mungu sijui takataka gani, Mungu afanye yake !
 
Hii dhambi ya mauti alafu kuna wanaojiita viongozi wa dini wanawaombea , sijui wanasema ni wateule wa mungu sijui takataka gani, Mungu afanye yake !

Hakika chama dola kongwe kimeishiwa mbinu hatujui baada ya kuvuruga mchakato na mfumo mzima wa uchaguzi nini watafanya 2024 / 2025 hawa CCM siyo wa kuaminiwa kabisa
 
Joseph Selasini - Tayari tumepigwa chenga ya mwili sheria hizi haziwezi kutumika 2024 / 2025


View: https://m.youtube.com/watch?v=banPfKHj3cE

Selasini kiongozi wa NCCR Mageuzi amesema hayo huku Profesa Palamagamba Kabudi kada wa CCM akitikisa kichwa kuafiki mchakato wa sheria mpya za uchaguzi kutumika 2024 / 2025 haiwezekani .....
 
08 May 2024

MBOWE YAMSHINDA AMPINGA PROF. PALAMAGAMBA KABUDI MBELE YA HALAIKI ''HATUWEZI JADILI MAMBO YALE YALE KWA MIAKA 30''....

View attachment 2984833

Freeman Mbowe amejikita katika chaguzi 6 zilizopita na mafunzo yake halisi ya juu kilichotokea katika miaka 30 ya vyama vingi vya siasa kulikopelekea kuiba uchaguzi na hatimaye kuteka uchaguzi mzima 2019 / 2020 na sasa wanataka tuiamini hii Tume ya Uchaguzi ... hiki kiburi cha CCM kukataa katiba mpya ni mfano hai wa hila za chama kongwe dola CCM ....

TOKA MAKTABA:

MATOKEO YA UCHAGUZI WA RAIS 2020 HAYAPO KATIKA GAZETI LA SERIKALI KWA SABABU UCHAGUZI MZIMA ULIVURUGWA?


Kutokana na uchaguzi wa 2020 kuporwa, wameshindwa kuoanisha matokeo ya urais ili yatangazwe katika gazeti la serikali (gazetted). Watu wangestuka na kuona tofauti kubwa ya jumla ya kura za wabunge wote na zile za urais.


Maana kama wangekusanya matokeo ya urais kutoka kila jimbo na kuyajumuisha ni aibu tupu, jumla ya kura ya urais ingetofautiana sana kwa umbali mkubwa na jumla ya kura za walizopata wabunge wote.

N.B
More info :

UCHAGUZI MKUU WA 2020
Aidha, siku ya kupiga kura jumla ya wapiga kura 15,091,950 sawa na asilimia 50.72 walijitokeza kupiga kura kati ya wapiga kura 29,754,699 walioandikishwa. Kura halali zilikuwa 14,830,195 sawa na asilimia 98.27 ya kura zote zilizopigwa na kura zilizokataliwa
zilikuwa 261,755 sawa na asilimia 1.73 ya kura zote zilizopigwa.
Mheshimiwa Rais,
Kwa ujumla, Tume iliendesha uchaguzi mkuu katika hali ya amani na utulivu. Mafanikio
hayo yalitokana na maandalizi yaliyofanywa kwa kuzingatia sheria, kanuni na taratibu.
Tume pia ilipata ushirikiano wa kutosha kutoka kwa wadau mbalimbali wa uchaguzi.
Mheshimiwa Rais,
Baada ya uchaguzi mkuu kukamilika, Tume imeandaa taarifa inayoelezea namna mchakato wa uchaguzi ulivyofanyika.
Kwa heshima na taadhima, Tume inaomba kuwasilisha kwako Taarifa ya Uchaguzi wa
Rais, Wabunge na Madiwani wa Mwaka 2020.
xv
…………………………………………
Jaji Rufaa (Mst.) Semistocles S. Kaijage
Mwenyekiti
…………………………..………….
Jaji (Mst.) Mary H. C. S. Longway
Mjumbe
........................................
Asina A. Omari
Mjumbe
…………………………..………….
Jaji (Mst.) Thomas B. Mihayo
Mjumbe
…………………………..………….
Dkt. Wilson Mahera Charles
Mkurugenzi wa Uchaguzi


View: https://m.youtube.com/watch?v=e3Grxxco7hQ

Hivyo ni muhimu uchaguzi wa rais kuhojiwa mahakama kuu, na kuwepo takwa la lazima kuoanisha kura za ujumla za wabunge na urais ili uoanishi huu kuwa njia (tool) mojawapo ya kuibana Tume Huru ya Uchaguzi na wasimamizi wa uchaguzi kufanya kazi yao sawa sawa.

Tume ya Taifa ya Uchaguzi
https://www.nec.go.tz › publications
Matokeo ya Uchaguzi Mkuu

Matokeo ya Uchaguzi wa Rais na Wabunge wa mwaka 2020 Pakua · Wabunge Wanawake Walioteuliwa Viti Maalum Uchaguzi Mkuu ....

Tume ya Taifa ya Uchaguzi
https://www.nec.go.tz › 1630...PDF
TAARIFA YA UCHAGUZI WA RAIS, WABUNGE NA MADIWANI ...

View attachment 2866109
Haki zote zimehifadhiwa, hairuhusiwi kuiga, kunakili au kutoa kitabu hiki kwa njia


TOKA MAKTABA :

17 April 2024

JUKWAA LA SAUTI YA WATANZANIA, MJADALA MPANA KUHUSU SHERIA ZA UCHAGUZI

LIVE : TUNDU LISSU ANAONGEA KUHUSU SHERIA ZA UCHAGUZI, TEUZI ZA,WAJUMBE WA TUME HURU YA UCHAGUZI N.K NA JINSI RAIS ALIVYO NA MAMLAKA YA KUTEGUA


Sheria mpya za uchaguzi ya Tume Huru ya Uchaguzi athari zake kwa uchaguzi mkuu 2025 na ule wa serikali za mitaa pia vijiji mheshimiwa Tundu Lissu anaongezea kwa kina mazungumzo yake ya awali aliyofanya wiki iliyopita ktk kituo cha radio cha Clouds FM.

Leo mheshimiwa Tundu Lissu anajikita kwa kina zaidi kuhusu Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi jina lake tu lina mushkeli mkubwa na inakinzana na Katiba hivyo ni batili .......

katiba ambayo ni sheria mama haitambui Tume Huru ya Taifa Uchaguzi inapingana na jina la Tume ya Uchaguzi hilo ni la kwanza ... hivyo msidanganywe

Jina la Tume ya Uchaguzi ilianza kutumika 1961 (tanganyika constitution order in Council 1961) kufuatia amri ya Malkia au Mfalme wa Uingereza kupitia Privy Council ....

Katiba ya Jamhuri 1962 ikalirithi jina Tume ya Uchaguzi na mwaka 1965 Katiba ya Mpito ya Jamhuri ya Muungano mwaka 1965 na iliendelea hadi 1977 Tume ya Uchaguzi na hadi leo 2024 jina halijabadilika ......

Tundu Lissu anageukia sasa kuchambua ..... Tume Ya Uchaguzi na kinga ya kushitakiwa ni kuwa ..... haitafuata maelekezo au amri ya mtu yeyote. Tume ya Warioba olisema hiyo siyo kweli kwa Tume ya Uchaguzi ni ya Rais na inateuliwa na kutenguliwa na Rais hivyo Tume ya Uchaguzi hupokea amri na maelekezo kutoka kwa mwenye Tume ya Uchaguzi ambaye ni Rais ... juzuu ya Tume ya Warioba imesisitiza hivyo Tume ya Uchaguzi haina uhuru katika uwajibikaji ...


Uundwaji wa majimbo ya uchaguzi Tanzania ni tofauti na nchi zingine, maana Tanzania majimbo yanaibuliwa huku kukiwa na nia ya kushinda uchaguzi ..... na mwenye maamuzi ya mwisho kuhusu mipaka na majimbo mapya yapo chini ya rais

Rais ndiye anayeitengeneza Tume ya Uchaguzi na kuondoa wajumbe wa Tume. Rais ndiyo anaye toa na kutwaa haya madaraka ni absolute power hivyo Tume hii ni ya Rais pekee...

Ukimsikiliza Mbowe unaelewa kwa kina namna ambavyo Tanzania yetu imemezwa na jinamizi la watawala ndani ya CCM

Ni busara sana kudai Katiba Mpya la sivyo hakutakuwa na maana ya kufanya chaguzi
 
Mh Mbowe, kaongea vitu vya MSINGI sana, ila CCM hawana AIBU wala HAYA, wataendelea kufanya maupuuzi yale yale, ili yabaki MADARAKANi..bila Wapinzani kubadili MBINU na kuwa BOLD, CCM hawatatoka madarakani...
Ongezeni nguvu CDM, maandamano, fikeni huku kwenye msingi lakini msisahsu TV na Radioya Chama
 
Mh Mbowe, kaongea vitu vya MSINGI sana, ila CCM hawana AIBU wala HAYA, wataendelea kufanya maupuuzi yale yale, ili yabaki MADARAKANi..bila Wapinzani kubadili MBINU na kuwa BOLD, CCM hawatatoka madarakani...
Ongezeni nguvu CDM, maandamano, fikeni huku kwenye msingi lakini msisahsu TV na Radioya Chama
Unaposema bila wapinzani kubadili mbinu unafikiri nchi ni ya wapinzani peke yao?
WATANGANYIKA wote wabadilike, wache kutumiwa kama pedi na kondom, unanyingwa , unaporwa na bado unamkumbatua mtesi wako?
Hakuna mkono wa chuma unao ondoka hivi hivi!
 

SIKU YA PILI MKUTANO WA KITAIFA KUTAFAKARI NA KUJENGA UELEWA JUU YA SHERIA ZA UCHAGUZI ZILIZOPITISHWA

Prof. Palamagamba Kabudi atafuta uhalali wa hali iliyopo kwa kujibanza nyuma ya katiba, kuwa siyo sisi chama kongwe dola tunaitaka hali hii ila ni hii katiba niliyonayo mkononi ndiyo inatuchelewesha siyo sisi CCM


View: https://m.youtube.com/watch?v=xyn2C1c5McY
 
Back
Top Bottom