Lengo lao ni kuona kuna mpasuko zaidi ndani ya CDM kwasababu ina faida kwao CCM. Adui yako muombee njaa.Ni kwanini wafuasi kindkindaki wa CCM humu jukwaani wanampigia sana debe Mbowe na wanamponda sana Lissu ???!
[emoji15][emoji28][emoji1787]
mzee Azaveli Lwaitama ndio engine ya chadema, singatieni mawaidha yake ni muhimu zaidi gentleman 🐒
Musiba ni nani?
Gentleman,Lwaitama anashauri chadema huyu anashauri CCM taabu wapi?
Gentleman,
nasisitiza mawaidha ya mzee Azaveli Lwaitama kuchukuliwa kwa uzito unaostahili na wanachadema wote lakini pia na wajumbe wa mkutano mkuu wa chadema taifa.
Ni muhimu sana 🐒
ndiyo gentleman,Mawaidha ya Prof. Lwaitama hayupo wa kuyapuuza labda kama alipata Div. 0 somewhere on the way.
Vinginevyo awe hata milango ya sekondari hakupata kuiona!
Ndugu ya hao wajumbe wote ni chawa wa mbowe ukiwamo ww. Wote wala walamba asali inayotoka ccm###mbowe must goLissu atafeli tu, hakuna namna.
Wajumbe wote wa Kamati Kuu ni chadema makini, na wako na mtu makini, Mh. Mbowe. Lissu kwa sasa anamtukana Mbowe, ambaye hata akikosa Uenyekiti wa chama, atakuwa mjumbe wa Kamati Kuu wa Kudumu, hivyo atajiunga na wenzake kumuhenyesha Lissu mpaka akimbie chama.
Bahati mbaya Lissu kaingia na mguu wa ugomvi akidhani yeye ndio atakuwa mfanya maamuzi wa chama, kumbe yeye atakuwa Mwenyekiti tu, maamuzi ya vikao yanafanywa na wajumbe. Technically, Mbowe atakuwa Mwenyekiti kuliko Lissu ndani ya Kamati Kuu. Huto tu hoja twa Lissu bila Mbowe na wenzake kutukubali, itakuwa ni kujilisha upepo tu.
tena CUF iliyochangamkaChadema ya Mbowe baada ya uchaguzi itakuwa ni CUF mpya
anagombea nini wakati alishakaa muda mrefu uenyekitiniHalazimishi chochote bali anatumia haki yake kikatiba kugombea kama afanyavyo TAL
baada ya uchaguzi urudi na kichekesho chako hiki hata kama mbowe atapigwa chiniMbowe alijiandaa kugombea Uenyekiti tangu mwaka juzi, kwa hiyo alianza kuwapambania watu wake wapate nafasi katika ngazi za chini, I like waje wampigie kura.
Hujaona Lemma alivyokimbia? Lemma Alikuwa kambi ya Lissu, mwamba na yeye aka sponsor mtu wake, Lemma akastuka, hakugombea, jamaa akapita kama analia vile. Mshindi wa Kanda ya kaskazini ndiye alimsindikiza Mbowe kuchukua fomu.
Pia Morogoro, Lissu alikuwa na Jumbe, Mbowe Devotha Minja. Jumbe alipigwa kama paka wa baa. Kanda ya Nyasa, Msigwa yuko na Lissu, Sugu na Mbowe, matokeo yako wazi. Kwa hiyo wagombea wa kambi ya Lissu nchi nzima walikaangwa kama chips
Maana yake mmeshamaliza kufanya kampeni. Haya hongereni sana na sasa rudini mkalale. Msituletee tena hizo nyuziLissu atafeli tu, hakuna namna.
Wajumbe wote wa Kamati Kuu ni chadema makini, na wako na mtu makini, Mh. Mbowe. Lissu kwa sasa anamtukana Mbowe, ambaye hata akikosa Uenyekiti wa chama, atakuwa mjumbe wa Kamati Kuu wa Kudumu, hivyo atajiunga na wenzake kumuhenyesha Lissu mpaka akimbie chama.
Bahati mbaya Lissu kaingia na mguu wa ugomvi akidhani yeye ndio atakuwa mfanya maamuzi wa chama, kumbe yeye atakuwa Mwenyekiti tu, maamuzi ya vikao yanafanywa na wajumbe. Technically, Mbowe atakuwa Mwenyekiti kuliko Lissu ndani ya Kamati Kuu. Huto tu hoja twa Lissu bila Mbowe na wenzake kutukubali, itakuwa ni kujilisha upepo tu.
Mbowe ana hoja Gani?Lisu hana hoja ana magomvi tu