Mjuni Lwambo
JF-Expert Member
- Apr 25, 2012
- 11,133
- 12,361
Sawa, tunasubiri.Unaendelea muda huu mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa, tunasubiri.Unaendelea muda huu mkuu
Amesaliti min?Lema anaona msaliti mwenziwe akiangua pua
Wanataka usiku uwe mwingi ili wakate umeme halafu wamwibie Lisu kura.Mbona wanachelewa sana kama ule wa NEC ya kina Mahela?
Umekuwa Mjinga Mjinga sana we Legend Acha kura zipigwe sio kuandika umbea na unafiki unafiki utadhani mtoto kumbe jitu zima.Lema kaanza kuulizia kama mpunga upo auze game.
Kaambiwa kura zinatosha hakuna haja ya kuhonga.
Fűck youFück Mbowe
Fūck Boni Yai
Jobless hao wana hasira na maisha hasa wanapokosa mtetezi.
Sijaona sababu ya msingi kura kuchelewa kupigwa hadi musa huu. Porojo nyingi za mchana hazikuwa na sababu yoyote.Channel gan inaonyesha? UTV naona wameacha kuonyesha maana ukumbini magumashi mengi
Then you know how it fucks you!!Fück Mbowe
Fūck Boni Yai
Freeman alisema kile kitengo ni cha kujitolea hakina mshahara ila anapotumia gharama binafsi kuweka hadi ulinzi kwenye eneo la kupigia kura najiuliza mbona kama inatumika nguvu kubwa kugombea nafasi ya kujitolea isiyo na mshahara.Wakuu
Mbowe kaamua naye, kamteua Boni Yai
Freeman Mbowe mgombea wa nafasi ya Uenyekiti wa CHADEMA amemteua Mjumbe na Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Pwani, Boniface Jacob maarufu kama Boni Yai kuwa wakala wake katika zoezi la upigaji kura kwenye mkutano mkuu wa chama hicho ambapo wajumbe watafanya maamuzi ya kumchagua Mwenyekiti wa chama hicho.
View attachment 3209183
Subirini matokeo ndiyo muongee,acheni upuuzi.Fück Mbowe
Fūck Boni Yai
Mkuu wa kitengo cha "Nyama choma na pombe za bure".Wakuu
Mbowe kaamua naye, kamteua Boni Yai
Freeman Mbowe mgombea wa nafasi ya Uenyekiti wa CHADEMA amemteua Mjumbe na Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Pwani, Boniface Jacob maarufu kama Boni Yai kuwa wakala wake katika zoezi la upigaji kura kwenye mkutano mkuu wa chama hicho ambapo wajumbe watafanya maamuzi ya kumchagua Mwenyekiti wa chama hicho.
View attachment 3209183
Ina maana kura wanashindwa kuzihesabu? Hivi kuhesabu kura za watu niliowaona kwenye ukumbi zinaweza chukua masaa mengi hadi kesho?Ndio unaendelea muda huu mkuu
Mpangilio wa ratiba ni mbovu mnoSijaona sababu ya msingi kura kuchelewa kupigwa hadi musa huu. Porojo nyingi za mchana hazikuwa na sababu
Khaa yaani hao watu elf 2 tu ndo mpk SS kura Bado?Ndio unaendelea muda huu mkuu